mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Iko hivi, kwa sasa israel hana sababu ya kuipiga tena gaza, kwakuwa jamaa wameshasalimu amri, na kuna harakati nyingi za maandamano na malalamiko kutoka kwa watu wa haki za binadamu na activits wengi kwa ajili ya maandamamo dhidi ya israel.
Sasa Mazayuni bado wanataka kuimaliza kabisa Gaza na Wapalestina wote na ikiwezekana Waarabu wote, lakini sababu haipo tena kwa sasa
Kwahiyo kaamua kumtumia waajemi wayahudi wenzao eti kujidai wanapiga mabomu iran ili isrel ipate sababu ya kuendelea na mauaji ya raia na watoto, ikitokea isrel ikaipiga iran direct, basi uzi huu na ufungwe na mie nipigwe ban hata ya mwaka.
Ila haitatokea isrel na iran kupigana kwa kuwa wote ni Wayahudi.
Na ndio maana eti sasa baada ya miezi tisa eti ndio iran anaingilia?
Povu ruksa
Ukitukana nakusomea albadiri
Sasa Mazayuni bado wanataka kuimaliza kabisa Gaza na Wapalestina wote na ikiwezekana Waarabu wote, lakini sababu haipo tena kwa sasa
Kwahiyo kaamua kumtumia waajemi wayahudi wenzao eti kujidai wanapiga mabomu iran ili isrel ipate sababu ya kuendelea na mauaji ya raia na watoto, ikitokea isrel ikaipiga iran direct, basi uzi huu na ufungwe na mie nipigwe ban hata ya mwaka.
Ila haitatokea isrel na iran kupigana kwa kuwa wote ni Wayahudi.
Na ndio maana eti sasa baada ya miezi tisa eti ndio iran anaingilia?
Povu ruksa
Ukitukana nakusomea albadiri