Waarabu wakija kushtuka, tayari watakuwa wamemalizwa kwa unafiki wa Iran

Waarabu wakija kushtuka, tayari watakuwa wamemalizwa kwa unafiki wa Iran

Haya mafundisho wanayo Salafi (Answar sunna) wa Tanzania.
 
Hakuna cha ngumi aache uongo.
Haya mafundisho wanayo Salafi wa kitanzania. Mimi sunni. Ila Salafi wa Tz tangu juzi wao ndiyo kauli zao.

Akili zao zote zimeshikwa na utawala wa Saudi Arabia. Hata siku moja hutosikia Salafi akiuongelea vibaya utawala wa Saudia. Saudi kakiri kuisadia Israel dhidi ya Iran lakini hautosikia wakilizungumza hili.
 
Ni kweli Ila sasa cha ajabu hao mashia ambao mnasema ni makafiri leo hii ndio angalau wanawatetea wapalestina. Iran, wa huothi wa yemen, hezbollah wa lebanon ndo maadui wakubwa waliobaki kwa israel na wote ni shia. Hata hamas sio shia lakini misaada mingi wanapata kutoka kwa hezbollah na iran sio saudia au nchi yoyote ya sunni. Wakat washia wanapambana na israel nchi kubwa za sunni wameshindwa kufanya chochote kile kutetea wasunni wenzao huko gaza. Saudia ndo kwanza wametangaza kwamba watafanya mazungumzu ya amani na israel ila wanasubiri vita iishe kwanza. Kiufupi sasa hivi iran ndio mtetezi wa wapalestina hii ni aibu sana kwa waislamu wote duniani.

Shia "kusaidia" Hamas sio kwa sababu wanawapenda Waislam au wanataka kuikomboa Al-Aqsa. Bali ni kwa sababu wanasukuma agenda zao pale mashariki ya kati. "Kusaidia" kwao Hamas pale Gaza ni ili ionekane wanajali mno kuhusu masuala ya Waislam na inapotokea umewagusa katika agenda zao ovu uonekane unawapinga Wapalestina au uko dhidi ya Waislam.

Kusema kuwa Waislam hawafanyi chochote kuhusu ndugu zao Waislam sio kweli. Sema tu hawawapi silaha na kuwashawishi kuwapiga mayahudi halafu mayahudi wakawageukia wakawaua kwa maelfu huku wao wakikaa nyuma na kutazama bila ya kuingilia. Hilo kweli mataifa ya Kiislam hawajafanya, kuwafanyia khiana ndugu zao. Japo wana udhaifu (Allah awape nguvu) ila sio kweli hawana msaada wowote na ndugu zao.

Ila Iran wana agenda zao za kueneza ushia wao na kujaribu kuzivuruga nchi za kiislam. Suala la al-Quds ni geresha tu.

Kama kweli ingetaka kuisaidia Gaza wangeingia tokea Oct 7 au siku zile za mwanzo kama walivyoahidi. Wanasema wanapambana na mazayuni lakini mara mabomu wanarusha Syria na Pakistan na kuua Waislam.

Hiyo juzi wamerusha "fireworks" huko dola la kizayuni ambazo hazijaleta madhara. Hazijaua mzayuni wala kuleta uharibifu mkubwa. Tena wametoa taarifa masaa mengi kabla hawajarusha na waliporusha yamechukua masaa mengi kufikia mazayuni hivyo kuwapa muda mrefu kujiandaa kuyadondosha. Ila hawafanyi hivyo wanapoua Waislam huko Syria, Iraq au Lebanon.

Hivyo hakuna lolote.

Lakini pia hata kama ni kweli wangekuwa hasa wanawasaidia Waislam kiukweli hasa. Bado hatutosahau uovu wao, ushirikina wao wa kuwaabudu wengine pamoja na Allah, itikadi zao potofu ikiwemo kuwakufurisha na kuwatukana Maswahaba wengi wa Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) hasa Abubakar, Umar na Uthman na wengine katika wale kumi waliobashiriwa pepo ukimtoa 'Aliy (Allah awaridhie wote). Na 'Aliy mwenyewe wamechupa mipaka juu yake mpaka kufikia kumpa daraja ya uungu, Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo. Wanawatukana na kuwakufurisha wengi wa Mama zetu, Wake za Mtume hasa Mama zetu 'Aaishah na Hafsa (Allah awaridhie wake za Mtume wote). Bila kusahau khiana waliyowafanyia Waislam katika Historia na mauaji waliyoyafanya dhidi ya Waislam hivi karibuni huko Iraq, Syria na kwengine mashariki ya kati.

Hivyo hata kama ingekuwa kweli wanawasaidia Waislam bado isingeonesha kuwa wanawapenda Waislam na hivyo tuwapende. Kwangu ni kama Marekani ilivyokuwa inasaidia Mujahideen wa Afghanistan wakati ule wanapigana na Wasovieti. Sio kwamba ilikuwa inawapenda.
 
Shia "kusaidia" Hamas sio kwa sababu wanawapenda Waislam au wanataka kuikomboa Al-Aqsa. Bali ni kwa sababu wanasukuma agenda zao pale mashariki ya kati. "Kusaidia" kwao Hamas pale Gaza ni ili ionekane wanajali mno kuhusu masuala ya Waislam na inapotokea umewagusa katika agenda zao ovu uonekane unawapinga Wapalestina au uko dhidi ya Waislam.

Kusema kuwa Waislam hawafanyi chochote kuhusu ndugu zao Waislam sio kweli. Sema tu hawawapi silaha na kuwashawishi kuwapiga mayahudi halafu mayahudi wakawageukia wakawaua kwa maelfu huku wao wakikaa nyuma na kutazama bila ya kuingilia. Hilo kweli mataifa ya Kiislam hawajafanya, kuwafanyia khiana ndugu zao. Japo wana udhaifu (Allah awape nguvu) ila sio kweli hawana msaada wowote na ndugu zao.

Ila Iran wana agenda zao za kueneza ushia wao na kujaribu kuzivuruga nchi za kiislam. Suala la al-Quds ni geresha tu.

Kama kweli ingetaka kuisaidia Gaza wangeingia tokea Oct 7 au siku zile za mwanzo kama walivyoahidi. Wanasema wanapambana na mazayuni lakini mara mabomu wanarusha Syria na Pakistan na kuua Waislam.

Hiyo juzi wamerusha "fireworks" huko dola la kizayuni ambazo hazijaleta madhara. Hazijaua mzayuni wala kuleta uharibifu mkubwa. Tena wametoa taarifa masaa mengi kabla hawajarusha na waliporusha yamechukua masaa mengi kufikia mazayuni hivyo kuwapa muda mrefu kujiandaa kuyadondosha. Ila hawafanyi hivyo wanapoua Waislam huko Syria, Iraq au Lebanon.

Hivyo hakuna lolote.

Lakini pia hata kama ni kweli wangekuwa hasa wanawasaidia Waislam kiukweli hasa. Bado hatutosahau uovu wao, ushirikina wao wa kuwaabudu wengine pamoja na Allah, itikadi zao potofu ikiwemo kuwakufurisha na kuwatukana Maswahaba wengi wa Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) hasa Abubakar, Umar na Uthman na wengine katika wale kumi waliobashiriwa pepo ukimtoa 'Aliy (Allah awaridhie wote). Na 'Aliy mwenyewe wamechupa mipaka juu yake mpaka kufikia kumpa daraja ya uungu, Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo. Wanawatukana na kuwakufurisha wengi wa Mama zetu, Wake za Mtume hasa Mama zetu 'Aaishah na Hafsa (Allah awaridhie wake za Mtume wote). Bila kusahau khiana waliyowafanyia Waislam katika Historia na mauaji waliyoyafanya dhidi ya Waislam hivi karibuni huko Iraq, Syria na kwengine mashariki ya kati.

Hivyo hata kama ingekuwa kweli wanawasaidia Waislam bado isingeonesha kuwa wanawapenda Waislam na hivyo tuwapende. Kwangu ni kama Marekani ilivyokuwa inasaidia Mujahideen wa Afghanistan wakati ule wanapigana na Wasovieti. Sio kwamba ilikuwa inawapenda.
Salamaleko shekh,!
 
Shia "kusaidia" Hamas sio kwa sababu wanawapenda Waislam au wanataka kuikomboa Al-Aqsa. Bali ni kwa sababu wanasukuma agenda zao pale mashariki ya kati. "Kusaidia" kwao Hamas pale Gaza ni ili ionekane wanajali mno kuhusu masuala ya Waislam na inapotokea umewagusa katika agenda zao ovu uonekane unawapinga Wapalestina au uko dhidi ya Waislam.

Kusema kuwa Waislam hawafanyi chochote kuhusu ndugu zao Waislam sio kweli. Sema tu hawawapi silaha na kuwashawishi kuwapiga mayahudi halafu mayahudi wakawageukia wakawaua kwa maelfu huku wao wakikaa nyuma na kutazama bila ya kuingilia. Hilo kweli mataifa ya Kiislam hawajafanya, kuwafanyia khiana ndugu zao. Japo wana udhaifu (Allah awape nguvu) ila sio kweli hawana msaada wowote na ndugu zao.

Ila Iran wana agenda zao za kueneza ushia wao na kujaribu kuzivuruga nchi za kiislam. Suala la al-Quds ni geresha tu.

Kama kweli ingetaka kuisaidia Gaza wangeingia tokea Oct 7 au siku zile za mwanzo kama walivyoahidi. Wanasema wanapambana na mazayuni lakini mara mabomu wanarusha Syria na Pakistan na kuua Waislam.

Hiyo juzi wamerusha "fireworks" huko dola la kizayuni ambazo hazijaleta madhara. Hazijaua mzayuni wala kuleta uharibifu mkubwa. Tena wametoa taarifa masaa mengi kabla hawajarusha na waliporusha yamechukua masaa mengi kufikia mazayuni hivyo kuwapa muda mrefu kujiandaa kuyadondosha. Ila hawafanyi hivyo wanapoua Waislam huko Syria, Iraq au Lebanon.

Hivyo hakuna lolote.

Lakini pia hata kama ni kweli wangekuwa hasa wanawasaidia Waislam kiukweli hasa. Bado hatutosahau uovu wao, ushirikina wao wa kuwaabudu wengine pamoja na Allah, itikadi zao potofu ikiwemo kuwakufurisha na kuwatukana Maswahaba wengi wa Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) hasa Abubakar, Umar na Uthman na wengine katika wale kumi waliobashiriwa pepo ukimtoa 'Aliy (Allah awaridhie wote). Na 'Aliy mwenyewe wamechupa mipaka juu yake mpaka kufikia kumpa daraja ya uungu, Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo. Wanawatukana na kuwakufurisha wengi wa Mama zetu, Wake za Mtume hasa Mama zetu 'Aaishah na Hafsa (Allah awaridhie wake za Mtume wote). Bila kusahau khiana waliyowafanyia Waislam katika Historia na mauaji waliyoyafanya dhidi ya Waislam hivi karibuni huko Iraq, Syria na kwengine mashariki ya kati.

Hivyo hata kama ingekuwa kweli wanawasaidia Waislam bado isingeonesha kuwa wanawapenda Waislam na hivyo tuwapende. Kwangu ni kama Marekani ilivyokuwa inasaidia Mujahideen wa Afghanistan wakati ule wanapigana na Wasovieti. Sio kwamba ilikuwa inawapenda.
Aisee waislamu wenye upeo wako ni wachache Sana.

Watu wenye akili wakikusona Kwa makini Una mantiki kubwà na umeandika Vitu vizito.

Kwa kifupi Kwa mwislamu kuwashabikia Iran ni zaidi ya upumbavu.
 
Aisee waislamu wenye upeo wako ni wachache Sana.

Watu wenye akili wakikusona Kwa makini Una mantiki kubwà na umeandika Vitu vizito.

Kwa kifupi Kwa mwislamu kuwashabikia Iran ni zaidi ya upumbavu.

Usinipandishe kwa kuwaporomosha ndugu zangu Waislam. Mimi ni mdogo tu miongoni mwa Waislam. Allah awaunganishe Waislam katika Tawheed na Sunnah. Allah awaepushe Waislam na shari za makafiri.
 
Hao Saudia ndiyo wenye dini husika na ndipo ilianzia, sasa unaanzaje kuwapinga kama kweli wewe ni kobaz?
Swali zuri.
Ila fahamu ya kwamba dini ya uislamu ni elimu. Haitojalisha kama imeanzia kwako ama laa! Bali kitakachoangaliwa ni elimu ya dini unayo?

Mbali na hilo babu zangu ni waislamu hata kabla ya nchi ya Saudia kuanzishwa.
 
Kiufupi sasa hivi iran ndio mtetezi wa wapalestina hii ni aibu sana kwa waislamu wote duniani.

nchi kubwa za sunni wameshindwa kufanya chochote kile kutetea wasunni wenzao huko gaza


Saudi Arabia donates $40 million to UN agency for Palestinians
UNRWA, the agency for Palestinian refugees, has faced funding cuts since Israel accused a dozen employees of involvement in the October 5 attacks. It employs 13,000 people in Gaza alone.


Saudi Arabia has sent 36 aircraft, five ships and 172 trucks filled with aid as part of the ongoing humanitarian campaign to relieve the Palestinians in the besieged Gaza Strip since October, Quds Press has reported.

The latest aircraft sent by the King Salman Humanitarian Aid and Relief Centre left the Kingdom on 3 January carrying 24 tons of food and medical supplies, as well as shelters. It flew from Riyadh to Al-Arish International Airport in Egypt’s North Sinai, the closest airport to the Rafah border crossing into Gaza.



In just five days, the donations had exceeded SR375 million. King Salman and Crown Prince Mohammed bin Salman themselves donated SR30 million and SR20 million, respectively.

The sheer amount of donations — “one of the largest and quickest fundraising campaigns” in the long history of Saudi Arabia’s humanitarian efforts — flies in the face of many media reports that suggest that the Arab world does not care about Gaza.






1713259682475.png


Halafu mtu anakuambia nchi za kiislam hazina msaada kwa ndugu zao. Mlitaka wawachochee kuwapiga mazayuni huku wakijua ndugu zao hawana nguvu bado kisha mashetani wa kizayuni wakianza kuwaua wakae wakiangalia bila kuingilia na ilhali wao ndio waliwachochea kama wanavyofanya makafiri wa kishia?

Allah awape nusra ndugu zetu Waislam huko Gaza. Wallahi tunaumia kwa yale yanayowakuta na tunamshtakia Allah unyonge wetu na udhaifu wa nguvu zetu. Anatutosha Allah, Naye ni Mbora wa kutegemewa.
 
Ni kweli Ila sasa cha ajabu hao mashia ambao mnasema ni makafiri leo hii ndio angalau wanawatetea wapalestina. Iran, wa huothi wa yemen, hezbollah wa lebanon ndo maadui wakubwa waliobaki kwa israel na wote ni shia. Hata hamas sio shia lakini misaada mingi wanapata kutoka kwa hezbollah na iran sio saudia au nchi yoyote ya sunni. Wakat washia wanapambana na israel nchi kubwa za sunni wameshindwa kufanya chochote kile kutetea wasunni wenzao huko gaza. Saudia ndo kwanza wametangaza kwamba watafanya mazungumzu ya amani na israel ila wanasubiri vita iishe kwanza. Kiufupi sasa hivi iran ndio mtetezi wa wapalestina hii ni aibu sana kwa waislamu wote duniani.
Ambacho hujaelewa ni kwamba, mashia wakishirikiana na mayahudi wenzao ndio wanjifanyisha kutoa msaada kumbe ndio wabaya wao
Inahitaji ubongo kuelewa hii mbinu inayotumiwa na mayahudi

Israel, iran, usa ni kitu kimoja
Na ndio hutakaa usikie wamepigana bali ni kugeresha ulimwengu tu
 

Saudi Arabia donates $40 million to UN agency for Palestinians
UNRWA, the agency for Palestinian refugees, has faced funding cuts since Israel accused a dozen employees of involvement in the October 5 attacks. It employs 13,000 people in Gaza alone.


Saudi Arabia has sent 36 aircraft, five ships and 172 trucks filled with aid as part of the ongoing humanitarian campaign to relieve the Palestinians in the besieged Gaza Strip since October, Quds Press has reported.

The latest aircraft sent by the King Salman Humanitarian Aid and Relief Centre left the Kingdom on 3 January carrying 24 tons of food and medical supplies, as well as shelters. It flew from Riyadh to Al-Arish International Airport in Egypt’s North Sinai, the closest airport to the Rafah border crossing into Gaza.



In just five days, the donations had exceeded SR375 million. King Salman and Crown Prince Mohammed bin Salman themselves donated SR30 million and SR20 million, respectively.

The sheer amount of donations — “one of the largest and quickest fundraising campaigns” in the long history of Saudi Arabia’s humanitarian efforts — flies in the face of many media reports that suggest that the Arab world does not care about Gaza.






View attachment 2965196

Halafu mtu anakuambia nchi za kiislam hazina msaada kwa ndugu zao. Mlitaka wawachochee kuwapiga mazayuni huku wakijua ndugu zao hawana nguvu bado kisha mashetani wa kizayuni wakianza kuwaua wakae wakiangalia bila kuingilia na ilhali wao ndio waliwachochea kama wanavyofanya makafiri wa kishia?

Allah awape nusra ndugu zetu Waislam huko Gaza. Wallahi tunaumia kwa yale yanayowakuta na tunamshtakia Allah unyonge wetu na udhaifu wa nguvu zetu. Anatutosha Allah, Naye ni Mbora wa wenye kutegemewa.

Sio Saudia tu, na nchi nyengine pia ziliwasaidia na zinaendelea kuwasaidia ndugu zao.



The UAE is also playing an important role. Last week The National News in the UAE reported that “the UAE has sent a further six planes carrying supplies and equipment to support the construction of a field hospital in the Gaza Strip.” The report said that the planes had departed Abu Dhabi last Tuesday and arrived in El Arish. The UAE support is dubbed Gallant Knight 3 humanitarian operation. The UAE is establishing a 150-bed field hospital. Five planes brought equipment for it last week. This is important because many hospitals in northern Gaza are now being evacuated. This includes the Rantisi and Nasr hospitals, as well as Shifa and Quds hospitals.

According to Al-Ain media on Monday, the UAE has sent “64 planes to Gaza relief, including 56 planes sent during the last 7 days, with an average of 8 planes per day, and among those aircraft were 32 aircraft as part of Operation ‘Galant Knight 3’ to transport supplies for a field hospital that the UAE intends to establish in Gaza.” The report noted that 1,039 tons of aid had been collected for Gaza and 24,000 volunteers have been helping.
 
Back
Top Bottom