Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli uuseme wewe!?Endelea kuminyana
Lakini ukweli ndio huo
Ni Mfalme alileta Mapenzi hapo..Kamanda wa Jeshi na Intelijensia Hamani alipotaka kuwaua wayahudi wote na kina Modekai kwa kutotii ufalme na Serikali ya Atashasta
Basi kibao kikamgeukia yeye, akatundikwa mtini akafa.
Waajemi wana undugu wa kiroho sio wa kikabila na Israeli.
Jamaa anataka kutuambia Mtetezi wa waislam ni Saudi na siyo Iran.Ni kweli Ila sasa cha ajabu hao mashia ambao mnasema ni makafiri leo hii ndio angalau wanawatetea wapalestina. Iran, wa huothi wa yemen, hezbollah wa lebanon ndo maadui wakubwa waliobaki kwa israel na wote ni shia. Hata hamas sio shia lakini misaada mingi wanapata kutoka kwa hezbollah na iran sio saudia au nchi yoyote ya sunni. Wakat washia wanapambana na israel nchi kubwa za sunni wameshindwa kufanya chochote kile kutetea wasunni wenzao huko gaza. Saudia ndo kwanza wametangaza kwamba watafanya mazungumzu ya amani na israel ila wanasubiri vita iishe kwanza. Kiufupi sasa hivi iran ndio mtetezi wa wapalestina hii ni aibu sana kwa waislamu wote duniani.
Muwe mnaelewa, iran ni ndugu na isrsel na usa, sasa hapo atasaidiaje waarabu?Jamaa anataka kutuambia Mtetezi wa waislam ni Saudi na siyo Iran.
Watetezi wa kweli Ni Libya ya Gaddafi, Iraq ya Saddam. Palestine ya Arafat na Iran kama Iran.
The rest ni vibaraka tu
Nikiusema au nisiuseme bado unabaki kuwa ukweli tuUkweli uuseme wewe!?
Aisee pole sana.
Wayahudi ndio waasisi wa ushia IranTangu lini Irani (Waajemi) wakawa Waebrania?
Ni uongo na unafahamika uongo.Nikiusema au nisiuseme bado unabaki kuwa ukweli tu
Huu uongo umeutoa wapi??Wayahudi ndio waasisi wa ushia Iran
Kwanini unapenda kupinga ukweli?Huu uongo umeutoa wapi??
Karibu sanaNi uongo na unafahamika uongo.
Unaongea nadharia,bahati mbaya huwa siweki mijadala na watu wanaoongea kwa nadharia.
Uwe na wakati mwema.
Soma ujifunzeHuu uongo umeutoa wapi??
Nimesoma na najua chimbuko la Shia na mpaka mashina yake.Soma ujifunze
Katika zile aina inne za watu, kunaSoma ujifunze
How?Wayahudi ndio waasisi wa ushia Iran
Acha uchocheziNi kweli Ila sasa cha ajabu hao mashia ambao mnasema ni makafiri leo hii ndio angalau wanawatetea wapalestina. Iran, wa huothi wa yemen, hezbollah wa lebanon ndo maadui wakubwa waliobaki kwa israel na wote ni shia. Hata hamas sio shia lakini misaada mingi wanapata kutoka kwa hezbollah na iran sio saudia au nchi yoyote ya sunni. Wakat washia wanapambana na israel nchi kubwa za sunni wameshindwa kufanya chochote kile kutetea wasunni wenzao huko gaza. Saudia ndo kwanza wametangaza kwamba watafanya mazungumzu ya amani na israel ila wanasubiri vita iishe kwanza. Kiufupi sasa hivi iran ndio mtetezi wa wapalestina hii ni aibu sana kwa waislamu wote duniani.