Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
alaf kwa nn ata wasingepambanishwa wenyew kwa wenyew ila wapunguze tim za kiarabu uko mf Misri vs Tunisia au Algeria vs Morocco alf game zao ukiondoa Misri wote wanamalizia nyumban kwao.
Kwa nini uwaze mambo ya waarabu badala ya kuwaza timu yetu ya Taifa Stars!Rekodi za Nigeria, Ghana,Cameroon na senegal zinaeleweka kombe la dunia huwa wanatufutia aibu
Je, hawa waarabu wanarekod yeyote nzuri? Wakienda kombe la dunia? Wameshawahi kuvuka hata makundi?
Kwanini wamefanikiwa soka la africa lkn wakivuka mpaka wa bara wanakuwa kama timu za ndondo?
Wao ndio wanainflunce upangaji wa ratiba makao makuu ya shirikisho yapo misri wanajua sana kuchezesha
Kwa nini uwaze mambo ya waarabu badala ya kuwaza timu yetu ya Taifa Stars!
2014 Algeria ilifika 16 bora. Akaenda 90 na Germany droo . Akaenda 120 ndio wakafungwa. Huku wakiwa kwenye mfungo wa Ramadhani. Ujerumani hiyo iliipiga 7-1 baadaye. Ikaenda ikachukua kombe
Waarabu wamenufaika na makao makuu ya cuf kuwepo egypt hujuma nyingi zinaanzia kule kwa soka la africa
Walipigwa 4 na Denmark mwaka 98 hatua ya mtoanoNitajie aibu aliyowahi kuifuta nigeria wc ambayo moroco au algeria wameishindwa
Inabidi atafutiwe bwana wa kiarabuMkuu huyu jamaa humjui vizuri tu, chunguza comments na mada zake ndio utamuelewa. Ni mtu ambae hawapendi waarabu na ni mdini kweli kweli. Ajitokeze hapa kama namuongopea.
Ubaguzi umetoka wapi, ni kama mtu kauliza swali genuine.
afu acha maswali ya kibaguzi unavouliza warabu taja taifa huska Iran,Saudi Arabia, Oman ,wote ni warabu
Tukubali kuwa waarabu ni mizigo wanaaibisha africa
Co wew kitendo Cha warabu kutofika robo fainali ndio unaona hawana mafanikio ao warabu unaona hawana mafanikio ndio watakua wakishirikishi wako 2022 aligeria,egypty ,Tunisia,morroco jiande kuwatazama
Huwajui ki drogba huwajui kina samata
Sijuwi kama na wao hao ni Waarabu.
Wamebeba makombe yepi ya dunia?
Munateseka sana na Waarabu, Ila hawa waarabu ni hatari sana, wanawanyoosha wabantu mpaka wanaishia kumwaga povu la chuki tu mitandaoni.
Kwa kifupi tu kati ya timu 5 zinazokwenda world cup 4 zitakua ni za kiarabu.
Katika timu 8 ambazo zitacheza robo fainali ya CAF champion league msimu huu 6 ni za kiarabu
Katika timu 8 ambazo zitacheza robo fainali ya CAF Confederation msimu huu 5 zinatarajiwa kuwa ni Za kiarabu
SO wamatumbwi acha waendelea kumwaga povu tu
Naona mwarabu kutoka Kapalamsenga hatimaye umefika.Wewe na huyo mleta mada mmefanana kila kitu, may be mtu mmoja anatumia ID mbili tofauti.
(Wabaguzi na wadini)
Kwani Egypt sio Afrika? Au upoyoyo wako unakufanya ufikiri Afrika ni ya Wabantu tu? Hao Saudi Arabia kwa maana ya Wabantu basi ni nduguzo zaidi ya Wamisri. Wamisri ndugu zao wa Karibu sana hapa Tanzania ni Wajaluo na kama hao "Nilo hamites".Leo tukiwa sehemu tumejadili hii mada. Naikuta tena hapa.
Tukazungumzia Egypt inavyokuwa mdobwedo hata akikutana na nduguze Saud Arabia.
Naona mwarabu kutoka Kapalamsenga hatimaye umefika.
Attention: Fanya masahihisho hapo kwa Cameroon, walishiriki kombe la dunia mara ya kwanza mwaka 1982 na hawakuvuka hatua ya makundi lakini waliposhiriki kwa mara ya pili mwaka 1990 ndio wakafika robo fainali na kutolewa na England.Hivi kuna tofauti gani ya perfomance kwenye World Cup kwa nchi za Africa?
Unaonekana hujui kitu.. kwa kukusaidia tu nimekuwekea timu zilizoshiriki kutoka Africa.
Cameroon: Wameshiriki mara 7.. Ukiacha kufika Robo fainali mwaka 1990 waliposhiriki kwa mara ya kwanza, hawajawahi kuvuka makundi tena.
Nigeria: Wameshiriki mara 6 , wamevuka makundi mara mbili tu.
Ivory Coast: Hawajawahi kuvuka makundi.
Senegal: Wamevuka makundi mara moja tu
Morocco: Wamevuka makundi mara mbili.
Algeria: Wamevuka makundi mara mbili.
Ghana: Wamevuka makundi mara mbili.
Egypt: Wameshiriki kombe la Dunia mara mbili tu, hawajawahi kuvuka makundi.
South Africa: Wameshiriki mara mbili. Hawajawahi kuvuka makundi.
Tunisia: Hawajawahi kuvuka makundi.
Angola: Wameshiriki mara moja, hawakuvuka makundi.
Togo: Wameshiriki mara moja, hawakuvuka makundi.
Zaire: Wameshiriki mara moja tu., hawakuvuka makundi. Walifungwa goli 9-0 na Yugoslavia mwaka 1974.
Nchi nyingi za Africa hufanya vizuri mara ya kwanza wanaposhiriki Cameroon, Senegal walifika hatua ya Robo Fainali mara yao ya kwanza kushiriki i.e 1990 na 2002 respectively.
..
.
Hii sio kweli, wajaluo hawana ukaribu wowote na waarabu wa Misri. Wakati waarabu wa Misri ni Semitic, wajaluo wao ni Nilotic asili yao ikiwa ni jimbo la Bahar El Ghazal ambayo leo iko kaskazini magharibi mwa South Sudan.Kwani Egypt sio Afrika? Au upoyoyo wako unakufanya ufikiri Afrika ni ya Wabantu tu? Hao Saudi Arabia kwa maana ya Wabantu basi ni nduguzo zaidi ya Wamisri. Wamisri ndugu zao wa Karibu sana hapa Tanzania ni Wajaluo na kama hao "Nilo hamites".