Waarabu wana mafanikio gani tangu waanze kufuzu Kombe la Dunia

alaf kwa nn ata wasingepambanishwa wenyew kwa wenyew ila wapunguze tim za kiarabu uko mf Misri vs Tunisia au Algeria vs Morocco alf game zao ukiondoa Misri wote wanamalizia nyumban kwao.

Kwani waarabu wakituwakilisha kuna tatizo gani? Huwa tunapenda sana kulalamika tunabaguliwa na wazungu, sasa hiki kinachotokea kwa mleta mada na wafuasi wake ni dhahiri wabaguzi.
 
Kwa nini uwaze mambo ya waarabu badala ya kuwaza timu yetu ya Taifa Stars!
 
Wao ndio wanainflunce upangaji wa ratiba makao makuu ya shirikisho yapo misri wanajua sana kuchezesha

Unateseka sana,,,furaha yangu pia waarabu wakichomoza, wala sitaumia. Ila kuna wengine mfano wako wanaumia na kuteseka 😁 Mungu awabariki waarabu, tunawapenda sana kama tunavyo wapenda wengine.
 
2014 Algeria ilifika 16 bora. Akaenda 90 na Germany droo . Akaenda 120 ndio wakafungwa. Huku wakiwa kwenye mfungo wa Ramadhani. Ujerumani hiyo iliipiga 7-1 baadaye. Ikaenda ikachukua kombe

Mleta mada ana lake jambo sio kwa chuki hizo. Na asipojiangalia na kudhibiti hasira/chuki zake atapata presha aise
 
afu acha maswali ya kibaguzi unavouliza warabu taja taifa huska Iran,Saudi Arabia, Oman ,wote ni warabu

Hapa huwa wananiacha njia panda mkuu 😁 anashindwaje kutaja jina la nchi mpaka aseme waarabu!😁 mfano wakutane S.Afrika na Saudi Arabia, huwezi kukuta waarabu au wazungu wanasema waafrika wamefungwa na Saudia Arabia. Ila huku sasa 😱

Twendelee kukemea Ubaguzi
 
Tukubali kuwa waarabu ni mizigo wanaaibisha africa

Huna hoja,, wadau wanajitahidi kuleta statistics, wewe umekalia kuwaponda tuu. Ubaguzi utakumaliza kijana. Wewe na huyu ndugu yako permanides badilikeni, acheni ubaguzi na udini.

Msije mkasema "udini umeingiaje hapa" lakini wadau tulionao humu, wanaelewa nini maana ya mpira na wamejibu kwa hoja za msingi, so bado hawakujuweni kama ninyi ni wabaguzi na wadini.
 
Co wew kitendo Cha warabu kutofika robo fainali ndio unaona hawana mafanikio ao warabu unaona hawana mafanikio ndio watakua wakishirikishi wako 2022 aligeria,egypty ,Tunisia,morroco jiande kuwatazama

Hofu yangu kubwa kwa huyu utah jazz na jamaa yake permanides wasijinyonge tu kwa kitakachotokea😁 kama wale wanaojiuwa kisa wivu wa mapenzi😁 ngoja tusubiri Millard ayo atuletee taarifa za matukio mnamo siku ya juma4, baada ya mechi kumalizika😁
 

Wataelewa somo, wee subiri tu
 
Leo tukiwa sehemu tumejadili hii mada. Naikuta tena hapa.
Tukazungumzia Egypt inavyokuwa mdobwedo hata akikutana na nduguze Saud Arabia.
Kwani Egypt sio Afrika? Au upoyoyo wako unakufanya ufikiri Afrika ni ya Wabantu tu? Hao Saudi Arabia kwa maana ya Wabantu basi ni nduguzo zaidi ya Wamisri. Wamisri ndugu zao wa Karibu sana hapa Tanzania ni Wajaluo na kama hao "Nilo hamites".
 
Attention: Fanya masahihisho hapo kwa Cameroon, walishiriki kombe la dunia mara ya kwanza mwaka 1982 na hawakuvuka hatua ya makundi lakini waliposhiriki kwa mara ya pili mwaka 1990 ndio wakafika robo fainali na kutolewa na England.
 
Kwani Egypt sio Afrika? Au upoyoyo wako unakufanya ufikiri Afrika ni ya Wabantu tu? Hao Saudi Arabia kwa maana ya Wabantu basi ni nduguzo zaidi ya Wamisri. Wamisri ndugu zao wa Karibu sana hapa Tanzania ni Wajaluo na kama hao "Nilo hamites".
Hii sio kweli, wajaluo hawana ukaribu wowote na waarabu wa Misri. Wakati waarabu wa Misri ni Semitic, wajaluo wao ni Nilotic asili yao ikiwa ni jimbo la Bahar El Ghazal ambayo leo iko kaskazini magharibi mwa South Sudan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…