Hivi kuna tofauti gani ya perfomance kwenye World Cup kwa nchi za Africa?
Unaonekana hujui kitu.. kwa kukusaidia tu nimekuwekea timu zilizoshiriki kutoka Africa.
Cameroon: Wameshiriki mara 7.. Ukiacha kufika Robo fainali mwaka 1990 waliposhiriki kwa mara ya kwanza, hawajawahi kuvuka makundi tena.
Nigeria: Wameshiriki mara 6 , wamevuka makundi mara mbili tu.
Ivory Coast: Hawajawahi kuvuka makundi.
Senegal: Wamevuka makundi mara moja tu
Morocco: Wamevuka makundi mara mbili.
Algeria: Wamevuka makundi mara mbili.
Ghana: Wamevuka makundi mara mbili.
Egypt: Wameshiriki kombe la Dunia mara mbili tu, hawajawahi kuvuka makundi.
South Africa: Wameshiriki mara mbili. Hawajawahi kuvuka makundi.
Tunisia: Hawajawahi kuvuka makundi.
Angola: Wameshiriki mara moja, hawakuvuka makundi.
Togo: Wameshiriki mara moja, hawakuvuka makundi.
Zaire: Wameshiriki mara moja tu., hawakuvuka makundi. Walifungwa goli 9-0 na Yugoslavia mwaka 1974.
Nchi nyingi za Africa hufanya vizuri mara ya kwanza wanaposhiriki Cameroon, Senegal walifika hatua ya Robo Fainali mara yao ya kwanza kushiriki i.e 1990 na 2002 respectively.
..
.