Waarabu wanachezea mali alizowapa Mungu wakati duniani wapo Waislamu ambao hawapati hata mlo mmoja kwa siku

Waarabu wanachezea mali alizowapa Mungu wakati duniani wapo Waislamu ambao hawapati hata mlo mmoja kwa siku

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Katika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache.

Na wala hawaendi nayo mali ile katika njia iliyo nyooka, wanaharibu na kuchezea ilhali wao ndyo waliopewa wajibu na Mungu kuwatupia macho waislamu dunia nzima. Inafika wakati wanakatazana au kupunguza uzalishaji kwa kuhofia kupungukiwa wakati sio wao waliyo iweka bali ni Mungu pekee.

Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.

Lakni wameharibu sana na kuchezea sana mali hizo kwa mambo ambayo ni batili, sasa hivi mashekhe huko uarabuni wanashindana kununua na kustawisha timu na wachezaji wa mpira, wanalipa mabilioni ya fedha kwa vilabu vya mpira wakati duniani wapo waislamu ambao hawana hata maji ya kunywa.

Wao ndyo viongozi na wenye dhamana ya kuwatizama Waislamu wengine duniani, na hizo mali hawakupewa kwa bahati mbaya ila kuzitumia katika njia yenye manufaa.

Wataulizwa na Mungu wao walitumiaje hizo mali kuimarisha uislamu na waislamu na watakosa la kujibu.
 
Katika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache.

Na wala hawaendi nayo mali ile katika njia iliyo nyooka, wanaharibu na kuchezea ilhali wao ndyo waliopewa wajibu na Mungu kuwatupia macho waislamu dunia nzima. Inafika wakati wanakatazana au kupunguza uzalishaji kwa kuhofia kupungukiwa wakati sio wao waliyo iweka bali ni Mungu pekee.

Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.

Lakni wameharibu sana na kuchezea sana mali hizo kwa mambo ambayo ni batili, sasa hivi mashekhe huko uarabuni wanashindana kununua na kustawisha timu na wachezaji wa mpira, wanalipa mabilioni ya fedha kwa vilabu vya mpira wakati duniani wapo waislamu ambao hawana hata maji ya kunywa.

Wao ndyo viongozi na wenye dhamana ya kuwatizama Waislamu wengine duniani, na hizo mali hawakupewa kwa bahati mbaya ila kuzitumia katika njia yenye manufaa.

Wataulizwa na Mungu wao walitumiaje hizo mali kuimarisha uislamu na waislamu na watakosa la kujibu.
Kwa hiyo yale mafuta pale Saud Arabia ni mali ya Wasaud au ya Waislam?
 
Katika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache...
Kwa hiyo Mwarabu misaada yake ni kwa Waislam tuu . Tena kwa mbinde. Hili kabila la ajabu kabisa. Wazungu wangekuwa na ubaguzi wa kidini namna hiyo Kuna nchi za kiafrika zingepumulia mashine
 
Katika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache...
Kwa muarabu dini ya uislam ni njia mojawapo ya kutawala dunia.

Kwa wewe kijuso dini ni njia ya kwenda kwa Allah kula bikra 72

Wajinga ndio waliwao😂😂
 
Kwa hiyo mwarabu misaada yake ni kwa Waislam tuu . Tena kwa mbinde. Hili kabila la ajabu kabisa. Wazungu wangekuwa na ubaguzi wa kidini namna hiyo Kuna nchi za kiafrika zingepumulia mashine
Mkuu wapi nimesema ni wabaguzi, nimesema kwanini wanachezea mali alizowapa wapa Mungu ilhali waislamu wenzao wanataabika.

Hata hao wazungu kwani huoni wanatoa misaada kupitia makanisa yao?
 
Binadamu tumeshindwa kabisa kuzitumia rasilimali zilizopo kutatua changamoto za dunia. Ni aibu kuona mpaka leo kuna mamilioni ya watu masikini duniani ilhali kuna utajiri wa kutosha kabisa kufanya watu wote wapate basic needs.

Shame.
 
Binadamu tumeshindwa kabisa kuzitumia rasilimali zilizopo kutatua changamoto za dunia. Ni aibu kuona mpaka leo kuna mamilioni ya watu masikini duniani ilhali kuna utajiri wa kutosha kabisa kufanya watu wote wapate basic needs.

Shame.
Na sio waarabu tu, hata watu wengine wanao tumia mali za asili kujinufaisha na kuchezea nao hawapo sahihi.
 
Waarabu sio jamii ya watu wanaotoa ila ni watu waroho sana na wasiwasi wao mkubwa ni kwamba wakitoa itawanufaisha watu wasio waislam.

Pia ni watu wachoyo sana kwa sababu mataifa mengine kama Yemen ni choka mbaya lkn majirani zao wenye hali nzuri hawana muda nao.
 
Waarabu sio jamii ya watu wanaotoa ila ni watu waroho sana na wasiwasi wao mkubwa ni kwamba wakitoa itawanufaisha watu wasio waislam.

Pia ni watu wachoyo sana kwa sababu mataifa mengine kama Yemen ni choka mbaya lkn majirani zao wenye hali nzuri hawana muda nao.
Mfano mwingine ni Palestina, wameshindwa kufanya Msaada zaidi ya kuongea maneno tu bila vitendo
 
Katika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache.

Na wala hawaendi nayo mali ile katika njia iliyo nyooka, wanaharibu na kuchezea ilhali wao ndyo waliopewa wajibu na Mungu kuwatupia macho waislamu dunia nzima. Inafika wakati wanakatazana au kupunguza uzalishaji kwa kuhofia kupungukiwa wakati sio wao waliyo iweka bali ni Mungu pekee.

Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.

Lakni wameharibu sana na kuchezea sana mali hizo kwa mambo ambayo ni batili, sasa hivi mashekhe huko uarabuni wanashindana kununua na kustawisha timu na wachezaji wa mpira, wanalipa mabilioni ya fedha kwa vilabu vya mpira wakati duniani wapo waislamu ambao hawana hata maji ya kunywa.

Wao ndyo viongozi na wenye dhamana ya kuwatizama Waislamu wengine duniani, na hizo mali hawakupewa kwa bahati mbaya ila kuzitumia katika njia yenye manufaa.

Wataulizwa na Mungu wao walitumiaje hizo mali kuimarisha uislamu na waislamu na watakosa la kujibu.
Mli mmoja!!!
Bob wewe unakula mingapi?
Njoo na uzimwingine utuonyeshe
1. Unawashaurije hao waislam wa nyumbani kwenu unaofikiria kuwa wanaweza kusaidia kabla ya kuania saudia
2. Kama wewe unapata hiyo mitatuvau minne,unawasaidiaje hao uliowataja kuwa wanakula mmoja?
 
Back
Top Bottom