Waarabu wanachezea mali alizowapa Mungu wakati duniani wapo Waislamu ambao hawapati hata mlo mmoja kwa siku

Waarabu wanachezea mali alizowapa Mungu wakati duniani wapo Waislamu ambao hawapati hata mlo mmoja kwa siku

Mada inahusu waarabu, ningetaka kuandika kuhusu mali za Afrika ningeandika uzi kwa maudhui ya mali za Afrika kwani najua pia Afrika ni sehemu iliyo barikiwa mali asili nyingi tu.
Ulifanya research kabla ya kuandika huu uzi? Unaijua Kuwait Fund inavyosaidi tena ndani ya Bongo? Umejiridhisha kua hizo nchi hazitoi misaada?

Haya kafanye research kisha waombe Mod's wafute huu uzi.
 
Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.
Akili za kibaguzi
 
Na nyie mtaulizwa mlipewa mali chini ya ardhi ila mkabaki masikini wa kutupwa je mtajibu nini?
Mito inatiririka hata mtumbwi hauna
Madini, na ardhi yote ya kijani
Mvua za kumwaga
Msubiri viboko tu
 
Ulifanya research kabla ya kuandika huu uzi? Unaijua Kuwait Fund inavyosaidi tena ndani ya Bongo? Umejiridhisha kua hizo nchi hazitoi misaada?

Haya kafanye research kisha waombe Mod's wafute huu uzi.
Misaada wanayo itoa hailingani na pesa wanazo chezea kwa mambo ambayo ni batili.

Hakuna haja ya kufuta uzi, kama hujapendezwa nao ni vyema ukapita tu
 
Vipi wakristo wote wana maisha mazuri? Wamesha saidiwa na wakristo wenzao kutoka nchi tajiri?
Hiyo ni mada nyingine, labda tuanzishe uzi kuuliza ni kwanini hawapati misaada kutoka kwa wenzao matajiri
 
Na nyie mtaulizwa mlipewa mali chini ya ardhi ila mkabaki masikini wa kutupwa je mtajibu nini?
Mito inatiririka hata mtumbwi hauna
Madini, na ardhi yote ya kijani
Mvua za kumwaga
Msubiri viboko tu
Sahihi kabisa, kila mtu ataulizwa alitumiaje mali alizopewa na Mungu wake.
 
Na nyie mtaulizwa mlipewa mali chini ya ardhi ila mkabaki masikini wa kutupwa je mtajibu nini?
Mito inatiririka hata mtumbwi hauna
Madini, na ardhi yote ya kijani
Mvua za kumwaga
Msubiri viboko tu
Mleta mada hajui kua Bara la Africa ndio lilipaswa kua bara tajiri zaidi kuliko mabara yote.
 
Hiyo ni mada nyingine, labda tuanzishe uzi kuuliza ni kwanini hawapati misaada kutoka kwa wenzao matajiri
Hakuna cha mada nyingine,issue ni hiyo hiyo tu,

Fanya kazi kijana acha kutia huruma ya kuwaza kusaidiwa.
 
Wapi nimesema nimeshindwa kujihudumia? Wapi nimetia huruma, au nilishawahi kuja PM kukuomba hela ya kula?
Unaonekana umeanzisha mada ambayo wala hujui maana yake,

Hii mada ipo nje ya uwezo wako wa kufikiri.
 
Back
Top Bottom