Waarabu wanachezea mali alizowapa Mungu wakati duniani wapo Waislamu ambao hawapati hata mlo mmoja kwa siku

Waarabu wanachezea mali alizowapa Mungu wakati duniani wapo Waislamu ambao hawapati hata mlo mmoja kwa siku

Waarabu kwa kushirikiana na washirika wao wa BRICS ndyo nchi zinazo ongeza ushawishi wake duniani kwa sasa hasa katika uchumi.
Na wana hela haswa
India ameanza kununua mafuta UAE kwa local currency yao hakuna $$ tena
Mwanzo mgumu ila dunia haina mbabe sasa hata US anadiwa na China
 
Na wana hela haswa
India ameanza kununua mafuta UAE kwa local currency yao hakuna $$ tena
Mwanzo mgumu ila dunia haina mbabe sasa hata US anadiwa na China
Lakni huo ni mtego, kumbuka BRICS ndyo wanahimiza matumizi ya Digital Currency, na Huko ndipo wanataka kuipeleka dunia kifungoni
 
Sijaomba kusaidiwa, ila nimeeleza ni namna gani waarabu wanachezea pesa pasipo kusaidia Waislamu wenzao.

Mimi sina shida ya Msaada wa mtu, au nimewahi kukuomba hela ya kula?
Uzi wako unaonyesha wazi kabisa hali uliyonayo,u can't run from yourself.
 
Katika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache.

Na wala hawaendi nayo mali ile katika njia iliyo nyooka, wanaharibu na kuchezea ilhali wao ndyo waliopewa wajibu na Mungu kuwatupia macho waislamu dunia nzima. Inafika wakati wanakatazana au kupunguza uzalishaji kwa kuhofia kupungukiwa wakati sio wao waliyo iweka bali ni Mungu pekee.

Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.

Lakni wameharibu sana na kuchezea sana mali hizo kwa mambo ambayo ni batili, sasa hivi mashekhe huko uarabuni wanashindana kununua na kustawisha timu na wachezaji wa mpira, wanalipa mabilioni ya fedha kwa vilabu vya mpira wakati duniani wapo waislamu ambao hawana hata maji ya kunywa.

Wao ndyo viongozi na wenye dhamana ya kuwatizama Waislamu wengine duniani, na hizo mali hawakupewa kwa bahati mbaya ila kuzitumia katika njia yenye manufaa.

Wataulizwa na Mungu wao walitumiaje hizo mali kuimarisha uislamu na waislamu na watakosa la kujibu.
Usiseme waarabu ,sema viongozi mamluki wa Kizayuni waliojipenyeza kama waarabu feki wanaofanya kazi ya kutawala mataifa ya kiarabu kwa maslahi ya mazayuni hapo mashariki ya kati .
 
Usiseme waarabu ,sema viongozi mamluki wa Kizayuni waliojipenyeza kama waarabu feki wanaofanya kazi ya kutawala mataifa ya kiarabu kwa maslahi ya mazayuni hapo mashariki ya kati .
Umesema vyema mkuu, wamevaa kanzu na vilemba lakini mioyoni mwao ni tofauti.
 
Jordan ,Egypt ,Oman ,Saudia , UAE , ni mfano wa mataifa ya kiarabu yanayoongozwa na haya mapandikizi ya Kizayuni
 
Jordan ,Egypt ,Oman ,Saudia , UAE , ni mfano wa mataifa ya kiarabu yanayoongozwa na haya mapandikizi ya Kizayuni
Pia sio uarabuni tu, hata viongozi wa mataifa mengine duniani wana asili au wamepandikizwa na hao wazayuni( Zionist)
 
Back
Top Bottom