Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #101
Fanya hivyo kaka, yapo mengi sana ya kujifunza muleNilikuwa safarini kidogo ila ninampango nianze kukisoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya hivyo kaka, yapo mengi sana ya kujifunza muleNilikuwa safarini kidogo ila ninampango nianze kukisoma
Nitaanza kaka ratiba zilikua nyingi sana, ikafikia hatua naenda kulala saa tanoHaina noma kaka, hii ni mitandao tu.
Lakini natumai umeanza kusoma kile kitabu
Ndio ila kama unaujuzi wowote juu ya meditation natamani nijue walau hata kidogoFanya hivyo kaka, yapo mengi sana ya kujifunza mule
Naamini ukianza kusoma utagundua mambo mengi na utaanza kuleta nyuzi humu kushare na wengine mambo uliyo jifunzaNitaanza kaka ratiba zilikua nyingi sana, ikafikia hatua naenda kulala saa tano
Ninacho kitabu cha Meditation, nitakutumia pia mkuu.Ndio ila kama unaujuzi wowote juu ya meditation natamani nijue walau hata kidogo
Ahsante kaka, nikisikiaga story za meditation uwa natamani sana niijueNinacho kitabu cha Meditation, nitakutumia pia mkuu.
Kipo kitabu cha Meditation za imani tofauti, ukikisoma utajua kufanya kulingana na maelekezo yanayoendana na imani yako.Ahsante kaka, nikisikiaga story za meditation uwa natamani sana niijue
Ishiiiiii!!! Kwani hawa wa huku walilazimishwa wawe waislam? Si kiherehere chao tu.Wewe hushangai mtu mweusi kuwa muislamu harafu utegemee mwisho wa siku ukafanye ngono peponi na bikira wa kiarabu!!!!!!???? Kama sio uchizi ni nini. Utazani kwa akili ya kawaida yule Osama bin Laden au yule kiongozi wa Hamas aliyeuliwa kiboya kule Iran wanaweza kukubali dada zao wapigwe miti na mtu kutoka SIMIYU au GEITA kisa nae amekalili sijui kile kitabu cha Quran.Katika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache.
Na wala hawaendi nayo mali ile katika njia iliyo nyooka, wanaharibu na kuchezea ilhali wao ndyo waliopewa wajibu na Mungu kuwatupia macho waislamu dunia nzima. Inafika wakati wanakatazana au kupunguza uzalishaji kwa kuhofia kupungukiwa wakati sio wao waliyo iweka bali ni Mungu pekee.
Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.
Lakni wameharibu sana na kuchezea sana mali hizo kwa mambo ambayo ni batili, sasa hivi mashekhe huko uarabuni wanashindana kununua na kustawisha timu na wachezaji wa mpira, wanalipa mabilioni ya fedha kwa vilabu vya mpira wakati duniani wapo waislamu ambao hawana hata maji ya kunywa.
Wao ndyo viongozi na wenye dhamana ya kuwatizama Waislamu wengine duniani, na hizo mali hawakupewa kwa bahati mbaya ila kuzitumia katika njia yenye manufaa.
Wataulizwa na Mungu wao walitumiaje hizo mali kuimarisha uislamu na waislamu na watakosa la kujibu.
Kijuso 😂Kwa muarabu dini ya uislam ni njia mojawapo ya kutawala dunia.
Kwa wewe kijuso dini ni njia ya kwenda kwa Allah kula bikra 72
Wajinga ndio waliwao😂😂
Hao sio waislamu wa kweli, ni vibaraka wa zionismUtazani kwa akili ya kawaida yule Osama bin Laden au yule kiongozi wa Hamas
Yamekuwa hayo tena? Osama si ndo alikuwa mmiliki wa alqaida!!!!!???? Na Alqaida si nimojawapo ya magenge ya kumpigania Allah!!!! Humtendei haki Osama kumbagazaHao sio waislamu wa kweli, ni vibaraka wa zionism
Nani kakuambia Warabu hawasaidii umewahi fatilia Gulf states zinavyo saidia masikini, hebu soma hapa utaona mpa wakristo mnasaidiwa haswa wafrica 😄 Mpaa US anasaidiwa na warabu.Ninyi waislamu si huwa mnataka tusihusianishe uarabu na uislamu.
Huwa mnakataa katakata kwamba hamna mahusiano kila tukiwaambia uislamu ni jadi ya waislamu katika kuabudu na practically uislamu umejaa uarabu na kwamba kwa waarabu nyie ni kama watumwa tu.
Mnabisha.
Iweje leo mnataka waarabu wawasaidie waislamu wa nchi za kajamba nani?
royalgroupcharity.com
'Eti wataulizwa na Mungu wao'!Katika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache.
Na wala hawaendi nayo mali ile katika njia iliyo nyooka, wanaharibu na kuchezea ilhali wao ndyo waliopewa wajibu na Mungu kuwatupia macho waislamu dunia nzima. Inafika wakati wanakatazana au kupunguza uzalishaji kwa kuhofia kupungukiwa wakati sio wao waliyo iweka bali ni Mungu pekee.
Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.
Lakni wameharibu sana na kuchezea sana mali hizo kwa mambo ambayo ni batili, sasa hivi mashekhe huko uarabuni wanashindana kununua na kustawisha timu na wachezaji wa mpira, wanalipa mabilioni ya fedha kwa vilabu vya mpira wakati duniani wapo waislamu ambao hawana hata maji ya kunywa.
Wao ndyo viongozi na wenye dhamana ya kuwatizama Waislamu wengine duniani, na hizo mali hawakupewa kwa bahati mbaya ila kuzitumia katika njia yenye manufaa.
Wataulizwa na Mungu wao walitumiaje hizo mali kuimarisha uislamu na waislamu na watakosa la kujibu.
Hivi Allah na Mungu ni vitu viwili tofauti?'Eti wataulizwa na Mungu wao'!
Hivi kutatokea siku wanadamu watawekwa kikao cha hadhara na Mwenyezi Mungu aanze kuwahojiwa maswali ambayo tayari ana majibu yake?
Kwa nini Mungu mnamchukulia poa sana na kumvisha sura ya mtu yenye madhaifu kibao?
Kwa nini mnamtweza M/Mungu kiasi hiki?
We watu wanakuambia Mungu ni binadamu. Afu alizaliwa kwenye zizi la ngo'mbe unawaona wako sawa.'Eti wataulizwa na Mungu wao'!
Hivi kutatokea siku wanadamu watawekwa kikao cha hadhara na Mwenyezi Mungu aanze kuwahojiwa maswali ambayo tayari ana majibu yake?
Kwa nini Mungu mnamchukulia poa sana na kumvisha sura ya mtu yenye madhaifu kibao?
Kwa nini mnamtweza M/Mungu kiasi hiki?
Wao wamtafsiri kwa kiArabu kuwa Mungu ndiye huyo Allah.Hivi Allah na Mungu ni vitu viwili tofauti?