Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saudia ni nchi na ina watu wake wala hawana ulazima wa kumsaidia yoyote hizi nchi zimetoka kwenye hali mbaya sana lakini waarabu siku zote biashara ni asili yao wamechukuwa rasilimali za nchi na kuzigeuza kuwa biashara sio kwamba mafuta ndio kila kitu maana Africa kuna nchi zina mafuta na madini chungu nzima lakini umaskini upo. Tanzania ni tajiri kuliko nchi za kiarabu ki rasilimali lakini vipaumbele vyetu havina tija. Na sisi kama wananchi pia hatuna uaminifu wenzetu waarabu wizi ni kashfa kubwa sana ni aibu katika jamii bora uwe mlevi kuliko kuwa mwizi. Sisi kuiba ndio sifa usipoiba utaitwa mjinga.Sio kugawa pesa kwa kila mtu, ila ni kusaidia wale wenye uhitaji.
Kuna aliwin mungubwa chato ni kutengeneza maigizo kupitia vyombo vya habari hii strategies bora sana kwake na iliwin pakubwa hta aliowateua walikua wanatumia km ngao kwa mzee hata mtt wa mwisho naona huu utarbu kauendeleza ndo imekua silaha yake kuuteka umma wasiokua na akiriHivi mkuu ni kwanini wanyonge wa magufuri waliwachukia wasomi Na matajiri
Mbona huisemei Tanzania ambayo imekabidhi rasilimali zake kwa wageni wakati wenye kwenye lindi la umaskiniKatika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache.
Na wala hawaendi nayo mali ile katika njia iliyo nyooka, wanaharibu na kuchezea ilhali wao ndyo waliopewa wajibu na Mungu kuwatupia macho waislamu dunia nzima. Inafika wakati wanakatazana au kupunguza uzalishaji kwa kuhofia kupungukiwa wakati sio wao waliyo iweka bali ni Mungu pekee.
Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.
Lakni wameharibu sana na kuchezea sana mali hizo kwa mambo ambayo ni batili, sasa hivi mashekhe huko uarabuni wanashindana kununua na kustawisha timu na wachezaji wa mpira, wanalipa mabilioni ya fedha kwa vilabu vya mpira wakati duniani wapo waislamu ambao hawana hata maji ya kunywa.
Wao ndyo viongozi na wenye dhamana ya kuwatizama Waislamu wengine duniani, na hizo mali hawakupewa kwa bahati mbaya ila kuzitumia katika njia yenye manufaa.
Wataulizwa na Mungu wao walitumiaje hizo mali kuimarisha uislamu na waislamu na watakosa la kujibu.
Katika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache.
Na wala hawaendi nayo mali ile katika njia iliyo nyooka, wanaharibu na kuchezea ilhali wao ndyo waliopewa wajibu na Mungu kuwatupia macho waislamu dunia nzima. Inafika wakati wanakatazana au kupunguza uzalishaji kwa kuhofia kupungukiwa wakati sio wao waliyo iweka bali ni Mungu pekee.
Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.
Lakni wameharibu sana na kuchezea sana mali hizo kwa mambo ambayo ni batili, sasa hivi mashekhe huko uarabuni wanashindana kununua na kustawisha timu na wachezaji wa mpira, wanalipa mabilioni ya fedha kwa vilabu vya mpira wakati duniani wapo waislamu ambao hawana hata maji ya kunywa.
Wao ndyo viongozi na wenye dhamana ya kuwatizama Waislamu wengine duniani, na hizo mali hawakupewa kwa bahati mbaya ila kuzitumia katika njia yenye manufaa.
Wataulizwa na Mungu wao walitumiaje hizo mali kuimarisha uislamu na waislamu na watakosa la kujibu.
Uthibitisho gani mkuu unautaka. Wewe mwenyewe unavyoishi, ulivyoumbika na uumbaji unaouona ni uthibitisho wa wazi kwamba Mungu yupo. Mimi ninakuahakikishia 100% Mungu yupo.Huyo Mungu mwenyewe huwezi kuthibitisha kwamba yupo.
Ukibisha, thibitisha yupo.
Harafu swala tano, waharabu wa Tanzania ndo kabisa Sasa hivi wanachinjiwa mbuzi na kondooKatika nchi za uarabuni, huko mwenyezi Mungu ametandika kwenye ardhi mali kubwa sana ya petroli. Wanaichezea na kuitumia wale wenye nafasi za juu au viongozi tu na baadhi ya watu wachache.
Na wala hawaendi nayo mali ile katika njia iliyo nyooka, wanaharibu na kuchezea ilhali wao ndyo waliopewa wajibu na Mungu kuwatupia macho waislamu dunia nzima. Inafika wakati wanakatazana au kupunguza uzalishaji kwa kuhofia kupungukiwa wakati sio wao waliyo iweka bali ni Mungu pekee.
Zipo baadhi ya nchi wanaweza kuzalisha mamilioni ya mapipa kwa wakati mmoja, kiasi ambacho kinaweza kutumika japo robo tu kusaidia Waislamu wengine duniani ambao hata mlo mmoja kwa siku ni taabu kupatikana.
Lakni wameharibu sana na kuchezea sana mali hizo kwa mambo ambayo ni batili, sasa hivi mashekhe huko uarabuni wanashindana kununua na kustawisha timu na wachezaji wa mpira, wanalipa mabilioni ya fedha kwa vilabu vya mpira wakati duniani wapo waislamu ambao hawana hata maji ya kunywa.
Wao ndyo viongozi na wenye dhamana ya kuwatizama Waislamu wengine duniani, na hizo mali hawakupewa kwa bahati mbaya ila kuzitumia katika njia yenye manufaa.
Wataulizwa na Mungu wao walitumiaje hizo mali kuimarisha uislamu na waislamu na watakosa la kujibu.
Teh teh tehMi si mkristu wala muislamu.
Sina dini.
Naishi kwa amani.
Kutoamini dini nayo ni imani. Ni dini.Serikali ya dini zote ndio serikali gani hiyo na itafanyaje kazi na vipi kuhusu wale wengine wasioamini katika hizo dini.
👍👍🏽Mada inahusu waarabu na ndugu zao Waislamu
Sitaki kuandika sana, nitatoa logical fallacy.Uthibitisho gani mkuu unautaka. Wewe mwenyewe unavyoishi, ulivyoumbika na uumbaji unaouona ni uthibitisho wa wazi kwamba Mungu yupo. Mimi ninakuahakikishia 100% Mungu yupo.
Faiza Foxy toa mchango hapahttps://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2245135/Uuslam hautegemei nali ya mtu kuundeleza. Ikiwa mtu hafati mafundisho ya Uislam hilo ni tatizo lake sio la wote au la Muslam mwengine.
Sijaona katika Uislam kuwa pesa au mali ndio kigezo cha kuuendeleza Uislam.
Uislam ni mwepesi sana, hauhitaji mali kuwa Muislam.
Hiyo link haifunguki, weka vizuri.Faiza Foxy toa mchango hapahttps://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2245135/
Hata hivyo alikubalika sn .. mpaka leo viongozi wa nchi wanapishana kusujudia kaburi lake.Kaka futa neno unyonge ni neno la laaana sinnejo zuri hilo neno liletwa na hayati kimkakati kufanya raia kuona umaskini ni sifa
Wajinga na wapumbavu ndo wanahangaikaHata hivyo alikubalika sn .. mpaka leo viongozi wa nchi wanapishana kusujudia kaburi lake.
SweetPain hujatulia ujue, wewe siyo bikira latifahna bikira maria ni kweli ndivyo alivyo?
cc bikira latifah