Waarabu wapigane na Israel kivitendo sio kutoa ahadi ya kujenga pekee pale palipovunjwa.

Waarabu wapigane na Israel kivitendo sio kutoa ahadi ya kujenga pekee pale palipovunjwa.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hapo majuzi nchi tano za kiarabu ziliahidi kusimamia mpango wa kuijenga Gaza kwa gharama ya dola bilioni 53.Ni jambo zuri sana lakini ni maamuzi ya kizembe sana.
Wakati ahadi hiyo ikitolewa ilishapita wiiki 2 Israel ikiwa imezuia mahitaji yote kuingia Gaza tena katka mwezi mtukufu wa Ramadhani.Si kuzuia vyakula tu,bali Israel imeendelea kupiga maeneo tofauti ya Gaza na kuua watu kadhaa ikiwa ni uvunjifu wa mkataba wa kusitisha vita wa wazi wazi.
Uvunjwaji wa majengo karibu yote ya Gaza usingetokea iwapo tangu mwanzo nchi za kiarabu zingeamua kuizuia Israel kivitendo kwa namna moja au nyengine.
Kama ni ujirani au haja ya kuwa na amani na jirani basi hata Mexico na Canada pia zinapenda jambo hilo lakini wanapoona heshima na maslahi yao yanakandamizwa na jirani yao ,Marekani basi na wao wameamua kupigana kiume na sera za Trump
Kwa kuacha madhila kwa wapalestina kuendelea kila siku hata baada ya mikataba ya amani kunatoa tafsiri gani kwa nchi za kiarabu.
 
Hapo majuzi nchi tano za kiarabu ziliahidi kusimamia mpango wa kuijenga Gaza kwa gharama ya dola bilioni 53.Ni jambo zuri sana lakini ni maamuzi ya kizembe sana.
Wakati ahadi hiyo ikitolewa ilishapita wiiki 2 Israel ikiwa imezuia mahitaji yote kuingia Gaza tena katka mwezi mtukufu wa Ramadhani.Si kuzuia vyakula tu,bali Israel imeendelea kupiga maeneo tofauti ya Gaza na kuua watu kadhaa ikiwa ni uvunjifu wa mkataba wa kusitisha vita wa wazi wazi.
Uvunjwaji wa majengo karibu yote ya Gaza usingetokea iwapo tangu mwanzo nchi za kiarabu zingeamua kuizuia Israel kivitendo kwa namna moja au nyengine.
Kama ni ujirani au haja ya kuwa na amani na jirani basi hata Mexico na Canada pia zinapenda jambo hilo lakini wanapoona heshima na maslahi yao yanakandamizwa na jirani yao ,Marekani basi na wao wameamua kupigana kiume na sera za Trump
Kwa kuacha madhila kwa wapalestina kuendelea kila siku hata baada ya mikataba ya amani kunatoa tafsiri gani kwa nchi za kiarabu.
Toa ushauri wenye mashiko wafanyeje sasa?

Washaungana mataifa yote ya kiarabu kijeshi kuipiga Israel na wakaangukia pua.

Unashauriwa usipigane na mwenye nguvu, bali ungana naye.

Kwanini nchi za kiarabu zina diplomasia za vita vita sana na visasi, udini na ukabila why?
 
Toa ushauri wenye mashiko wafanyeje sasa?

Washaungana mataifa yote ya kiarabu kijeshi kuipiga Israel na wakaangukia pua.

Unashauriwa usipigane na mwenye nguvu, bali ungana naye.

Kwanini nchi za kiarabu zina diplomasia za vita vita sana ni visasi, udini na ukabila why?
Mbinu ya diplomasia kama wameangalia vyema haijawasaidia chochote.Kila siku wanadharaulika na kuvunjiwa heshima zao ilhali uwezo wanao wa kupigana,
Kama waliogopa nguvu ya Israel hapo mwanzo,Mbona kikundi kidogo tu cha watu kimefanikiwa kuitoa kamasi Israel inaelelekea miaka 2 sasa.
 
Mbinu ya diplomasia kama wameangalia vyema haijawasaidia chochote.Kila siku wanadharaulika na kuvunjiwa heshima zao ilhali uwezo wanao wa kupigana,
Kama waliogopa nguvu ya Israel hapo mwanzo,Mbona kikundi kidogo tu cha watu kimefanikiwa kuitoa kamasi Israel inaelelekea miaka 2 sasa.
Hamas waliwatoa Israel kamasi wapi au ni nyie wafia dini mmejitahidi kutengeneza propaganda za kuwapaisha Hamas na kupaza sauti ya Dunia kuwaonea huruma Hamas kupitia mgongo wa wanawake na watoto wanauawa hao Hamas waliokuwa wanavaa kiraia kipindi Cha mapigano na kuwatumia raia wa Gaza kama ngao ndio walioitoa Israel kamasi sema Dunia imepiga sana kelele kuwatetea wapalestina na kumkatisha Israel tamaa lasivyo Gaza imemalizwa
 
Hapo majuzi nchi tano za kiarabu ziliahidi kusimamia mpango wa kuijenga Gaza kwa gharama ya dola bilioni 53.Ni jambo zuri sana lakini ni maamuzi ya kizembe sana.
Wakati ahadi hiyo ikitolewa ilishapita wiiki 2 Israel ikiwa imezuia mahitaji yote kuingia Gaza tena katka mwezi mtukufu wa Ramadhani.Si kuzuia vyakula tu,bali Israel imeendelea kupiga maeneo tofauti ya Gaza na kuua watu kadhaa ikiwa ni uvunjifu wa mkataba wa kusitisha vita wa wazi wazi.
Uvunjwaji wa majengo karibu yote ya Gaza usingetokea iwapo tangu mwanzo nchi za kiarabu zingeamua kuizuia Israel kivitendo kwa namna moja au nyengine.
Kama ni ujirani au haja ya kuwa na amani na jirani basi hata Mexico na Canada pia zinapenda jambo hilo lakini wanapoona heshima na maslahi yao yanakandamizwa na jirani yao ,Marekani basi na wao wameamua kupigana kiume na sera za Trump
Kwa kuacha madhila kwa wapalestina kuendelea kila siku hata baada ya mikataba ya amani kunatoa tafsiri gani kwa nchi za kiarabu.
Nani anataka kichapo saa hiii. We kwanini unapigana nyuma ya keyboard hata kuandamana tu kwenda hapo ubalozin kumekushinda
 
Mungu amewapa nyenzo nyingi waarabu za kupigana na Israel.Tatizo hawajaelewa.
Nyenzo gani wakati magari ya ev ndio mpango mzima petrol ya Mwarabu bye bye Kongo ndio Saudi Arabia mpya 😁
 
Nyenzo gani wakati magari ya ev ndio mpango mzima petrol ya Mwarabu bye bye Kongo ndio Saudi Arabia mpya 😁
Magari hayo ya ev nayo itachukua muda mpaka utaingia kaburini bado ni kitendawili kwa kulinganisha na petrol.
Muulize Ellon Musk anayo mangapi yaliyododa kwenye ghala zake,
 
Magari hayo ya ev nayo itachukua muda mpaka utaingia kaburini bado ni kitendawili kwa kulinganisha na petrol.
Muulize Ellon Musk anayo mangapi yaliyododa kwenye ghala zake,
Kwahiyo mumeanza kupiga dua na ramli?😁

Waarabu wenyewe wameanza kutafuta mbadala wa Petro dollar sasa hivi wanahimiza utalii wewe mwarabu wa kimbiji ndio unaumia roho.
 
Hapo majuzi nchi tano za kiarabu ziliahidi kusimamia mpango wa kuijenga Gaza kwa gharama ya dola bilioni 53.Ni jambo zuri sana lakini ni maamuzi ya kizembe sana.
Wakati ahadi hiyo ikitolewa ilishapita wiiki 2 Israel ikiwa imezuia mahitaji yote kuingia Gaza tena katka mwezi mtukufu wa Ramadhani.Si kuzuia vyakula tu,bali Israel imeendelea kupiga maeneo tofauti ya Gaza na kuua watu kadhaa ikiwa ni uvunjifu wa mkataba wa kusitisha vita wa wazi wazi.
Uvunjwaji wa majengo karibu yote ya Gaza usingetokea iwapo tangu mwanzo nchi za kiarabu zingeamua kuizuia Israel kivitendo kwa namna moja au nyengine.
Kama ni ujirani au haja ya kuwa na amani na jirani basi hata Mexico na Canada pia zinapenda jambo hilo lakini wanapoona heshima na maslahi yao yanakandamizwa na jirani yao ,Marekani basi na wao wameamua kupigana kiume na sera za Trump
Kwa kuacha madhila kwa wapalestina kuendelea kila siku hata baada ya mikataba ya amani kunatoa tafsiri gani kwa nchi za kiarabu.
Warabu gani hao viongozi? Hao siwameisha kuwa mapuppets wa US unadhani lipi litakuwa linaleta kheri.

Hizo pesa wangenunua silaha kuwapa Hamas ni bora kuliko ujenge majumba afu yavunjwe tena. Dawa ya israel ni kuwapa Hamas silaha mpya hizo Billions zipelekwe kwenye ununuzu wa silaha hapa utaona heshima itakayo tolewa na Israel.


View: https://youtube.com/shorts/dnAXhPApHwQ?si=CiAUvx5msgFU3tar
 
What the jihadists need to understand is that the Arabs are not stupid and that is why they have abandoned the idea of being able to confront Israel militarily and decided to use diplomacy.

Besides that, the Arabs know very well that the disputed land is the legitimate land of Israel and that the so-called Palestinians from various Arab countries are just immigrants in the area.

If these so-called Palestinians continue to accept being used by the Hamas terrorists to further their terrorist agenda, then there is a risk that the so-called Palestinians will completely lose even the lands they currently occupy a situation that will leave their fellow Arabs as mere spectators to their predicament.
 
Back
Top Bottom