Waarabu wenye OG wanapiga msosi huku chui naye akiwa anapiga piga nao msosi maisha yanaenda

Waarabu wenye OG wanapiga msosi huku chui naye akiwa anapiga piga nao msosi maisha yanaenda

Dini haiangaliwu watu wanafanya nn... Dini Ni maamrisho na makatazo yaliandikwa kwenye Qur'an na sio watu wa jamii fulan
Hajui huyu mgala anafikri akifukuliwa mtaro Italy ni sahihi na wa kwatemba nae afukuliwe dini haiko hv nadhan umempa jibu sahihi
 
Waarabu wenye OG wanapiga msosi huku chui naye akiwa anapiga piga nao msosi maisha yanaenda.

Ungekuta huku kwetu akiguswa na Mbwa anakimbia kwenda kunawa utadhani wa maana. Hawa jamaa si tu huyu kawagusa. Wanakula naye msosi.

Badala ya kuiga teknolojia na wawekeze huko utawakuta wanajiona wao ni Waarabu kuliko Waarabu, ni Wayahudi kuliko Wayahudi.
View attachment 3255582
Mbona hajala chochote zaidi ya kunusanusa tu chakula?
 
Halafu waislamu walivyo manafiki sijui nguruwe aliwakosea wapi, unakuta danga unalinunulia pombe kisha muondoke ukalipige show, ila ukiliagizia kitimoto linakuambia mimi muislamu, ilhali hapo anafanya umalaya na kunywa pombe, ujuha...
 
Back
Top Bottom