Waarabu weusi wapinga Sheria mpya ya Ndoa huko Nchini Morocco, wapandisha sukari

Waarabu weusi wapinga Sheria mpya ya Ndoa huko Nchini Morocco, wapandisha sukari

kiss daniel

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
758
Reaction score
2,062
Amani kwenu wana jukwaa

Nchini Morocco kumetungwa Sheria mpya ya NDOA ambayo kwa waislam weusi wa TANZANIA wanadai inakinzana na utamadun wa kiarabu yaan wa kiislamu

Bunge la Morocco limepiga marufuku Binti wa umri wa chin ya miaka 18 kuolewa na ukimuoa unafia jela

Lakini pia ni marufuku kuongeza mke wa pili kwa mwanaume yeyote yule awe mkristo au mwisilam

Sasa nimepita huko mtandaon waislam wa misungwi, tinde, masasi wanadai inch ya Morocco imeanza kufuata Sheria za kikafir

Kikawaida katika uislam ndoa inaanzia na mtoto wa miaka 6 inafaa awe ameolewa na ni suna


Lakini pia kila mwanamume aoe wanawake wasiozidi wanne

Asante

Chanzo BBC
 
Na Wanawake wa Morocco ni wasimbe balaa, wanagawa papuchi sana- Kwa kweli Ngoja watungiwe sheria labda itasaidia hizi papuchi za kula kimasiara zimezidi sana. Ukitupa jiwe gizani kimasiara lazima lidakwe tu.
 
Amani kwenu wana jukwaa

Nchini Morocco kumetungwa Sheria mpya ya NDOA ambayo kwa waislam weusi wa TANZANIA wanadai inakinzana na utamadun wa kiarabu yaan wa kiislamu

Bunge la Morocco limepiga marufuku Binti wa umri wa chin ya miaka 18 kuolewa na ukimuoa unafia jela

Lakini pia ni marufuku kuongeza mke wa pili kwa mwanaume yeyote yule awe mkristo au mwisilam

Sasa nimepita huko mtandaon waislam wa misungwi, tinde, masasi wanadai inch ya Morocco imeanza kufuata Sheria za kikafir

Kikawaida katika uislam ndoa inaanzia na mtoto wa miaka 6 inafaa awe ameolewa na ni suna


Lakini pia kila mwanamume aoe wanawake wasiozidi wanne

Asante

Chanzo BBC
Morocco pale ukipiga mbizi unaingia Ulaya in minutes. Sio wale wajinga wajinga wa Iraq wanataka kushusha umri wa binti kuolewa ufikie ule wa karne ya 7!
 
Amani kwenu wana jukwaa

Nchini Morocco kumetungwa Sheria mpya ya NDOA ambayo kwa waislam weusi wa TANZANIA wanadai inakinzana na utamadun wa kiarabu yaan wa kiislamu

Bunge la Morocco limepiga marufuku Binti wa umri wa chin ya miaka 18 kuolewa na ukimuoa unafia jela

Lakini pia ni marufuku kuongeza mke wa pili kwa mwanaume yeyote yule awe mkristo au mwisilam

Sasa nimepita huko mtandaon waislam wa misungwi, tinde, masasi wanadai inch ya Morocco imeanza kufuata Sheria za kikafir

Kikawaida katika uislam ndoa inaanzia na mtoto wa miaka 6 inafaa awe ameolewa na ni suna


Lakini pia kila mwanamume aoe wanawake wasiozidi wanne

Asante

Chanzo BBC
Hiyo ndo komesha kwa wale Jamaa wenye kupenda kula Dodo changa kwa chumvi. Kisingizio eti dini imeruhusu.
 
Amani kwenu wana jukwaa

Nchini Morocco kumetungwa Sheria mpya ya NDOA ambayo kwa waislam weusi wa TANZANIA wanadai inakinzana na utamadun wa kiarab

Kikawaida katika uislam ndoa inaanzia na mtoto wa miaka 6 inafaa awe ameolewa na ni suna


Lakini pia kila mwanamume aoe wanawake wasiozidi wanne

Asante

Chanzo BBC
Naomba uanizshe thread ya hii mada kuhusu miaka 6 andika vizuri kabisa Kwa mbwembwe Kama hivi halafu nitagi tufanye debate unieleze miaka 6 imepatkanaje na Mimi ntakueleza umri sahihi kipindi huyo Binti unayesema kaoulewa akiwa na miaka 6 akati in reality ilikua 18, Mimi na hoja yangu alikua na 18 wew hoja Yako alikua na 6 twende Kwa nyrakaka
 
waarabu na waislamu ma elite karibia wote wana mke 1, nimekutana na middle class families nyingi ktk emirate au hata saudia wakifanya hollidays na wote walikuwa families yaani baba, mama na watoto, mambo ya kuoa wake wengi ni mila na desturi za waafrika weusi, sisi bado tuna practice polygamy na haijalishi ni dini gani, tanzagiza wanaume karibia nusu au naweza kusema wote wana watoto nje ya ndoa au wana nyumba ndogo, hivyo ni uafrika zaidi na siyo dini, afrika ukiwa na wanawake wengi wewe ni shujaa, culture nyingine civilized ukiweza kuwa na long term relationship with one partner ndiyo unaonekana ni mwanaume aliyejipanga kimaisha …
 
Amani kwenu wana jukwaa

Nchini Morocco kumetungwa Sheria mpya ya NDOA ambayo kwa waislam weusi wa TANZANIA wanadai inakinzana na utamadun wa kiarabu yaan wa kiislamu

Bunge la Morocco limepiga marufuku Binti wa umri wa chin ya miaka 18 kuolewa na ukimuoa unafia jela

Lakini pia ni marufuku kuongeza mke wa pili kwa mwanaume yeyote yule awe mkristo au mwisilam

Sasa nimepita huko mtandaon waislam wa misungwi, tinde, masasi wanadai inch ya Morocco imeanza kufuata Sheria za kikafir

Kikawaida katika uislam ndoa inaanzia na mtoto wa miaka 6 inafaa awe ameolewa na ni suna


Lakini pia kila mwanamume aoe wanawake wasiozidi wanne

Asante

Chanzo BBC
Wewe ya Morroco yanakuhusu Nini. Nenda tu kajiunge na jumuia za ushoga, hapo ndio utaufikia uhuru kamili kwa maoni yako
 
Amani kwenu wana jukwaa

Nchini Morocco kumetungwa Sheria mpya ya NDOA ambayo kwa waislam weusi wa TANZANIA wanadai inakinzana na utamadun wa kiarabu yaan wa kiislamu

Bunge la Morocco limepiga marufuku Binti wa umri wa chin ya miaka 18 kuolewa na ukimuoa unafia jela

Lakini pia ni marufuku kuongeza mke wa pili kwa mwanaume yeyote yule awe mkristo au mwisilam

Sasa nimepita huko mtandaon waislam wa misungwi, tinde, masasi wanadai inch ya Morocco imeanza kufuata Sheria za kikafir

Kikawaida katika uislam ndoa inaanzia na mtoto wa miaka 6 inafaa awe ameolewa na ni suna


Lakini pia kila mwanamume aoe wanawake wasiozidi wanne

Asante

Chanzo BBC
Shida wagalatia mnapenda sana kufuatilia habari za waaislamu

Mkishikwa padogo tu mnaanaanza kulialia.

mfumo wa Sheria za uislamu haujui ila unajifanya unaingiza kejeli

Halafu papa kasema HUU NI MUDA WA KUFUMULIWA 071.... SIO WA KUKAA JF
 
waarabu na waislamu ma elite karibia wote wana mke 1, nimekutana na middle class families nyingi ktk emirate au hata saudia wakifanya hollidays na wote walikuwa families yaani baba, mama na watoto, mambo ya kuoa wake wengi ni mila na desturi za waafrika weusi, na haijalishi dini gani, tanzagiza wanaume karibia nusu au naweza kusema wote wana watoto nje ya ndoa au wana nyumba ndogo, hivyo ni barbarism ya waafrika na siyo dini, afrika ukiwa na wanawake wengi wewe ni shujaa, culture nyingine civilized ukiweza kuwa na long term relationship with one partner ndiyo unaonekana ni mwanaume aliyejipanga kimaisha …
Kwani Kuna sehemu imeandikwa kuoa wake wa4 ni lazima?

Mtu maisha yako yote upo Kibaigwa unasingizia uarabuni
 
Naomba uanizshe thread ya hii mada kuhusu miaka 6 andika vizuri kabisa Kwa mbwembwe Kama hivi halafu nitagi tufanye debate unieleze miaka 6 imepatkanaje na Mimi ntakueleza umri sahihi kipindi huyo Binti unayesema kaoulewa akiwa na miaka 6 akati in reality ilikua 18, Mimi na hoja yangu alikua na 18 wew hoja Yako alikua na 6 twende Kwa nyrakaka
Hao jamaa kwa kuokoteza habari hawajambo

Kuna jamaa mmoja ofisini alikuwa anaongelea kuhusu majina ya surah za Quran

Sasa sura ya ng'ombe, meza, nk zinawasaidia nini? Kwa kejeli

Nikamuelezea kisa cha huyo ng'ombe anayemsema ( nabii Musa (a.s) na banii Israel) mpaka wakaambiwa wachinje ng'ombe

Niiamuuliza faida umezipata? Akawa kimya

Nikanda chatgpt nikatafuta mafunzo ya kisa nikampa asome


Nikamuambia tuende na surah nyingine? Akakataa mwenyewe

Wanabeba fake information kutoka kwa viongozi wao
 
waarabu na waislamu ma elite karibia wote wana mke 1, nimekutana na middle class families nyingi ktk emirate au hata saudia wakifanya hollidays na wote walikuwa families yaani baba, mama na watoto, mambo ya kuoa wake wengi ni mila na desturi za waafrika weusi, na haijalishi dini gani, tanzagiza wanaume karibia nusu au naweza kusema wote wana watoto nje ya ndoa au wana nyumba ndogo, hivyo ni barbarism ya waafrika na siyo dini, afrika ukiwa na wanawake wengi wewe ni shujaa, culture nyingine civilized ukiweza kuwa na long term relationship with one partner ndiyo unaonekana ni mwanaume aliyejipanga kimaisha …
Kija wewe ni ke au me kabla sijakujibu??
 
Kwenye uislam kuoa mke zaidi ya mmoja sio maagizo wala sio lazima bali ni ruhusa imetolewa kwa muislam kutumia hiyari yake na utashi wake tu.

Na ili uowe mke wa pili kuna vigezo unatakiwa kuwa navyo na sio unaowa owa tu.
Alafu acha kupotosha hajawakataza mwana ume kuoa mke zaidi ya mmoja bali wametunga sheria inayo mpa nguvu mke kupinga mmewe kuongeza mke ,ina maana kwa sasa mwanaume akitaka kuoa mke wa pili ni razima mke wake akubali tofauti na hapo ni big no.
Alafu kingine ambacho wenda ulikuwa hukijui waarabu sio waumini wa ndoa za mitaala kihivyo,ni mara chache sana kukuta mwarabu ameoa mke zaidi ya mmoja.

Tabia ya kupenda na kumiliki rundo la wanawake wanayo watu weusi kwa sababu ngono kwetu ndo kipaumbele cha kwanza kwenye maisha yetu.

Ndio maana hata wakristo wa kiafrika wasio ruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja wana rundo la michepuko nje ya ndoa zao.
 
Back
Top Bottom