ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Congo wenye nasaba ya kitutsi.M23 ni Rwanda?
Nini Sasa hatima na suluhu ya huko?Ni Congo wenye nasaba ya kitutsi.
Ila sasa muunganiko wa M23! wajumuisha wakongo waitwao “moderates” ambao hawawachukii watutsi.
Yaan tatzo lao nkwamba huruma kwa jamii isiyo ya kwao ni sifuri kbsaa. Yaani hii isue ya huko Goma itawafanya vijana wa kizaz kipya iwatazame kwa sura nyingne kbsaa. IHiyo jamii imeshathibitisha haifai kukaa na jamii nyengine.
Hawa dawa yao warudishwe huko huko makwao.
Hata kama wakikosa makazi watajua wao wenyewe.
Mtusi anajulikana,pua haidanganyi,unamuona kigwangala!?..baba yake mtusi wa burundi,tazama ile puaKwahiyo hata Mhutu mwembamba mrefu pia anakuwa ni Mtutsi?!
Kwahiyo "Kasongoo" wote ni Watutsi
Mwishowe utasema hata Mzee Wasira ni Mtusi kwasababu ya ile pua 😃Mtusi anajulikana,pua haidanganyi,unamuona kigwangala!?..baba yake mtusi wa burundi,tazama ile pua
Naujua,naufuatilia tangu hujazaliwa pengine, aliyekua mkuu wa ujasusi Rwanda kafanya interview,kamsikilizeMwishowe utasema hata Mzee Wasira ni Mtusi kwasababu ya ile pua 😃
We jamaa huujui huu mgogoro wewe jikite na kuwasifia Hamas na Wahouthi.
Kwa kuwa utawala wa machifu na wafalme waliweza kutambua mipaka yao, basi hiyo ni dhahiri kulikuwa na mipaka ya asili kwa wakati huo.Kweni Kingdom of Rwanda/Urundi ilikuwa inatawaliwa na Mfalme mmoja na ilikuwa na mipaka inayotambulika?!
Kwa kweli ni kuitengeneza upya Congo DRC na kumpata kiongozi sahihi. Baada ya hapo ni kufanya mazungumzo baina ya pande zote na kukubaliana namna ya kutumia kwa pamoja rasilimali walo nazo.Nini Sasa hatima na suluhu ya huko?
Waafrika wenye asili ya Ufugaji ni natural born leaders angalia Nigeria Federation akina Buhari ambao ni Wafugaji wa makabila ya Fulani angalia Kenya Rutto ambae ni kutoka kwa wafugaji angalia Mzee Yoweri angalia Mitume wengi wa Mungu walikuwa ni Wafugaji.Twaweza sema wabelgiji walikuwa “very fascinated” na uwezo wa watutsi kiakili na vimo vyao virefu na pia urefu wa pua zao
Yaani Gen nyamwasa(mtusi) amuondoe kagame Ili wahutu wafanye revenge,umelewa rubisi!?Huyo Jasusi alikuwa anataka kumuondoa Kagame madarakani ili revenge dhidi ya Wahutu ifanyike.
Mkuu malizia point yako umeishia juujuu.Waafrika wenye asili ya Ufugaji ni natural born leaders angalia Nigeria Federation akina Buhari ambao ni Wafugaji wa makabila ya Fulani angalia Kenya Rutto ambae ni kutoka kwa wafugaji angalia Mzee Yoweri angalia Mitume wengi wa Mungu walikuwa ni Wafugaji.
Natambua hata hayati Nyerere alikuwa akichunga ng’ombe na akaanza shule ana miaka 12 na akapiga hadi ung’eng’e kisawasawa.Waafrika wenye asili ya Ufugaji ni natural born leaders angalia Nigeria Federation akina Buhari ambao ni Wafugaji wa makabila ya Fulani angalia Kenya Rutto ambae ni kutoka kwa wafugaji angalia Mzee Yoweri angalia Mitume wengi wa Mungu walikuwa ni Wafugaji.
Kagame amezuia mauaji ya kisasi ya Watutsi dhidi ya Wahutu wa Rwanda kulikuwa na baadhi ya Watutsi waliotala kulipa kisasi kwa kumuondoa Kagame madarakani.Yaani Gen nyamwasa(mtusi) amuondoe kagame Ili wahutu wafanye revenge,umelewa rubisi!?
Wanataka kupindua serikali hawa walifukuzwa or kuvuliwa madaraka ndio wameanzisha hili kundi even though lazima kuna power nyuma yao toka nchi nyingine na hasa magharibiLengo lao ni nini hawa jamaa
Wana bahati sana wamekutana na jeshi goigoi la congo
Hata Mzee Yoweri Museveni ni kijana wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Lakini zipo sifa zingine za ziada ambazo mtu aweza kuziangalia ndo maana mzee PK alitumika na vijana wengine kwa hayati Mwalimu kwenye vita na Uganda kwa sababu alikuwa tayari ana uwezo kiujuzi na kiakili.
Wamagharibi mikono yao imefungwa khasa baada ya kugundulika kuwepo kwa makundi mengi ya mamluki wa kigeni.Wanataka kupindua serikali hawa walifukuzwa or kuvuliwa madaraka ndio wameanzisha hili kundi even though lazima kuna power nyuma yao toka nchi nyingine na hasa magharibi