Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu

Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu

Sawa vyovyote utakavyosema, lakini unamjua aliewafurusha 2013 basi ni huyo huyo atakaewarudisha kwao Rwanda.
Hawezi, kwasababu Watutsi wa Kongo ni Wakongomani labda akawakamate fldr awakabidhi Rwanda.
 
Hotuba hii nyingine kuhusu mustakhabali wa amani Mashariki ya DR Congo

GEOPOLITICS KANDA YA MAZIWA MAKUU, EAC NA SADC

16 January 2025
Kigali, Rwanda

KAGAME ALIPUA WANA diplomasia
: 'Tshisekedi Ni Mjinga: Hajawahi Kushinda Uchaguzi Kongo, Na Mnajua Lakini Hamwezi Kusema Hadharani, Leo Nawaambia Live / Mubashara'

View: https://m.youtube.com/watch?v=lxfdT9kYBLA

Rais wa Rwanda amezidisha mvutano kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuwalipua wanadiplomasia wakati alipokutana nao katika mkutano wa kila mwaka na mabalozi wa nje wanaowakilisha nchi yao mjini Kigali Rwanda jana.

Kagame alimtaja rais mlaghai wa DRC Felix Tshisekedi kama mjinga ambaye hakujua la kufanya kama kiongozi.

Alisema Tshisekedi hajawahi kuchaguliwa kihalali na ndiyo sababu vita mashariki mwa Kongo vinaongezeka.

Kagame anatuhumiwa kuwafadhili waasi wa M23 ambao sasa wanadhibiti maeneo makubwa ya mashariki mwa DRC.

“Mtu (Tshisekedi) anayesababisha matatizo kati ya Rwanda na DRC hajawahi, mara mbili, kuchaguliwa na nyote mnajua. NA ninajua.

“Mtu huyu Tshisekedi hakuwahi kuchaguliwa, kwanza, hakuchaguliwa kabisa. Na unajua. Ni kwamba tu hatuiongelei hadharani na ninaizungumza hadharani sasa.

“Hiyo ndiyo tofauti. Mnaijua. Mara ya pili, hakuna kilichotokea. Na mnajua.”

Kagame aliongeza kuwa Tshisekedi hakuwa na sifa za uongozi.

“Nawafahamu viongozi ninapowaona. Pia najua wajinga ninapowaona.

"Unaweza kufikiria mchanganyiko wa wote wawili, janga ni.

"Kama wewe ni kiongozi na mjinga, ni balaa kabisa. Ni mbaya zaidi, hata hatari zaidi, ikiwa watu walewale walioshikilia mamlaka mikononi mwao wataamua kuwa watatumiwa na kuchezewa kwa maslahi fulani na wajinga,” alisema Rais Kagame.

Nchini Kongo kuna watu wanaongea Kinyarwanda, pia wilaya kadhaa za nchini Uganda lakini Uganda haisemi wale siyo raia wa Uganda ila Kongo kwa ujinga wao wanaamini raia wa Kongo wanaoongea Kinyarwabda siyo Wakongomani ! Huu ni ujinga na mbaya zaidi sehemu ya Jumuiya ya Kimataifa inakubali mtizamo wa Kongo!

Hili suala la Umoja wa Mataifa kulinda amani kwa miongo 3 yaani miaka 30 bila kufikiwa lengo la kuleta amani nchini Congo.

Hivyo ni jukumu la Rwanda kutafuta njia mbadala kuhakikusha usalama wake kwa kuwa inapakana na nchi iliyoshindwa kulinda usalama wake, huku viongozi wa Kongo wakifumbia macho Intarahamwe waliopo nchi jirani waliohusika na mauaji ya ya kimbari nchini Rwanda..

Inasikitisha jumuiya ya kimataifa chini ya mamlaka ya Umoja wa Mataifa kuilaumu Rwanda wakati ni wao jumuiya ya kimataifa imeshindwa kusitisha vita nchini Kongo mbali ya kutumia mamilioni ya dolari, vifaa, na Majeshi ya Kulinda Amani chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa MONUSCO ...

Kagame ni mnafiki ktk hilo la kushinda uchaguzi. Huko Rwanda yeye si anashindana mwenyewe.
 
Ananyoosha tu Bukavu Uvira Kalemie Moba yaani kando kando ya Ziwa Tanganyika Potwe hadi Lubumbashi.
Hahahaha,hii ndio njia hata mm naona atatumia,ila sasa vile vikundi vya ulinzi vya kijadi..Mai Mai ,Simba na wengine wataelewana kweli?
 
Hahahaha,hii ndio njia hata mm naona atatumia,ila sasa vile vikundi vya ulinzi vya kijadi..Mai Mai ,Simba na wengine wataelewana kweli?
Vita ni training equipment na ammo na CAUSE.

Mai-Mai.jpg

Sasa hawa ndio Wamayimayi unafikiri watazuia Waasi wa Congo River Alliance?

Labda uchawi wao ufanye kazi ya nguvu.
 
Nilichokigundua Felix Tshisekedi ana maadui wengi sana ndani ya Kongo sijui aliwafanya nini?
Congo Kuna ukabila Fulani hv ,hasa watu wa Katanga,huwa wanawadharau watu wa Kabila la Kasai anakotokea Felix

Kipindi Cha nyuma wacongo hasa wakatangee walikua wakiapa kabisa DRC hatokuja kuwa na Rais kutoka Kasai

Sasa alipoingia Felix (mkasai ) waluba na wakatangee wengi ni km hawamkubali

Atapata tabu Felix maana na uhakika pale Katanga, ( haut Katanga /Lubumbashi,) kupata full sapoti ni ngumu
 
Gen. (Rtd) James Kabarebe, a three war veteran

Gen (Rtd) Kabarebe afunguka siri na mbinu za medani zilizotumika na RPA, kulishinda jeshi la FAR la rais jenerali Habyarimana


View: https://m.youtube.com/watch?v=9i2yKyxTYA0

Jenerali mstaafu James Kabarebe anaelezea umuhimu wa kutwaa eneo na kulikalia kuwa mtaji kwa ajili ya matumizi ya kimkakati kama ambavyo M23 wametwa eneo la Jimbo la Kivu ya Kaskazani pamoja na mji mkuu wake wa Goma na sasa mipango kuelekea Bukavu na mbele ... itakavyofaidika na hatua hii ya mwanzo Goma kutiwa kibindoni kuonesha uwezo wa M23 na malengo yake kisiasa na kiuongozi wa nchi nzima
 
Kipindi hiki tutawajua wengi sana wanaojiita watanzania kumbe mioyo yao ipo Rwanda.

Ikiwemo wewe mleta Uzi.
Mkuu umelijua kwa kuchelewa sana, mim nna rafki zangu watutsi kibao na wengine wako kwenye ukoo wetu,yaani wanaspirit ya aina yake.
Yaani usije fikoria hata siku moja kwamba mtutsi wa Tz anaweza kuwa kinyume na mtutsi wa Burund, Congo, Uganda n. K.
Inshort kila anayewafam hawa jamaa atakwambia mengi.
Pia ujue kueleza ukweli unahusu ubaya wao inakuwa kama unachochea ubaguz. Ukitaka uendane nao nikukubali itikad zao,yaan hawana uvumilivu kama CCM isivyo vumilia wasioipenda.
 
Mmmh ,naona hii ngoma ngumu, maana kama M23 imemuweka mbele Cornele Nangaa Yobeluo maana ake wanataka sapoti ya wacongo ,hasa upande huo ulikoanzia vita , Kwa waluba ambao wengi hawamoendi Felix
Hapo tunawaona kama M23 ndo tatzo, lakin kiuhalisia akili za wakongo nikama mwanamke malaya anayelala na wanaume wengine kwenye chumba cha mme wake. Sasa hapo unafikiri usalama wa nyumba na mmewe ukiwa mashakani kosa ni lanani?.
 
Hao ni Wanyarwanda usiwagawe, Ututsi ni ethnicity Unyarwanda ni Nationality.

Watutsi wa Kongo ni Wakongomani Watutsi wa Tanzania ni Watanzania.
No, watutsi wamejilimbikizia madaraka/mamlaka Rwanda, ndiyo namaanisha tutsi etnicity,wabinafsi,wamejimilikisha Rwanda
 
In
Yeah na ndiye aliyetangaza matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Felix Tshishekedi
Inawezekana alikuwa compromised mda mrefu, ukumbuke Joseph Kabila hawali sahan moj na Tshiseked.Ukiona anaujasiri wa kusonga mbele ujue huko Kinshasa kuna watu wana prosess hilo tena ikulu. Hiyo movement nkama ya Laurent Kabila against Mobutu. Manake hapo Colonel Nanga ashaiuzia M23 kipande cha congo ili wamweke madarakani. Na ukweli nkwamba itajirudia picha ya fate ya Laurent Kabila na Rwanda baada ya kumng'oa Mobutu.
 
Back
Top Bottom