Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu

Hivi huyu Raisi wa Burundi kuna mtu huwa anamsikiliza kweli?!
 
Mpya Wakuu,

Kuna Documents zimekamatwa kwenye Kambi ya Jeshi la Kongo kumbe lengo lao lilikuwa ni kwenda moja kwa moja hadi Kigali.
 

MORALI YA M23 NA RAIA KUUNGA MKONO VUGUVUGU (MOVEMENT), HALI INAONESHA MALENGO YA KISIASA NA KUKAMATA DOLA YA KINSHASA HAINA UPINZANI

M23 wanaweza kufika kwa urahisi kabisa Kinshasa

View: https://m.youtube.com/watch?v=QQw_Ls92e9I
Kuripotiwa kuwepo kwa waasi wa M23 huko Karehe, ambayo ni karibu na Bukavu, kunaonyesha azma yao ya kusonga mbele hadi mji mkuu wa DRC, Kinshasha na hilo linatia wasiwasi. Haya ni kwa mujibu wa Jean Paul Ruhosha, Mkurugenzi Mtendaji wa Congo Today katika mazungumzo yake na Peter Clottey kwenye Straight Talk Africa kuhusu mgogoro wa mashariki mwa DRC.
 
Jana alikuwa anapiga mkwara mzito wa kupigana na M23 na anasema ataivamia Rwanda kijeshi.
Warundi wana wapiganaji wazuri sana kinachowafelisha ni logistic duni ila kwa kariba ya Rwand ,Mrundi anamtoboa vizuri tu wana ile kitu wanaita"battle hardened"

Kitu kingine wana historia mbaya na Rwnd hivyo wanajuana nje ndani
 
Warundi wana wapiganaji wazuri sana kinachowafelisha ni logistic duni ila kwa kariba ya Rwand ,Mrundi anamtoboa vizuri tu wana ile kitu wanaita"battle hardened"

Kitu kingine wana historia mbaya na Rwnd hivyo wanajuana nje ndani
Mrundi hana uchumi wa kupigana Vita vita inataka pesa na Burundi kwasasa anaexport majani ya chai kidogo na kahawa kitu gani kingine...? Burundi hata madini hana ana Quartz Christals kidogo asilimia kubwa ya vijana wake wako Tanzania kwenye Migodi kama labourers na wengine ni Machinga kwenye miji ya Tanzania.

Nimekuwa nikiwauliza kwanini wanakimbia Burundi wanasema Njaa na Usalama.
 
MKuu angalia tena nilichoandika ,nakubaliana kuhusu uchumi wao ila nilizungumzia zaidi ile fighting spirit Urundi wanayo sana na kwa sasa wana umoja tofauti na Tall shida moja ya kule kwa Tall kuna makundi makundi mengi yamejificha humo humo ambayo yanasubiri mmoja aanze tu wabweke wote ,
 
Wafugaji kwa kawaida ni watu violent. Hicho ndicho kiliwafanya wawe watawala.
 
mkuu si hata mfugaji wa broiler au? Mana kuna mkuu mmoja yule alikua na broiler
 
Wafugaji kwa kawaida ni watu violent. Hicho ndicho kiliwafanya wawe watawala.
Sio violent for nothing sema ni watu wenye kupigania uhuru wao.

Angalia huko Kenya wameruhusiwa kubeba Silaha ili kulinda Mifugo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…