Msikilize na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius NyererePia unaweza wasikiliza UK, USA wanaomwambia RWANDA atoe majeshi yake ndani ya Congo.
Huyu ndio kabisa alikua hampendi Mobutu, na alimfuga mseven na KAGAME, pamoja na kabila hapa bongo. Na hata ailivyopinduliwa Mobutu huyo Mzee alifurahi sana akaenda kuunga mkono Serikali ya Kabila. Huyu ndio kasababisha yote yanayoendelea hapo Congo bila kuwafuga Hawa mbwa KAGAME na Mseven hii Congo pangekua pametulia mpaka sasa.Msikilize na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere
View: https://youtu.be/fu83XspMZA4?si=sG9Ayr6PVKMIQ6mY
Thabo Mbeki anauelewa huu mgogoro vizuri kuliko Ramaphosa.Bonge la speech kuhusu utawala bora kuwa usiwabague raia wako kwa kuwapa uraia usio wao, kwa kifupi M23 ni wakongomani hata kama wanaongea kiHa, Kinywaranda n.k mradi wapo Congo hai ni raia wa Congo hawapaswi kubaguliwa kwa muonekano wao au lugha wanayoiongea
Kundi la M23 lilianzaje? Mwanzilishi ni nani? Waanzilishi wake walitoka wapi?Bonge la speech kuhusu utawala bora kuwa usiwabague raia wako kwa kuwapa uraia usio wao, kwa kifupi M23 ni wakongomani hata kama wanaongea kiHa, Kinywaranda n.k mradi wapo Congo hao ni raia wa Congo hawapaswi kubaguliwa kwa muonekano wao au lugha wanayoiongea.
Iwe mamluki kivipi, ipewe Tender ya kuimalisha ulinzi, huo ukanda. Vijana wapate ajira na nchi yetu inufaike. "BAHIMA EMPIRE lazima ikomeshwe".Kwahiyo unataka JWTZ liwe Mamluki katika vita vya Kongo?!
Isije ikawa ni Biafra 2.
Acha ijaze wahutu,maana hata watusi nao wapo Rwanda lkn pia jeshini kwetu wapo, hata Kagame&Mseven walienda kupigana Msumbiji wakiwa na passport za Tz.Hiyo JW iliyojaa Wahutu kutoka Nchi jirani?! Umemsikiliza Mhe Luhaga Mpina?!
😆😆🙌Acha ijaze wahutu,maana hata watusi nao wapo Rwanda lkn pia jeshini kwetu wapo, hata Kagame&Mseven walienda kupigana Msumbiji wakiwa na passport za Tz.
Hata mapinduzi ya Burundi JW yaliyokua yamepangwa na KAGAME lkn JW Iliingilia kati yakatulizwa.
Atachapwa huyu aje aokolewe kama yule makenga akarudiishwa rwanda na rpf shauri yakeKamanda Corneille Nangaa asisitiza tunakwenda Kinshasa
View: https://m.youtube.com/watch?v=Qf1LEf1Lov0
Akiongoea na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza katika press conference iliyofanyika Hoteli ya Serena mjini Goma
View attachment 3219067
Aisee... m23 wamejipatia silaha za bure.😁30 January 2025
AEROPORTO DE GOMA
Goma, DR Congo
UWANJA WA NDEGE WA GOMA ULIOTEKWA NA M23
View: https://m.youtube.com/watch?v=0wJT-jHeNnQ
Mwandishi anatuonesha silaha za kila aina za jeshi la DR Congo la FARDC zilizotelekezwa ikiwemo mizinga ya kila aina, mortars, malori yenye mizinga ya BM Katushya Sabasaba, ndege vita katika hangar , vifaru, magari ya deraya, Malori ya kijeshi ya logistics, magari ya pick up za kijeshi n.k
Uwanja huo wa ndege sasa upo mikononi mwa majeshi ya M23
Binafsi ninhependa wachukue Nchi hiyo iwe KIVu Ili kuweka na stability japo suala hili ni gumu haliungwi mkono Kimataifa ila wanaweza jitemga kama Somaliland na maisha yakaenda.
View: https://youtu.be/6dv9dbmyPFs?si=UBZtuVIk7pfr8HJbWakuu,
Habari ndio hiyo, Waasi wa M23 wanaelekea Bukavu mji mkuu wa jimbo la Sud Kivu baada ya kuuteka mji mkuu wa nord Kivu wa Goma.
=============
The humanitarian crisis in the Democratic Republic of Congo intensifies as Rwanda-backed M23 rebels advance towards Bukavu, taking control of Goma. Over 500,000 people have been displaced in January alone, and tensions between Congo and Rwanda have escalated. The international community urges for a ceasefire to prevent further conflict.