Wakuu,
Habari ndio hiyo, Waasi wa M23 wanaelekea Bukavu mji mkuu wa jimbo la Sud Kivu baada ya kuuteka mji mkuu wa nord Kivu wa Goma.
==================================================
The humanitarian crisis in the Democratic Republic of Congo intensifies as Rwanda-backed M23 rebels advance towards Bukavu, taking control of Goma. Over 500,000 people have been displaced in January alone, and tensions between Congo and Rwanda have escalated. The international community urges for a ceasefire to prevent further conflict.