wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
[emoji1][emoji1][emoji1] ndio madhara ya Elimu za kuunga unga hapa na pale hayo.Ni lini Rwanda ilikua colonized na France?Drc haijawahi kuwa koloni la France, isipokuwa Rwanda ambayo kwa Sasa imejiunga na Anglophone (common wealth) na kujiondoa Francophone.
Sasa Ufaransa inahusikaje na mzozo wa Drc ?
mtu chake zitto junior Count Capone Moronight walker
Tulia wewe kishumundu.[emoji1][emoji1][emoji1] ndio madhara ya Elimu za kuunga unga hapa na pale hayo.Ni lini Rwanda ilikua colonized na France?
Drc haijawahi kuwa koloni la France, isipokuwa Rwanda (France ilikuwa na ushawishi hapo) ambayo kwa Sasa imejiunga na Anglophone (common wealth) na kujiondoa Francophone.
Sasa Ufaransa inahusikaje na mzozo wa Drc ?
mtu chake zitto junior Count Capone Moronight walker
Mkuu mimi mwenyewe sijaelewa jamaa ana wasisi gani Hivi kweliEdward Teller T14 Armata
TUONYESHE na military training ya KDF ambayo ni mzuri zaidi kupita wengine mkuu, kumbuka Al shababu Ni wanamgambo tuu hawana training mzuri ya wanamgambo wao, TUONYESHE hizo training na operation kubwa ambazo Ni bola kuliko wengine.
Hiyo ramani ni congo brazavill , au mnazungumizia congo gani , au DRC?Mimi najua Congo lilikuwa koloni la France mpaka walipopata Uhuru wao toka kwa Mfaransa
Mkuu huoni hata wakiongea ni kifaransa?
View attachment 2264018
View attachment 2264019
Sina uhakika sana kama ufaransa wamehusika na mezozo wa drc,Drc haijawahi kuwa koloni la France, isipokuwa Rwanda (France ilikuwa na ushawishi hapo) ambayo kwa Sasa imejiunga na Anglophone (common wealth) na kujiondoa Francophone.
Sasa Ufaransa inahusikaje na mzozo wa Drc ?
mtu chake zitto junior Count Capone Moronight walker
Ma wanabisha sana mkuu.Watu wamekamatwa na vitambulisho vya jeshi la Rwanda bado unabisha tu!?
Mmmmhhalafu watz mnachekelea tu, hamjui kuwa nanyi ni majirani wa rwanda kwa upande mwingine. siku karagwe itachukuliwa mtalia kilio cha mbwa mwitu, yuko wapi mtikila?
Tuonyeshe hizo siraha za kenya za kisasa Ambazo ni TOSHIO ukanda huu, ujaonyesha bado mkuu.Kama vita sio silaha beba bastola kapigane dhidi ya adui wenye rifles, machine guns, mortars, MLRS, etc na mtashinda.
Hakuna justification ya kutonunua silaha. Sasa zilizopo ni za nini si tuachane nazo kabisa tuwe kama Vatican
Hiyo ni Congo-brazaville (hata alama ya kijani inaonyesha hapo) , ila Drc lilikuwa koloni la Ubelgiji.Mimi najua Congo lilikuwa koloni la France mpaka walipopata Uhuru wao toka kwa Mfaransa
Mkuu huoni hata wakiongea ni kifaransa?
View attachment 2264018
View attachment 2264019
Ila mkuu kwa ukanda wetu huu, Kenya wapo 'armed' na silaha za kisasa kweli kweli (nadhani uchumi wao unaruhusu hilo).Mkuu mimi mwenyewe sijaelewa jamaa ana wasisi gani Hivi kweli
Hatuna artillery, hatuna PCV, hatuna helicopter, hatuna tank na kama helicopter anasema kenya wanazo nyingi basi zipo wapi mpaka tuogope au watu wa east africa waogope.
HIZO SIRAHA GANI YA KENYA INAYOTISHIA AMANI UKANDA HUU IKO WAPI.
Hata hizo MRAP.
Akili yako haifanyi kazi vizuri ingia youtube angakia vita iligopiganwa mpaka hawa jamaa kufanikiwa kuuteka huu mji usifikiri ni kulala na kuamka mzee hii ni vita Imepiganwa for almost a weekMimi naamini kuwa defenders wa huo mji uliotekwa wamechukua maamuzi ya kimkakati, soon M23 watapata kipigo cha mnbwa mwizi: PAULO KAGAME ajiandae kuwazika vijana wake
Hana Miami na jeshi lake au Kenya mimi,Unaijua inventory ya main battle tanks za Tanzania. Humo kuna T-55 nyingi, Chinese VT2.
Kuna reconnaissance vehicles kama Scorpion, IFV fulani Chinese ambazo ni amphibious na silaha nyingine. Sikumbuki kama kuna MRAPS, hakuna attack helicopters.
Silaha hazifichwi, unaficha ambacho huna? Kwanza kwa bajeti gani ya kununua hizo silaha. Kenya sio dhaifu kwenye training, kuna tofauti kubwa sana ya shambulizi la Al Shabaab pale Westgate na wanajeshi kufeli, dhidi ya shambulizi la Hamza mwenye minyamauzembe, hajui kukimbia wala hajawahi pata mafunzo ila askari walizungushana nae sana wakati alipita hata mtaani akapuuza waliokuwa kwenye dala dala na wasiomhusu. Yule angekuwa ni gaidi trained pale angeua mpaka ambapo angejichokea.
Kenya wako Somalia wana mission imeendelea miaka sasa, wana silaha kila muda wanaongeza kurahisisha mission, wana trainers wa Marekani na Uingereza palepale ndani ya Kenya wana kambi yao. Hao hao British and US forces ndio waliifundisha Ukraine. Kigezo gani unatumia kusema hawana training.
Alafu nani kakwambia jeshi la Kenya halina nidhamu? Unadhani Kenya huwa kuna upuuzi wa wanajeshi kupita lane isiyo upande wao, kupiga makonda na madereva na kutishia raia. Nidhamu unaipimaje kusema Kenya hawana
Yes iawezekana kutokana na GDP yao ni kubwa sana.Ila mkuu kwa ukanda wetu huu, Kenya wapo 'armed' na silaha za kisasa kweli kweli (nadhani uchumi wao unaruhusu hilo).
T14 Armata
Hiyo ni Congo-brazaville (hata alama ya kijani inaonyesha hapo) , ila Drc lilikuwa koloni la Ubelgiji.
Japo Ufaransa na Marekani walikuwa na ushawishi mkubwa Sana enzi za Mobutu.
aliyekula sana belgium,na ndie mfitini mmoja wapoDrc haijawahi kuwa koloni la France, isipokuwa Rwanda (France ilikuwa na ushawishi hapo) ambayo kwa Sasa imejiunga na Anglophone (common wealth) na kujiondoa Francophone.
Sasa Ufaransa inahusikaje na mzozo wa Drc ?
mtu chake zitto junior Count Capone Moronight walker
Kwangu mimi nilivyofuatilia sana inaonyesha USA walitaka kuzikamata rasilimali za USA pekeao, wao kama wao, wakamtumia kagame.Hiyo ni Congo-brazaville (hata alama ya kijani inaonyesha hapo) , ila Drc lilikuwa koloni la Ubelgiji.
Japo Ufaransa na Marekani walikuwa na ushawishi mkubwa Sana enzi za Mobutu.
Na haimaanishi hizo nchi ukiingia nao sasa kwenye mapigano, watashidwa kabisa hiyo sio kweli,Hana Miami na jeshi lake au Kenya mimi,
Bajeti ya kenya ya jeshi lazima iwe kubwa coz GDP yao ni kubwa kilo yetu Naenda kama 120GDP na wanatumia 1% kwenye military, kwa TZ ipo kama 62GDP kama sijakosema, ila kutumia kwenye jeshi sijajua niwe mkweli.
Vifaa vingo vya kenya vinanunuliwa kwenda Somalia na coz ya changamoto Kule walizokutananazo,
NA NDOMAANA TUMEKUAMBIA TUONYESHE HIVYO VIFAA VYA KENYA VYA KISASA AMBAVYO NI TISHIO KWA UKANDA HUU NDUGU.
kuwa katia services mda mrefu sio kwamba jeshi ndo linaendelea kupata nguvu sana kiasi hakuna yeyote atakayekupiga sio kweli, japo unakuwa na uzoefu.
Na ndo maana nimewahi kusema Japana mara ya mwisho kuingia kwenye vita ni lini, hata South Korea ni lini, hata china ni lini, na hata misri ni lini, na hata south africa ni lini? Na hata nina uwakika magenerali wao wa sasa wenda hawajawahi shiriki vita vikubwa.
Yap, huenda US walimtumia tu PK kuondoa ushawishi wa Ufaransa kwenye eneo la maziwa makuu.Kwangu mimi nilivyofuatilia sana inaonyesha USA walitaka kuzikamata rasilimali za USA pekeao, wao kama wao, wakamtumia kagame.
Viongozi wetu wamegeuka madalali wa rasilimali zetu huku na wao wakipata maslahi.Asante kwa hilo Mkuu
Hawa wazungu wamepiga sana mali zetu ila na sisi viongozi wenye tamaa ndio mtihani