Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

Drc haijawahi kuwa koloni la France, isipokuwa Rwanda (France ilikuwa na ushawishi hapo) ambayo kwa Sasa imejiunga na Anglophone (common wealth) na kujiondoa Francophone.

Sasa Ufaransa inahusikaje na mzozo wa Drc ?
mtu chake zitto junior Count Capone Moronight walker


IMG_7071.jpg

IMG_7070.jpg
 
Edward Teller T14 Armata
TUONYESHE na military training ya KDF ambayo ni mzuri zaidi kupita wengine mkuu, kumbuka Al shababu Ni wanamgambo tuu hawana training mzuri ya wanamgambo wao, TUONYESHE hizo training na operation kubwa ambazo Ni bola kuliko wengine.
Mkuu mimi mwenyewe sijaelewa jamaa ana wasisi gani Hivi kweli
Hatuna artillery, hatuna PCV, hatuna helicopter, hatuna tank na kama helicopter anasema kenya wanazo nyingi basi zipo wapi mpaka tuogope au watu wa east africa waogope.

HIZO SIRAHA GANI YA KENYA INAYOTISHIA AMANI UKANDA HUU IKO WAPI.
Hata hizo MRAP.
 
Drc haijawahi kuwa koloni la France, isipokuwa Rwanda (France ilikuwa na ushawishi hapo) ambayo kwa Sasa imejiunga na Anglophone (common wealth) na kujiondoa Francophone.

Sasa Ufaransa inahusikaje na mzozo wa Drc ?
mtu chake zitto junior Count Capone Moronight walker
Sina uhakika sana kama ufaransa wamehusika na mezozo wa drc,
Ila nimewahi kuona video moja hivi walisema CHAD alienda kupigana second congo war , kumsaidia kabila coz ya ufaransa ndo walimwambia aende.
 
Kama vita sio silaha beba bastola kapigane dhidi ya adui wenye rifles, machine guns, mortars, MLRS, etc na mtashinda.

Hakuna justification ya kutonunua silaha. Sasa zilizopo ni za nini si tuachane nazo kabisa tuwe kama Vatican
Tuonyeshe hizo siraha za kenya za kisasa Ambazo ni TOSHIO ukanda huu, ujaonyesha bado mkuu.
Type city.
Na nafikili hapo juu kasema siraha za kisasa sana vinaweza visiwe na maana sana kwenye mapambano.
Na hasema vita si siraha.
Soma vizuri nafikili ni typing error.
 
Mkuu mimi mwenyewe sijaelewa jamaa ana wasisi gani Hivi kweli
Hatuna artillery, hatuna PCV, hatuna helicopter, hatuna tank na kama helicopter anasema kenya wanazo nyingi basi zipo wapi mpaka tuogope au watu wa east africa waogope.

HIZO SIRAHA GANI YA KENYA INAYOTISHIA AMANI UKANDA HUU IKO WAPI.
Hata hizo MRAP.
Ila mkuu kwa ukanda wetu huu, Kenya wapo 'armed' na silaha za kisasa kweli kweli (nadhani uchumi wao unaruhusu hilo).
T14 Armata
 
Mimi naamini kuwa defenders wa huo mji uliotekwa wamechukua maamuzi ya kimkakati, soon M23 watapata kipigo cha mnbwa mwizi: PAULO KAGAME ajiandae kuwazika vijana wake
Akili yako haifanyi kazi vizuri ingia youtube angakia vita iligopiganwa mpaka hawa jamaa kufanikiwa kuuteka huu mji usifikiri ni kulala na kuamka mzee hii ni vita Imepiganwa for almost a week
 
Unaijua inventory ya main battle tanks za Tanzania. Humo kuna T-55 nyingi, Chinese VT2.
Kuna reconnaissance vehicles kama Scorpion, IFV fulani Chinese ambazo ni amphibious na silaha nyingine. Sikumbuki kama kuna MRAPS, hakuna attack helicopters.

Silaha hazifichwi, unaficha ambacho huna? Kwanza kwa bajeti gani ya kununua hizo silaha. Kenya sio dhaifu kwenye training, kuna tofauti kubwa sana ya shambulizi la Al Shabaab pale Westgate na wanajeshi kufeli, dhidi ya shambulizi la Hamza mwenye minyamauzembe, hajui kukimbia wala hajawahi pata mafunzo ila askari walizungushana nae sana wakati alipita hata mtaani akapuuza waliokuwa kwenye dala dala na wasiomhusu. Yule angekuwa ni gaidi trained pale angeua mpaka ambapo angejichokea.

Kenya wako Somalia wana mission imeendelea miaka sasa, wana silaha kila muda wanaongeza kurahisisha mission, wana trainers wa Marekani na Uingereza palepale ndani ya Kenya wana kambi yao. Hao hao British and US forces ndio waliifundisha Ukraine. Kigezo gani unatumia kusema hawana training.

Alafu nani kakwambia jeshi la Kenya halina nidhamu? Unadhani Kenya huwa kuna upuuzi wa wanajeshi kupita lane isiyo upande wao, kupiga makonda na madereva na kutishia raia. Nidhamu unaipimaje kusema Kenya hawana
Hana Miami na jeshi lake au Kenya mimi,
Bajeti ya kenya ya jeshi lazima iwe kubwa coz GDP yao ni kubwa kilo yetu Naenda kama 120GDP na wanatumia 1% kwenye military, kwa TZ ipo kama 62GDP kama sijakosema, ila kutumia kwenye jeshi sijajua niwe mkweli.
Vifaa vingo vya kenya vinanunuliwa kwenda Somalia na coz ya changamoto Kule walizokutananazo,
NA NDOMAANA TUMEKUAMBIA TUONYESHE HIVYO VIFAA VYA KENYA VYA KISASA AMBAVYO NI TISHIO KWA UKANDA HUU NDUGU.
kuwa katia services mda mrefu sio kwamba jeshi ndo linaendelea kupata nguvu sana kiasi hakuna yeyote atakayekupiga sio kweli, japo unakuwa na uzoefu.
Na ndo maana nimewahi kusema Japana mara ya mwisho kuingia kwenye vita ni lini, hata South Korea ni lini, hata china ni lini, na hata misri ni lini, na hata south africa ni lini? Na hata nina uwakika magenerali wao wa sasa wenda hawajawahi shiriki vita vikubwa.
 
Hiyo ni Congo-brazaville (hata alama ya kijani inaonyesha hapo) , ila Drc lilikuwa koloni la Ubelgiji.

Japo Ufaransa na Marekani walikuwa na ushawishi mkubwa Sana enzi za Mobutu.
Kwangu mimi nilivyofuatilia sana inaonyesha USA walitaka kuzikamata rasilimali za USA pekeao, wao kama wao, wakamtumia kagame.
 
Hana Miami na jeshi lake au Kenya mimi,
Bajeti ya kenya ya jeshi lazima iwe kubwa coz GDP yao ni kubwa kilo yetu Naenda kama 120GDP na wanatumia 1% kwenye military, kwa TZ ipo kama 62GDP kama sijakosema, ila kutumia kwenye jeshi sijajua niwe mkweli.
Vifaa vingo vya kenya vinanunuliwa kwenda Somalia na coz ya changamoto Kule walizokutananazo,
NA NDOMAANA TUMEKUAMBIA TUONYESHE HIVYO VIFAA VYA KENYA VYA KISASA AMBAVYO NI TISHIO KWA UKANDA HUU NDUGU.
kuwa katia services mda mrefu sio kwamba jeshi ndo linaendelea kupata nguvu sana kiasi hakuna yeyote atakayekupiga sio kweli, japo unakuwa na uzoefu.
Na ndo maana nimewahi kusema Japana mara ya mwisho kuingia kwenye vita ni lini, hata South Korea ni lini, hata china ni lini, na hata misri ni lini, na hata south africa ni lini? Na hata nina uwakika magenerali wao wa sasa wenda hawajawahi shiriki vita vikubwa.
Na haimaanishi hizo nchi ukiingia nao sasa kwenye mapigano, watashidwa kabisa hiyo sio kweli,
USA wapo kwenye vita kwa mda mrefu sana sasa wao wanapigana tuu, na tena wanabajeti kubwa sana , ya jeshi kama ndo hivyo inamaana wao ni vidume, na kwa Tabia ya USA wangesha vamia nchi hata ya urusi, ili tu kutafuta ushawishi kama iraq , ila wanashidwa nini, hata kwenda kumsaidia Ukraine, badala wanaungana na nchi za ulaya kumasaidia ukraine.
 
Back
Top Bottom