Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

suluhisho la hawa M23 ni mazungumzo na Rwanda tu ila kulazimisha mtutu wa bunduki vita aitokwisha kwasababu ni swala la kihistoria.
wakae chini na mr Bucha PK waongee wayamalize.
 
Kwangu mimi nilivyofuatilia sana inaonyesha USA walitaka kuzikamata rasilimali za USA pekeao, wao kama wao, wakamtumia kagame.
Proved tena bro
Marekani wao walivyofanya walimsaidia kagame kila kitu
  • mafunzo
  • Siraha
  • fedha
-na mbinu za kupigana
Ila walishidwa kabisa kumpidua senior kabila coz ya Angola na zimbabwe.

Kumbuka kagame na james kaberebe na RPA soldiers waliukuwa ni sehemu ya jeshi la uganda walipigana vita uganda kumsaidia museveni kuchukua nchi na zille vita vilikua ni miaka kadhaa, na ilichukua maisha ya raia wa uganda kama 500,000. Na pia baadhi ya RPA soldiers walipigana kagera war wakiwa na muse7 ,
Wakapigana tena rwanda miaka Minne , wakapigana tena first congo war kama miezi 6 au 7 hivi, so ni watu alikuwa na uzoefu sana plus kusaidiwa na USA ila walishidwa kumpindia laurent kabila, na ndo watu Waelewe vita sio maneno,
Niliwahi kumsikia jaji mmoja wa ICTR alisema kuwa RPA walikuwa wapo equipped sana coz walikuwa wanasaidiwa.
 
Viongozi wetu wamegeuka madalali wa rasilimali zetu huku na wao wakipata maslahi.

Halafu wala hawajali ukilalamika wanakushangaa
Nchi za africa nyingi hazijielewi sijui kwa nini ngozi yetu tunakuwa wajinga kiasi hiki

Wanaona wao wakishiba nchi hata ikitekwa shauri zenu
Kuna takwimu zilitoka last month Nchi za Afrika zenye gold reserves nyingi
Katika Top 10 nchi zenye asili ya kiarabu tano zimo
Sasa tujiulize why wao wanajitambua kuliko Sisi
Ingawa wengine wananunua dhahabu na kuweka ila sisi sijui tuna kilo ngapi bank kuu kwani wenzetu ni Tani
 
Yes iawezekana kutokana na GDP yao ni kubwa sana.
Ila nimewambia yeyekasema wanavyo ATUONYESHE TUVIONE.
Sasa hujaona vifaa mimi sio kazi yangu kukuonyesha. Kumbe unabisha na hujui, sasa unapata nguvu ya kubisha kutoka wapi.
Ulitakiwa uwe unajua vifaa vyao alafu useme viko inferior au wana quantity ndogo kuliko sisi. Sasa hata silaha zao unataka nikutajie ila ulishabisha
 
Ila mkuu kwa ukanda wetu huu, Kenya wapo 'armed' na silaha za kisasa kweli kweli (nadhani uchumi wao unaruhusu hilo).
T14 Armata
Silaha zao sio za kisasa sana ila ni zaidi ya tulizonazo sisi. Linganisha hata meli zao za kivita walizonunua Spain, linganisha na naval shipyard waliyozindua mwaka huu ambayo ndio kubwa kuliko zote ukanda wa Kusini mwa Sahara.
 
Bajeti kama haipo silaha wataziona ila watazikosa. Sasa kama huna MRAP missions ndogo ndogo utaenda na nini, na wakati huo huna APC maana kama umekosa MRAP hata za Mamba kutoka South Africa utaweza consider APC. Troops utawapelekwa kwa mguu kama jeshi la Congo. Kinachotofautisha waasi waliowahi kuwa wanajeshi zamani au waliopokea mafunzo na wana determination kali dhidi ya jeshi la serikali ni silaha.
 
Joseph Kabila + Nkurunzinza hawajawekwa na Tz , yote unayataja ni enzi za mwl na leo tupo enz za mzee wa Msoga , Wabongo ni kama wapalestina ni jamii yenye hopes nyingi kuliko mipango , history haitakusaidia chochote kama hujiongezi , kiukwel Rwanda ana improve sana kijeshi ukanda huu wote ikulu zinalindwa na Watutsi plus maeneo muhimu , vita sio ardh kubwa au watu weng au jeshi kubwa bali ni mipango na ufanis wa kutimiza mipango tu , Rwanda ni nchi ndogo ila ina majeshi rasmi na yasiyo rasmi mengi yenye experience ya uwanja wa mapambano kuliko sisi wazee wa kusapoti Zele akubali kushindwa kisa kazidiwa nguv , maneno yanaeleza akili ya mtu
 
Muambie Putin aje kuwasadia Congo.
 
Kwani Urusi, BRICS na CSTO wanasemaje??
Au unataka waingilie kama Libya na Syria muanze kutokwa povu nyie Pro Putin?
Cha kusikitisha

UN wako kimya,
EU wako kimya,
NATO wako kimya[emoji848]
Ukraine wako kimya[emoji848]
USA wako kimya[emoji848]
UK wako kimya[emoji848]
 
Mengi uliyoandika yana mashiko ila kwa nini Rwanda huwa inawahifadhi viongozi wa makundi ya waasi wa DRC kama Bosco Ntaganda wa M23 na Laurent Nkunda wa CNDP?
 
Haya ni madai ya kijinga kama ya Putin alipoivamia Ukraine.
 
Upuuzi tu, kwa silaha zile lazima wapigwe, wanatakiwa kutumia silaha nzito , silaha za msaada
 
Craps
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…