Waaambieni sumu hailambwiWaasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Vita imeshaisha hiyo 😂😂😂😂Hii vita ina mchanyato mwingi sana
Wewe kajadili mambo ya kufikirika ya uchawi na ushirikina,Waaambieni sumu hailambwi
Mbona nssikia Hezbollah kkamsambaratisha Mzauuni hadi Mzayuni kaomba kusitishwa kwa vitaWawaulize Hezbollah walikuwa na nguvu zaidi yao ila sasa hawana hamu na mzayuni
Mfadhili wa hao Waarabu na Yeye anafadhiliwa na IsraelTatizo hao jamaa wakisema huwa wanatekeleza. Siyo jamaa zetu ambao wanatumia ahadi hewa kusalia madarakani
Zote mbili ni valid pointsThubutu yao!
Kama wanaongea hivyo basi ujue wanatafuta legitimacy mbele ya waarabu na Waislamu ili waoneksne siyo vibaraka wa Israel na Marekani.
Lakini pia Israel inaweza kuwatumia waanzishe fujo ili ije iwapoge huku ikijitanua kwa kutwaa maeneo ndani ya Syria.