Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.


View attachment 3172884


Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.

Tuendelee kuombea amani


Ha haaaa tena hao waasi wa Syria, nasema kwa uhakika, Israel ikiamua inawafuta in a single day kwa njia ya Anga, tena hutawaona tena, sema sasa hivi Israel inafurahia sana Assad katolewa, kwani alikuwa rafiki wa Iran, so Assad kakimbia ni furaha kwa Israel kwa sasa..!!

Ila nasema ila, siku chache zijazo hao waasi wakijichanganya wakaanza kuichokoza Israel, hapo itakuwa mwisho wao kabisa kabisa, subiri uone.
 
Msikiti wa shehe tumbo tunawaasa waache wasije wakafumuliwa puru zao kwa kichapo cha mayahudi. Mayahudi yanatembeza kichapo balaa, tusiyachokoze.
Dah kwa kile kichapo walichomfanya rasta wenu kweli israel ni hatare
 
Mbona nssikia Hezbollah kkamsambaratisha Mzauuni hadi Mzayuni kaomba kusitishwa kwa vita
Unasikia toka kwa nani?

Hezbollah imemalizwa nguvu. Israel haikuomba kumaliza vita, iliyoomba ni Lebanon. Ndiyo ilipeleka ombi UN security council, na huko ombi hilo likaungwa mkono na mataifa karibia yote.

Israel imetamka mara kadhaa kuwa pamoja na kuamua kukubali kusistishwa vita, inarudi vitani mara moja, wakikosea kidogo tu, wakakiuka makubaliano. Na tangu ceasefire isainiwe, Israel imekwishafanya mashambulizi kadhaa pale ilipoona kuna ukiukwaji. Na imesema ceasefire agreement ikishindikana implementation itarudi kwenye vita kwa nguvu zaidi ikijumuisha Hezbollah na jeshi la Lebanon, wote atawapiga mara moja.
 
Unasikia toka kwa nani?

Hezbollah imemalizwa nguvu. Israel haikuomba kumaliza vita, iliyoomba ni Lebanon. Ndiyo ilipeleka ombi UN security council, na huko ombi hilo likaungwa mkono na mataifa karibia yote.

Israel imetamka mara kadhaa kuwa pamoja na kuamua kukubali kusistishwa vita, inarudi vitani mara moja, wakikosea kidogo tu, wakakiuka makubaliano. Na tangu ceasefire isainiwe, Israel imekwishafanya mashambulizi kadhaa pale ilipoona kuna ukiukwaji. Na imesema ceasefire agreement ikishindikana implementation itarudi kwenye vita kwa nguvu zaidi ikijumuisha Hezbollah na jeshi la Lebanon, wote atawapiga mara moja.
Kaa mbali saaana, kimbia sana ukisikia MOSSAD au IDA Israel Defence Army, ni hatari hawafai,kuwachokoza ni sawa na KUCHEZEA SHARUBU ZA SIMBA 😀😀🤣😀
 
Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.


View attachment 3172884


Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.

Tuendelee kuombea amani
Western wanataka malighafi zilizojaa mashariki ya kati,wenyeji wanataka kukombia miji iliokwenye himaya za wanaoungwa na western countries.
 
MOSSAD, CIA, MI6 ni shida sana operation zao ni za hatari sana, hawa wapiganaji wanatumiwa kama toilet paper
Thubutu yao!

Kama wanaongea hivyo basi ujue wanatafuta legitimacy mbele ya waarabu na Waislamu ili waoneksne siyo vibaraka wa Israel na Marekani.

Lakini pia Israel inaweza kuwatumia waanzishe fujo ili ije iwapige huku ikijitanua kwa kutwaa maeneo ndani ya Syria.
 
Unasikia toka kwa nani?

Hezbollah imemalizwa nguvu. Israel haikuomba kumaliza vita, iliyoomba ni Lebanon. Ndiyo ilipeleka ombi UN security council, na huko ombi hilo likaungwa mkono na mataifa karibia yote.

Israel imetamka mara kadhaa kuwa pamoja na kuamua kukubali kusistishwa vita, inarudi vitani mara moja, wakikosea kidogo tu, wakakiuka makubaliano. Na tangu ceasefire isainiwe, Israel imekwishafanya mashambulizi kadhaa pale ilipoona kuna ukiukwaji. Na imesema ceasefire agreement ikishindikana implementation itarudi kwenye vita kwa nguvu zaidi ikijumuisha Hezbollah na jeshi la Lebanon, wote atawapiga mara moja.
Ni vizuri kuwapa furaha ndugu zetu. Sasa kwa kuwa wana aina ya habari wanaxozipenda na mimi nimeamua kuja vil wapendavyo.
Wakipenda habari huku mtandaoni lazima waje speed kuanzishia nyuzi.

Mfano hii, ni vile tu hawajaipata huko. Lakini wakiipata hii ita forwardiwa kwenye groups zote za Misikiti
IMG-20241208-WA0037.jpg
 
wanapoanza kutangaza ndipo wanapoanza kufeli, maana adui mwenye akili atahakikisha hapohapo kwako ulipopachukua kwa upanga haukai kwa amani ili uje akupunguze nguvu zakuja kumdhuru baadae!.
Yahudi alishaliona hilo mapema kabla yao. Hata wasingetangaza anajua,

Ndio maana anaendelea kuharibu moundo mbinu ya kijeshi kama Viwqnda vya kuzalisha na utafiti wa silaha, maghala ya silaha na viwanja vya ndege vita nk.


Pia kawahi kuchua Golani heights na Hermon kimkakati zaidi. Watajua hawajui, na wakijua tayari mazayuni yalishajiweka sawa.
 
Back
Top Bottom