EmanuelSTZ
Member
- Sep 4, 2024
- 77
- 111
ni kipi alichokosea hapo mbona kama una jazba sanaWewe kajadili mambo ya kufikirika ya uchawi na ushirikina,
Haya mambo ya uhalisia huna unalolijua,
Unaishia kuleta vimisemo vya kwenye Kanga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kipi alichokosea hapo mbona kama una jazba sanaWewe kajadili mambo ya kufikirika ya uchawi na ushirikina,
Haya mambo ya uhalisia huna unalolijua,
Unaishia kuleta vimisemo vya kwenye Kanga tu.
😅 😅 😅Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Hata kumtoa Assad ilikua ndoto ya mchana mkuuWrite your reply...NDOTO ZA MCHANA
Kweli kabisa, Israeli hana lolote kazi yake kuua wajawazito mahospitalini halafu anadai anaua magaidi na viongozi wao.Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Siyo sahihi,Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem
Yaani waende kuiteka Jerusalem na pickups na Noah, kweli ndrugo zangu, acheni utani basi?Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Ukiwa international unakuwaga hoja kumbeYaani waende kuiteka Jerusalem na pickups na Noah, kweli ndrugo zangu, acheni utani basi?
ifikie mahali kujikubali tu kwamba vitu Fulani huna na huwezi kua navyo daima na milele. Ridhika tu na mafanikio kidogo uiliyonayo,
vinginevyo maisha yako yatakua mafupi sana na hautakua umemsaidia yeyeto 🐒
Naunga mkono usemi wa kenge asikie mpaka atoke Damu 😄Kwa mbali namuona netanyahu akitetemeka mpaka mikono kisha anasonya anajisemea wanacheza na moto na hawa
Assad aliaambiwa unacheza na moto yakamkuta
Gaza iliimbiwa itakuwa magofu na imekuwa
Hezbollah wakaambiwa watajikuta wakiwa kama gaza serikali ya Lebanon ikashituka ikawahi ikaomba poo
Ngoja tumsubirie huyu ngosha wa kiyahudi atakuja na tamko gan
Pia watambue, 'Mtaka nyingi nasaba, hupata mingi misiba'.Waaambieni sumu hailambwi
mbona unajizima data na kujifanya huoni walichofanyiwa hezbollah?Kweli kabisa, Israeli hana lolote kazi yake kuua wajawazito mahospitalini halafu anadai anaua magaidi na viongozi wao.
Nendeni mkachukue Jerusalem IDF keshachazwa na Hezbollah mpaka kaomba yaishe.
Bora huyo mpiga ramri tunaweza kumuelewa na sio wewe mugwana wa kishia kutokea kibanda maiti hukoWewe kajadili mambo ya kufikirika ya uchawi na ushirikina,
Haya mambo ya uhalisia huna unalolijua,
Unaishia kuleta vimisemo vya kwenye Kanga tu.
awajibu haraka sana wafute ndoto hiyo maana haitawezekanaKwa mbali namuona netanyahu akitetemeka mpaka mikono kisha anasonya anajisemea wanacheza na moto na hawa
Assad aliaambiwa unacheza na moto yakamkuta
Gaza iliimbiwa itakuwa magofu na imekuwa
Hezbollah wakaambiwa watajikuta wakiwa kama gaza serikali ya Lebanon ikashituka ikawahi ikaomba poo
Ngoja tumsubirie huyu ngosha wa kiyahudi atakuja na tamko gan
😂😂 Haya bana na wote tuweke AMINA 😅😂😂Ndugu zangu waislam tuungane dhidi ya mayahud wakristu na makafiri
Ili siku ya kiyamma molla wetu utujalie tuwe katika wala manasaba wake watakojinyakulia bikra😋
Inshallah
kwamba wakristu hawakuumbwa na mungu wenu ? jitathimin unaeza ukawa unamwabudu shetani bila kujua , mungu haez kukufundisha kufarakana viumbe alivyoviumba yeye mwenyew , wakristu tunafundishwa kupendana bila kujali utofauti wa dini wala rangi wala kabila wala kipato , ila waislam mnafundishwa kukata shingo wasio waislam, , huyu shetan mnamwabudu anaforce kupata waumin ?Ndugu zangu waislam tuungane dhidi ya mayahud wakristu na makafiri
Ili siku ya kiyamma molla wetu utujalie tuwe katika wala manasaba wake watakojinyakulia bikra😋
Inshallah
Vita haiishi pale mpk parapanda lilieVita imeshaisha hiyo 😂😂😂😂