much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
ππππππππππ Akaunde jeshi?Mbowe ni mstaraabu ila siku akiamua azunguke dunianI basi Tz hamtaeza iona tena ccmu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππππ Akaunde jeshi?Mbowe ni mstaraabu ila siku akiamua azunguke dunianI basi Tz hamtaeza iona tena ccmu
Wamekula vichwa vingi sanaView attachment 3173056View attachment 3173059View attachment 3173061
Kumbe Hawa nao ni wajawazito???
Zilipedwa izi IDF wangapi nao wamezikwa!!!!!View attachment 3173056View attachment 3173059View attachment 3173061
Kumbe Hawa nao ni wajawazito???
Hawa wanatafuta pakufia sasa.Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Watasababisha assad arudi mjengoniWameanza vizuri ila huko wanakopawazia ndo watafanya makosa ambayo hawatakuja kuyasahau mpaka vilembwe vyao
Yani zaidi ya sanaWamekula vichwa vingi sana
Usilete maneno,leta data Kama nilivyofanya Mimi,,je viongozi wangapi wa Israel wamefariki??,leta na picha zao hapa jukwaani sawa??Zilipedwa izi IDF wangapi nao wamezikwa!!!!!
Na wao wakileta za kuleta watapigwa kusema Allah Akbar kwa sauti na kupiga risasi juu wanafikiri wanamtisha nani?!Haaaa nilikwambia kaka mtumbwi uwo sio uwo wa kibwengo ukadhalau sasa msianze kulialia msiki adi JERUASALEM kila kitu wanacho Hezbollah wamewajibu wataungana nao kupeleka MOTO.
Kama hiki unachokiandika ni kweli ungekuta Hilo taifa limeshafutwa kwenye uso wa dunia na waarabu,Mazayuni si ndiyo yamesalimu amri? Utakuwa unaishi dunia ya kwako peke yako wewe.
Israel ameliwa vichwa wanajeshi wake kwa mamia unadhani kukubali ceasefire ni hiyari au ameona wanajeshi wataisha.
Israel anachojua ni vita ya madege tu kuharibu majengo lakini ground battle hana uwezo wa kupigana hata na Burundi.
Ndugu zangu waislam tuungane dhidi ya mayahud wakristu na makafiri
Ili siku ya kiyamma molla wetu utujalie tuwe katika wala manasaba wake watakojinyakulia bikraπ
Inshallah
Hawezi kuleta chochote, huyo jamaa ni mpiga ramli humu jukwaaniUsilete maneno,leta data Kama nilivyofanya Mimi,,je viongozi wangapi wa Israel wamefariki??,leta na picha zao hapa jukwaani sawa??
Siyo kweli, huyo kiongozi wao Al Golan ana akili sana. Hawezi kutengeneza ubishani wowote dhidi ya Washington au Tel Aviv.Hii vita ina mchanyato mwingi sana
Kwani kujinyakulia bikra hadi uwachukie hao uliowataja?Ndugu zangu waislam tuungane dhidi ya mayahud wakristu na makafiri
Ili siku ya kiyamma molla wetu utujalie tuwe katika wala manasaba wake watakojinyakulia bikraπ
Inshallah
Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
US na Israel wanajaribu kuzuia hicho.Hii Syria inakwenda kuwa kama Libya au Irak
Wakiharibu watadhibitiwa.Wanaanza kuharibu
Subirini muone kolabo zitazopigwa hapo,watatoka hadi iraq,mtu 2m upambane naoWaaambieni sumu hailambwi
Data ndugu wkt uko Israe walijua watafekwa kwa wingi wakawai kupitosha Sheria ya kuzuia Habari zao zisitoke. Tofaut na upande w pili watu wapo huru kupost chochote. MAKOMANDO MBONA AWENGI WAMEKUFA ukiacha IDF wakawaida amba ndio usiseme utaona tu vilio vyao IDF.msimu wamezika IDF wengi acha UbishiUsilete maneno,leta data Kama nilivyofanya Mimi,,je viongozi wangapi wa Israel wamefariki??,leta na picha zao hapa jukwaani sawa??