Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

Kichekesho Netanyahu sio president ni prime minister hahahaha
 
Hawa watawalisha mchanga wa Israel time will tell.
 
Israel alifurahi kupinduliwa Assad ni kawambia humu watu watamkumbuka Assad sababu alikuwa anapigwa hajibu, hawa wao ukiwapiga wanakupiga.

Kama huwapigi pia watakupiga, wanaonyesha kweli wafuasi wa Omar bin Abdiliaziz. Wanaonyesha sura zao wameshiba dini Shetanyahu alidhani kila sunni ni kama wafalme wa Gulf πŸ˜‚




View: https://youtu.be/H5ESnUdsecs?si=wYvv__baxsFg6z4b
 
Maavii,makamu wake kishasema kuingia vitani na iran ni gharama,na juzi trump kasema syria haiwahusu,hatohangaika nayo,uifanye Iran kuwa iraq!?..unaota wewe
 
Wewe kajadili mambo ya kufikirika ya uchawi na ushirikina,

Haya mambo ya uhalisia huna unalolijua,
Unaishia kuleta vimisemo vya kwenye Kanga tu.

Israel dini pale ni Jewels yani wayahudi wewe endelea kupata maji na chumvi ya upako hapo Ukwamani
 
Halafu mje mniambie Hii Mijamaa mivaa Kobazi kama ina akili!
 
Kaa mbali saaana, kimbia sana ukisikia MOSSAD au IDA Israel Defence Army, ni hatari hawafai,kuwachokoza ni sawa na KUCHEZEA SHARUBU ZA SIMBA πŸ˜€πŸ˜€πŸ€£πŸ˜€
Wabongo bana mnavyoisifia hiyo army yenu bana
 
Maavii,makamu wake kishasema kuingia vitani na iran ni gharama,na juzi trump kasema syria haiwahusu,hatohangaika nayo,uifanye Iran kuwa iraq!?..unaota wewe


Unanuka kwa kila kitu ww, mchafu wa akili na mwili, hopeless
 
Hapo sasa itakuwa wanaruka mkojo kwenda kukanyaga mavi - Hakika hawatarudi salama walikotokea. We ngoja watie timu angalau kwenye viunga vya Jerusalem na sharubu zao ndo watamuelewa Myahudi kwa kina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…