Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

Ni vizuri kuwapa furaha ndugu zetu. Sasa kwa kuwa wana aina ya habari wanaxozipenda na mimi nimeamua kuja vil wapendavyo.
Wakipenda habari huku mtandaoni lazima waje speed kuanzishia nyuzi.

Mfano hii, ni vile tu hawajaipata huko. Lakini wakiipata hii ita forwardiwa kwenye groups zote za MisikitiView attachment 3173001
Kichekesho Netanyahu sio president ni prime minister hahahaha
 
Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.

View attachment 3172882

Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.

View attachment 3172884


Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.

Tuendelee kuombea amani
Hawa watawalisha mchanga wa Israel time will tell.
 
Israel alifurahi kupinduliwa Assad ni kawambia humu watu watamkumbuka Assad sababu alikuwa anapigwa hajibu, hawa wao ukiwapiga wanakupiga.

Kama huwapigi pia watakupiga, wanaonyesha kweli wafuasi wa Omar bin Abdiliaziz. Wanaonyesha sura zao wameshiba dini Shetanyahu alidhani kila sunni ni kama wafalme wa Gulf 😂




View: https://youtu.be/H5ESnUdsecs?si=wYvv__baxsFg6z4b
 
Trump hatoi hela kwa Ukraine kasema, sio Israel, hujui kabisa kuhusu Israel na Trump..!! Tena Trump kasema ata wipe out Iran, kasema wazi wazi, kwa Ukraine hatoi hela kabisa, but kwa Israel, atatoa hela kibao na Iran najua kabisa inaenda kupotea like Iraq, Libya, Syria, pia Yemen itaisha kabisa kwa Trump..!! Najua huamini, mark my words alafu baada ya mwaka utakuja kusema haya nayoandika..!!
Maavii,makamu wake kishasema kuingia vitani na iran ni gharama,na juzi trump kasema syria haiwahusu,hatohangaika nayo,uifanye Iran kuwa iraq!?..unaota wewe
 
Wewe kajadili mambo ya kufikirika ya uchawi na ushirikina,

Haya mambo ya uhalisia huna unalolijua,
Unaishia kuleta vimisemo vya kwenye Kanga tu.

molla kamkacha Nasrallah mchana kweupe hushtuki...amkaa

molla kamkimbia na swahiba wako Sinwar.!? hushtukiiii

Hezbollah, Hamas wote Chali kifo cha mendez...

Utakapo mpokea Kristu na kukiri hakuna bikira 72 bali ni utapeli wa Mudi wa kupenda ngono hakika pepo utaitamka Kwa mdomo tu
Israel dini pale ni Jewels yani wayahudi wewe endelea kupata maji na chumvi ya upako hapo Ukwamani
 
Halafu mje mniambie Hii Mijamaa mivaa Kobazi kama ina akili!
 
Maavii,makamu wake kishasema kuingia vitani na iran ni gharama,na juzi trump kasema syria haiwahusu,hatohangaika nayo,uifanye Iran kuwa iraq!?..unaota wewe


Unanuka kwa kila kitu ww, mchafu wa akili na mwili, hopeless
 
Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.

View attachment 3172882

Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.

View attachment 3172884


Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.

Tuendelee kuombea amani
Hapo sasa itakuwa wanaruka mkojo kwenda kukanyaga mavi - Hakika hawatarudi salama walikotokea. We ngoja watie timu angalau kwenye viunga vya Jerusalem na sharubu zao ndo watamuelewa Myahudi kwa kina.
 
Back
Top Bottom