Mkuu,hawa Waasi wanaongozwa na Intelligence Agencies kutoka Turkey Israel US ndio maana unaona nidhamu yao ni ya hali ya juu.Labda alikuwa anawasiliana zamani na sasa ndio atakuwa Rais wa mpito
Angekuwa mbaya wangemzaba makofi na hata kumuuwa
Inaonekana wanamheshimu sana
Basi tukubaliane wanaoleta machafuko middle east ni wazunguMkuu,hawa Waasi wanaongozwa na Intelligence Agencies kutoka Turkey Israel US ndio maana unaona nidhamu yao ya hali ya juu.
Nchi jirani tu akiwa kajilimbikizia mabilioni ya nchiEnd of an era, and can't deny it's quite a spectacle if you think about it. By the way where did the tyrant flee to ? 🤣
Hakuna taarifa yoyote inayowahusisha waasi wa Syria na Marekani wala Israel bali Uturuki ndiyo inayotajwa hadharani kuwasaidia waasi kumtimua Assad.Mkuu,hawa Waasi wanaongozwa na Intelligence Agencies kutoka Turkey Israel US ndio maana unaona nidhamu yao ya hali ya juu.
Serikali Nchini Syria ambayo imedumu Kwa takribani miaka 54 imeangushwa mapema Jumapili Disemba 8, 2024 baada wanamgambo wa Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) kuvamia na kuuteka mji mkuu wa DamascusWakuu,
Waasi sio kwamba wameamua ku-deal na Bashar Al Assad tu, sasa hivi wamemkamata hata Wazri Mkuu wa nchi hiyo.
Kwenye video inayosambaa kwa kasi mtandaoni, Waasi wa kundi la Dara wanaonekana wakiwa wanamtoa Waziri Mkuu wa Syria kutoka kwenye ofisi yake ambayo ilikuwa ipo kwenye Hotel ya 4 Seasons Hotel.
View attachment 3172071
Hajakamatwa kwa maana ya kutekwa, Ila Kuna kundi jipya la waasi limeanzishwa kati ya tarehe 6 Dec ambalo linaungwa na Marekani na Israel lenyewe lilianzisha Uasi kutokea Kusini mwa Syria hivyo limekuwa la kwanza kufika Damascus walichofanya wamemuacha huyo Waziri mkuu aendelee na majukumu yake wakati wa Serikali ya Mpito.Wakuu,
Waasi sio kwamba wameamua ku-deal na Bashar Al Assad tu, sasa hivi wamemkamata hata Wazri Mkuu wa nchi hiyo.
Kwenye video inayosambaa kwa kasi mtandaoni, Waasi wa kundi la Dara wanaonekana wakiwa wanamtoa Waziri Mkuu wa Syria kutoka kwenye ofisi yake ambayo ilikuwa ipo kwenye Hotel ya 4 Seasons Hotel.
View attachment 3172071
Hata wewe kesho sema "nalifuta Taifa la Israel" utashangaa wanatua juu ya Bati.Basi tukubaliane wanaoleta machafuko middle east ni wazungu
Ndiyo maana unaona Uturuki wanasherehekea kuondolewa kwa Assad kwasababu ipo wazi kabisa Uturuki alikuwa against utawala wa Assad na alikuwa anasaidia waasi wa Syria hadharani bila kificho.Mkuu,hawa Waasi wanaongozwa na Intelligence Agencies kutoka Turkey Israel US ndio maana unaona nidhamu yao ya hali ya juu.
Ni kweli pale aliyepinduliwa ni ayattolah Khan na putin. Sasa Hezbollah na houth, Hamas watafute chaka jipya.Mkuu,hawa Waasi wanaongozwa na Intelligence Agencies kutoka Turkey Israel US ndio maana unaona nidhamu yao ya hali ya juu.
Walikuwa wanna asivamiwe sasa wanamlinda asitorokeSasa mbona huyo Waziri bado anaulinzi wake aliopewa na Serikali?😆😆