GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
C'est la Vie 🤣Unknown destination.. At least for now..!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C'est la Vie 🤣Unknown destination.. At least for now..!!!
Huyo naye juha na bwege tu. Msemo wa kunguru muoga hukimbiza bawa lake haupo Syria ? Hakuona Al Assad katimua vumbi ?Wakuu,
Waasi sio kwamba wameamua ku-deal na Bashar Al Assad tu, sasa hivi wamemkamata hata Wazri Mkuu wa nchi hiyo.
Kwenye video inayosambaa kwa kasi mtandaoni, Waasi wa kundi la Dara wanaonekana wakiwa wanamtoa Waziri Mkuu wa Syria kutoka kwenye ofisi yake ambayo ilikuwa ipo kwenye Hotel ya 4 Seasons Hotel.
View attachment 3172071
Zote hizo ni Taasisi na Mchwa wakiamua ZinaColllapse huku unaziona ukiuliza unaambiwa mambo yako under control Mzee...😁Ebu nielewesheni nyie wajuzi wa mambo. Inakuwaje prezdent unapinduliwa na waasi wakati military yako wewe, banki kuu yako wewe, central intelligence yako wewe
Ah! Hebu ondoka na wasenge wako hao Israeli bhana.Hata wewe kesho sema "nalifuta Taifa la Israel" utashangaa wanatua juu ya Bati.
Maneno yako sio kweli,Hata wewe kesho sema "nalifuta Taifa la Israel" utashangaa wanatua juu ya Bati.
Mkuu hujasikia kuwa Israel inataka Base Somaliland ili phase two inapoanza aweze kutoa Dozi kwa Magaidi wa Kihouthi in return Israel itaitambua Somaliland anayesubiriwa ni Donald Trump tu.Maneno yako sio kweli,
Hivi huwa unafuatilia habari kwa undani kabisa
😂😂😂🙌🙌🙌🏃🏃🏃Mkuu,hawa Waasi wanaongozwa na Intelligence Agencies kutoka Turkey Israel US ndio maana unaona nidhamu yao ya hali ya juu.
Ila Israeli na washirika wake wanashangaza sana, wanaunga mkono hawa waasi alafu bado wanapambana na ugaidiInategemea pia amekamatwa na kundi gani.
Waasi wamegawanyika katika mafungu mbalimbali, wapo wazuri na wabaya.Ila Israeli na washirika wake wanashangaza sana, wanaunga mkono hawa waasi alafu bado wanapambana na ugaidi
Unaongelea ya Rais aliepitaMkuu hujasikia kuwa Israel inataka Base Somaliland ili phase two inapoanza aweze kutoa Dozi kwa Magaidi wa Kihouthi in return Israel itaitambua Somaliland anayesubiriwa ni Donald Trump tu.
Wala usiwashangae kwani wao ndio wanaobadili majina jnsi wanavyoona maslahi yao tuIla Israeli na washirika wake wanashangaza sana, wanaunga mkono hawa waasi alafu bado wanapambana na ugaidi
Hata nyie waarabu wamewawezaWatu weupe wamewaweza baadhi yenu kikamilifu aise.
Trump kasema atawatambua Somaliland kwenye project 2025 kwahiyo US Israel na Ethiopia zitapewa Base Emirates ndio mshenga au haujui hilo kwakuwa uko ukimbizini?!Unaongelea ya Rais aliepita
Hujui kuwa uchaguzi umepita na kachaguliwa Rais mpya? Au hulijui hilo
Sidhani kama huyu mzee atakubali huu ujinga ila aliepita alikuwa na tamaa sana za hela
Hata Ethiopia pia walisaini MoU upande wa bahari lakini wengi walipinga
Kwa hiyo sidhani kama watakubali hilo
Turkey inatajwa sababu ya kwageka Russia, kumgeuka Assad aliyekuwa aekubali kufungua njia ya silaha kuwafikia Hezibollah ili wapambane na Israel, all over sudden anaruhusu movement zinazoenda kuipa ushindi Israel ilihali muda wote alikuwa busy kufanya maigizo ya kwamba anakamata majasusi wa Israel nchini mwake. Otherwise ni Israel, US na UK walioangamiza wapiganaji waliokuwa wakitoka Iraq kwenda Syria kupambana na vikosi vya waasi.Hakuna taarifa yoyote inayowahusisha waasi wa Syria na Marekani wala Israel bali Uturuki ndiyo inayotajwa hadharani kuwasaidia waasi kumtimua Assad.
Tupo live kufuatilia habari hizi mfano muda huu Waziri mkuu wa Uturuki yupo live kwenye mkutano Doha anajibu maswali ya watu mbalimbali walioshiriki mkutano huo kuhusu mustakabali wa Syria baada ya Uturuki kusaidia kuondolewa kwa Assad.
Tatizo baadhi ya ngozi nyeusi kama wewe ndiyo mnaendekeza kubuni habari kwasababu kifikra mmekuwa brainwashed na watu weupe.
Fuatilia habari ukiwa independently minded sio kuendeshwa na mihemko.
Uzuri wa JF unaweza kuchagua Mwimbo.😂😂😂🙌🙌🙌🏃🏃🏃
Ni mimi Isack Mpayo ITV Dar es Salaam.
Magaidi wazuri na wabaya. OK OK OK OKWaasi wamegawanyika katika mafungu mbalimbali, wapo wazuri na wabaya.
Hivi hiyo "Free Palestina" yenu ya London imeishia wapi?! Au sasa hivi mtakuja na "Free Syria" kutoka kwa Wazayuni?😆😆😁Unaongelea ya Rais aliepita
Sio kila muasi ni gaidi, labda kama hujui maana ya uasi.Magaidi wazuri na wabaya. OK OK OK OK