Waasi wamkamata Waziri Mkuu wa Syria muda mfupi baada ya Assad kukimbia. Walimkuta hotelini!

Waasi wamkamata Waziri Mkuu wa Syria muda mfupi baada ya Assad kukimbia. Walimkuta hotelini!

Hiyo mtajua nyinyi ila Taifa tukufu la Israel ukiligusa umekwisha na Waarabu itawachukua muda mrefu kulijua hilo
Sawa lkn usijipe moyo sababu hoja mbili moja Iran iliweza kusambaza missile aina mbalimbali kwa Yemen bila kutegemea Ardhi kwa Ardhi Yemen na Iran zipo mbalimbali sana. Lkn Yemen yupo oky sana kwenye MISSILE kazi ya Iran. Hoja ya pili Hezbollah ilianza kumsumbua israel ata kabla Sadam hussen ajaangushwa. Hii inamana Iran ilikuwa aiwezi kupitisha Ma Boom yake kwenya SYRIA sababu Sadam asingeweza kuruusu uwo mpango pia Tukumbuke Wkt w vita kati ya Iran na Iraq vyamiaka 8 ni SYRIA tu ilikuwa Bega kwa Beda na Iran kwamaana Sadam asingekubali kurusuu Missile zipite ziende Syria. Pamoja na ayo bado Hezbullah alikiwa na nguvu sana kupambana na Israel. Apa nataka niseme Iran inaweza isiwe mwasilika mkubwa zaid ya Russia ambae
Biashara yake ya Gas inaweza kuchacha ikiwa Dill la bomba litasainiwa na mtawala mpya w Syria.
 
Sawa lkn usijipe moyo sababu hoja mbili moja Iran iliweza kusambaza missile aina mbalimbali kwa Yemen bila kutegemea Ardhi
Hivi umesoma Jiografia Ustazi?! Yemen na Iran sio mbali na ni mwendo wa Bahari tu hadi Yemen Majahazi ya Ayatula yanapeleka Makombora kila siku.

Lakini njia ya Syria kwenda Lebanon na Gaza imekatwa rasmi.
 
Watu hawajajua kuwa waliowah kufika Damuscus na kuichukua ni Kundi linalosapotiwa ba turkey ila ni lile la marekani

Kisha wakawasiliana na hilo
Kundi la HT na kuwekeana mipango
Ya serikali mpya ndio maana hili kundi la HT limekubali huyo wazir mkuu aendelee Kuwa madarakani kwa sasa

Huu mchezo Us, Israel na uturuki hawawez kusema hawahusiki..

This mission had all US tacticts written all over it.. kila kitu kimekwenda kama
Holywood.. na hii ni phase one.. phase 2 kama sio Houthi basi Hzbola..

Sitashangaa mwaka mmoja baadae kusikia yemen au lebabon kimelipuka tena na houthi au hizbola ghafla wanapelekewa moto.. maana. Syria itashikwa na Suni na kumbuka yemen upande wa serikali walikuwa na support ya Suni saudi arabia na Houthi wanasapoti ya shia (iran) .. same to lebanon ambao ni shia.
Kaka Yemen watoe na Hezbollah watoe akuna wakuwapinga aya makundi. Ayo ni Majesh kamili wanaweza kukufanya chochote popote ulipo ndio mana umeona SAUDIA kaomba pooo na Israel nae kaomba pooo kupitia UN ufaransa na marekani akuna majesh yataunganya kwaajili ya ayo makundi mawili jiulize mtatakea nch gani isiogopa kupigwa. Jamaa wana Missile za kwenya popote
 
Putin alishajikata mapema hamjashtuka,,,,hadi Netanyahu kipindi anaona Biden anamzingua akataka akutane na Putin,,,,hawa wameshaingia kwenye makubaliano,, effect ya Trump imeanza,,,,,Putin hawezi akaingilia tena maslahi ya mmarekani na israel huku na wao kuna jambo wanaenda kutekeleza Ukraine, ndo maana Trump alisema akipata madaraka tu na vita ya Ukraine inaisha......Biden alikua ana focus sana na Ukraine kuliko mashariki ya kati kitu kilichomkera Netanyahu kipindi anataka msaada,,,Trump focus yake kubwa ni middle east na ndo aliekubali Jerusalem iwe mji mkuu wa Israel katika awamu yake ya kwanza
Usituone poyoyo kama wewe, ndege za RUSSIA hazikushambulia WAASI, hapo UKweli RUSSIA na IRAN wameshindwa kumlinda ASSAD
 
Mossad CIA Turkey Intelligence wamempiga Dulo Assad na Ayatolah.
Hao jamaa ni hatari mno, halafu wana pesa mno. Nilikuwa naangalia msafara wa magari ya waasi ni Toyota hardtop pickup kama mchanga wa bahari. Hiyo pesa ya kununua hayo ma Toyota hardtop pickup imetoka wapi? Pesa ya silaha nyingi mno imetoka wapi? Pesa ya mafuta ya magari ya waasi wa HTS imetoka wapi?



Hao CIA/Mossad wana pesa na hesabu kali mno
 
Hivi umesoma Jiografia Ustazi?! Yemen na Iran sio mbali na ni mwendo wa Bahari tu hadi Yemen Majahazi ya Ayatula yanapeleka Makombora kila siku.

Lakini njia ya Syria kwenda Lebanon na Gaza imekatwa rasmi.
Nimezungumzia Ardhi kwa Ardhi sio Bahari kama Bahari ata Iran anaweza pia kuifikia Lebanon kwa iyoiyo Bahari, nilitaka kuonyesha Iran ategemei Ardhi kuwafikia washilika wake ,
 
Wakuu Bar za Mji Mkuu wa Damascus zimefungua biashara kama kawa watu wanashangilia.
 
Fedha zitalipwa kutoka Wizara ya Oil ya Syria.
Kwahiyo hazijaenda bure.😝
Inawezekana maana kabla ya vita GDP ya Syria ilikuwa inakaribia $67B. Lakini syria ina potential kubwa kutokana na geographical location ilipo.
 
Huyo Waziri mkuu wanampeleke hotelini kwenda kuongoza serikali ya muda.

Waasi wamejifunza ya Iraq. Hawataki kuvunja taasisi zilizopo na badala yake watafanya mabadiliko taratibu.
 
Angalia tarehe ya tangazo. Linganisha na terehe ya leo. Unadhani hicho kikundi kimetoa wapi pesa za kununua silaha nyingi na magari ya kutosha kumuondoa assad. Hao waturuki hawana hela hiyo na wao uchumi wao unayumba mno. Huyo ni Mmarekani kamfadhili CIA wake al-Julani
Ndio maana huwa nawaambia hii issue ya ugaidi ni deception tactic ya CIA ,Mossad ,MI6 na intelligence za nchi washirika wao kutimiza malengo yao
Hao wanaoitwa magaidi ni false flag agents na mercenaries WA hizi intelligence agencies
 
YULE KIONGOZI WASASA SI alikubali kunyoa ndevu basi Bar zitaendelea kwawingi na kushamili. Uku walisema mungu mkubwa. Ao Ndio Suni bado na mengine tutayaona.
 
Usituone poyoyo kama wewe, ndege za RUSSIA hazikushambulia WAASI, hapo UKweli RUSSIA na IRAN wameshindwa kumlinda ASSAD
Kama hadi hapa utakua hujaelewa nenda kapike maandazi hii sio fani yako
Screenshot_20241208-164537_RT News.jpg
Screenshot_20241208-164605_RT News.jpg
Screenshot_20241208-164722_Sputnik.jpg
Screenshot_20241208-164818_Sputnik.jpg
Screenshot_20241208-164845_Sputnik.jpg
 
Kaka Yemen watoe na Hezbollah watoe akuna wakuwapinga aya makundi. Ayo ni Majesh kamili wanaweza kukufanya chochote popote ulipo ndio mana umeona SAUDIA kaomba pooo na Israel nae kaomba pooo kupitia UN ufaransa na marekani akuna majesh yataunganya kwaajili ya ayo makundi mawili jiulize mtatakea nch gani isiogopa kupigwa. Jamaa wana Missile za kwenya popote
Sawa lakini jua huo ukamili wa Hizbo na Houthi, unatokana na Iran. Hyo vita na saudia Iran alikuwa nyuma houthi.. na hata hizbo pia na israel Iran ndio yuko nyuma ya Hizbo..

Uimara wa hizbo na Houthi unategemea uimara wa Iran
 
Inawezekana huyu wazir mkuu alikuwa mkuda waasi wamemuacha aendelee kushika madaraka Assad alizungukwa na wakuda
 
Hawa naona walisubiri hezbollah na hamas wachakazwe na wao waliamshe.....kwa sasa kule Yemen houthi wakae vizuri nao wanaweza wakapelekewa moto
Houthi inapendwa na raia wote wa Yemen.
 
Back
Top Bottom