Waathirika wa ajali ya Precision Air kulipwa Tsh. Bilioni 396

Waathirika wa ajali ya Precision Air kulipwa Tsh. Bilioni 396

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607


Kamishna wa Bima Tanzania, Dkt. Baghayo Saqware amesema ndege ya Precision Air iliyopata ajali ilikuwa na bima na kwamba fidia kwa shirika ni zaidi ya Dola Milioni 50 (Tsh. Bilioni 116)

Amesema bima ya ndege hiyo ni halali na ilikatwa kutoka kwa wakala wa ndani nan je ya Nchi ambapo waathirika wanaweza kupata fidia ya Dola Milioni 170 (Tsh. Bilioni 396).

Kamishna amesema hayo Dodoma, Novemba 10, 2022 wakati wa Semina ya Wabunge kuhusu usalama barabarani ambapo amesisitiza kuwa waathirika wa ajali hiyo ya ndege watalipwa fidia haraka iwezekanavyo.

Pia soma:
Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia
 
Bado mapema hawawez kulipwa mpaka uchunguz ukamilike mana kama ikigundulika kuwa ilianguka kutokana na hali ya hewa watalipwa na bima lakin kama ikigundulika ilianguka kutokana na uzembe wa rubani bima hailipo ila watalipa precision air wenyewe kutoka katika mifuko yao.

Kesi kama hiyo ilitokea wakay ndeg ya kenya airways ilipodondoka kule cameroon na ikagundulika kuwa ule ulikuwa uzembe wa ruban kwan aliambiwa asiondoke mpaka hali itulie ye kaondoa ndeg kwa kibur madhara yake ikanguka na baada ya uchunguzi ikagundulika kuwa ajar ilitokana na uzembe wa ruban hivyo bima wakagoma kulipa ndo kitu kilipelekea kudorola kwa shirika la kenya kwan waliingia gharama kubwa sana kulipa wahanga wa ajali ile.
 
Mkuu gawanya hio pesa nimesoma mahali kuwa precision air wanagawana na hao wahanga.

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Hata ikigawanya bado ni nyingi. Tufanye kampuni inachukua $30mil (kwa kuangalia thamani ya bima tu ya $50 mil. na sio fidia ya $170m) na mil. 20 iliyobaki gawanya kwa abiria 43 kila mmoja au warithi wake watapata takriban dola laki nne na nusu ukibadili kwa pesa ya madafu ni Bilioni kasoro.

Haitorudisha waliokufa ama kufuta machungu lakini nina hakika kilio cha Mil. 900 si sawa na kilio cha bure tu.
 
waathirika wanaweza kupata fidia ya Dola Milioni 170 (Tsh. Bilioni 396).
Wanaweza kupata fidia ya..... au watapatiwa fidia ya.....

Kipi ni kipi?

Unajua ukisema 'wanaweza kupata fidia ya....' hapo bado kuna ukakasi maelezo hayajajitoleza hio ina maana wanaweza kupata fidia ya kiasi hicho au wasipate kiasi hicho
 
Hata ikigawanya bado ni nyingi. Tufanye kampuni inachukua $30 mil. 20 iliyobaki gawanya kwa abiria 43 kila mmoja au warithi wake atapa takriban dola laki nne na nusu ukibadili kwa pesa ya madafu ni Bilioni kasoro.

Haitorudisha waliokufa ama kufuta machungu lakini nina hakika kilio cha Mil. 900 si sawa na kilio cha bure tu.
Ila Kuna watu wanatamani wangekuwa wahanga wa hiyo ajali

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Kamishna wa Bima Tanzania, Dkt. Baghayo Saqware amesema ndege ya Precision Air iliyopata ajali ilikuwa na bima na kwamba fidia kwa shirika ni zaidi ya Dola Milioni 50 (Tsh. Bilioni 116)

Amesema bima ya ndege hiyo ni halali na ilikatwa kutoka kwa wakala wa ndani nan je ya Nchi ambapo waathirika wanaweza kupata fidia ya Dola Milioni 170 (Tsh. Bilioni 396).

Kamishna amesema hayo Dodoma, Novemba 10, 2022 wakati wa Semina ya Wabunge kuhusu usalama barabarani ambapo amesisitiza kuwa waathirika wa ajali hiyo ya ndege watalipwa fidia haraka iwezekanavyo.

Pia soma:
Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia
Wote kwenye Ndege walikuwa 43. Kwa iyo wote kwa jumla pamoja watapa hivi
170,000,000÷ 43= 3,953,489

Kila mmoja atapapata =3,953,489

Je kijana wetu kipenzi dogo Majaliwa Jackson naye atapata mgao? Yani nitafurahi sana kama atajumuishwa kwenye iyo bima. Wasimsahau jamani hata dollars elfu sabini tu.

Mimi nimepanga nikija Bongo likizo hii sikukuu ya krismas namtafuta mimi mwenyewe binafsi. Nina zawadi zake za kutosha ukiondoa dollars 150 nitakayompa

Mwamba Extrovert na wengine nisaidieni kwenye hilo swali iwapo kipenzi chetu majaliwa atajumuishwa ama anakidhi kwenye iyo bima?
 
Kamishna wa Bima Tanzania, Dkt. Baghayo Saqware amesema ndege ya Precision Air iliyopata ajali ilikuwa na bima na kwamba fidia kwa shirika ni zaidi ya Dola Milioni 50 (Tsh. Bilioni 116)

Amesema bima ya ndege hiyo ni halali na ilikatwa kutoka kwa wakala wa ndani nan je ya Nchi ambapo waathirika wanaweza kupata fidia ya Dola Milioni 170 (Tsh. Bilioni 396).

Kamishna amesema hayo Dodoma, Novemba 10, 2022 wakati wa Semina ya Wabunge kuhusu usalama barabarani ambapo amesisitiza kuwa waathirika wa ajali hiyo ya ndege watalipwa fidia haraka iwezekanavyo.

Pia soma:
Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia
Waathirika Ni walipoteza maisha au ni walipona ajili hiyo au ni wote waliopona na waliofariki?
 
Kuna kidume saa hizi kinasimangwa na mkewe kwanini hakupanda precision air japo aokolewe kama sio kufa kabisa ili wapate mgao na wao.

Wakati huo huo ndugu zetu wahaya watapata cha kuongea kuwa wao ajali zao wanalipwa fidia kwa 'madora'.
Watasema sio hii tu ya ndege. Hata tetemeko kuna madola yalitolewa na mabeberu ila yule jiwe akayajengea barabara
 
Halafu kuna watu wanalinganisha ajali za basi na ndege.

Ili ziwe sawa haya mabasi na abiria wao wawe wanakatiwa bima kama ilibyo kwa ndege
 
Waathirika Ni walipoteza maisha su ni walipona ajili hiyo au ni wote waliopona na waliofariki?
Waliopoteza maisha familia zao za karibu mke mume ama watoto watapewa bima. Waliopona nao watapewa. Ila bado sijajua kama wote watapokea mgawo sawa. Ila siyo kitu cha haraka it is a lengthy process. Kumbuka wa Ethiopian airlines early 2019s bado tu hawajakamilishiwa.

Yani hapo legal procedure ya hatariiii itafanyika. Documents zitatembea sana hadi wakamilishiwe Lissu atakuwa ameshaapishwa kama rais na mbowe waziri mkuu.
 
Watasema sio hii tu ya ndege. Hata tetemeko kuna madola yalitolewa na mabeberu ila yule jiwe akayajengea barabara
Unachosema mkuu ni kweli yani sisi waafrika. Nimeshakuwa kwenye kamati nyingi za rambirambi yani nigga anapiga panga balaa bila huruma hela enyewe inapigwa panga ni vilaki. Yani mmatumbi kumbuka tu rambi rambi za tetemeko bukoba yani rais ambaye anasifuiwa shujaa alilamba zile rambirambi zote nakuwapelekea waanga biskuti juice na chai. Fikiria tu mkuu wa nchi, unabaki kushangaa tu wtf!
 
Back
Top Bottom