Dah wee dogo weweNaaam.
Kwa mara ya kwanza Raisi na Prime Minister watakua Wakristo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah wee dogo weweNaaam.
Kwa mara ya kwanza Raisi na Prime Minister watakua Wakristo.
Ni ukweli mchungu. Na kitendo cha kusikia hicho kiasi kuna viongozi tayari washaanza kuchora ramani za mijengo yao mipya.Wakuu naomba tuamini kabisa kwamba waanga watatapeliwa/kupunjwa na viongozi hawa hawa waliochelewa uokoji. Na ni ofisi hii hii ya Waziri Mkuu
Hapana kuna mgao wa aina mbili huo wa bima ndo wakwao huo mwingine unaenda kwa wahanga directMkuu gawanya hio pesa nimesoma mahali kuwa precision air wanagawana na hao wahanga.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Hilo sina uzoefu nalo ila kama watampa itakuwa vyema sanaWote kwenye Ndege walikuwa 43. Kwa iyo wote kwa jumla pamoja watapa hivi
170,000,000÷ 43= 3,953,489
Kila mmoja atapapata =3,953,489
Je kijana wetu kipenzi dogo Majaliwa Jackson naye atapata mgao? Yani nitafurahi sana kama atajumuishwa kwenye iyo bima. Wasimsahau jamani hata dollars elfu sabini tu.
Mimi nimepanga nikija Bongo likizo hii sikukuu ya krismas namtafuta mimi mwenyewe binafsi. Nina zawadi zake za kutosha ukiondoa dollars 150 nitakayompa
Mwamba Extrovert na wengine nisaidieni kwenye hilo swali iwapo kipenzi chetu majaliwa atajumuishwa ama anakidhi kwenye iyo bima?
subiri tupime kiwango chako cha ujingaNaaam.
Kwa mara ya kwanza Raisi na Prime Minister watakua Wakristo.
Nyerere-sokoine , MKapa- Sumaye,hawa walikuwa wapagani ?Naaam.
Kwa mara ya kwanza Raisi na Prime Minister watakua Wakristo.
Wote kwenye Ndege walikuwa 43. Kwa iyo wote kwa jumla pamoja watapa hivi
170,000,000÷ 43= 3,953,489
Kila mmoja atapapata =3,953,489
Je kijana wetu kipenzi dogo Majaliwa Jackson naye atapata mgao? Yani nitafurahi sana kama atajumuishwa kwenye iyo bima. Wasimsahau jamani hata dollars elfu sabini tu.
Mimi nimepanga nikija Bongo likizo hii sikukuu ya krismas namtafuta mimi mwenyewe binafsi. Nina zawadi zake za kutosha ukiondoa dollars 150 nitakayompa
Mwamba Extrovert na wengine nisaidieni kwenye hilo swali iwapo kipenzi chetu majaliwa atajumuishwa ama anakidhi kwenye iyo bima?
Wote kwenye Ndege walikuwa 43. Kwa iyo wote kwa jumla pamoja watapa hivi
170,000,000÷ 43= 3,953,489
Kila mmoja atapapata =3,953,489
Je kijana wetu kipenzi dogo Majaliwa Jackson naye atapata mgao? Yani nitafurahi sana kama atajumuishwa kwenye iyo bima. Wasimsahau jamani hata dollars elfu sabini tu.
Mimi nimepanga nikija Bongo likizo hii sikukuu ya krismas namtafuta mimi mwenyewe binafsi. Nina zawadi zake za kutosha ukiondoa dollars 150 nitakayompa
Mwamba Extrovert na wengine nisaidieni kwenye hilo swali iwapo kipenzi chetu majaliwa atajumuishwa ama anakidhi kwenye iyo bima?
Chonde chonde marubani msije kutafuta sifa sasaKuna kidume saa hizi kinasimangwa na mkewe kwanini hakupanda precision air japo aokolewe kama sio kufa kabisa ili wapate mgao na wao.
Wakati huo huo ndugu zetu wahaya watapata cha kuongea kuwa wao ajali zao wanalipwa fidia kwa 'madora'.