Wababa mliotelekeza watoto subirini mpaka mtafutwe na watoto wenu, acheni usumbufu!

Wababa mliotelekeza watoto subirini mpaka mtafutwe na watoto wenu, acheni usumbufu!

Unafikiri Ommy Dimpoz ni mjinga au Hana haki au Hana akili Kama wewe?

scenario yako na ommy ni mbingu na Ardhi.
Umemaliza Chuo lakini unashindwa kuona utofauti wa Stori ya Ommy Dimpo na yako. Kweli elimu haimfanyi mtu kuwa na uwezo wa kuchambua Mambo.

Wewe Baba yako alikuwa anania na anaonyesha Nia yake na upendo wako kwako lakini Mama alikuwa anakataa,
OmmyDimpo maelezo yake ni kuwa Mzee Hakuwa na time naye.

Ommy Dimpo yupo wazi Kabisa kuwa yupo tayari kupata Laana kama anakosea wewe bado huoni tuu.
Ndo maana nikakwambia kwenye hizi issue za watoto kutelekezwa na baba zao,sio wote wametelekezwa sometimes wazazi wa kike huchangia hizo mambo,japo kuna wengine wanatelekezwa kweli,kuna mama mwengine kwa sababu mapenzi yameisha na mzazi mwenzie basi vita anaileta kwa mtoto, anashindwa kujua tofauti zenu Kama wazazi mtoto hazimuhusu,Kuna siku moja nikiwa kazini yalikuja malalamiko kuwa mama analalamika ametelekezwa na mwanaume,hatoi huduma kwa mtoto wala kwake,ikabidi tumtumie summons yule mwanaume,kweli alifika kwenye shauli,katika maelezo yake alidai kuwa mzazi mwenzie walishatengana miaka miwili iliyopita,na kila mwezi amekuwa akitoa kiasi cha fedha 100,000 kwa ajili ya mtoto,na mtoto alimkatia bima ya afya akiwa na miezi miwili,ila alisema amesitisha kutoa hizo pesa miezi kadhaa nyuma kama mitatu kwa sababu, mzazi mwenzie alidai ametelekezwa na mwanaume! Kumbe si kweli, hivyo alipata hasira akaamua kutotoa hizo pesa kwa miezi hiyo mitatu.kwa hiyo ndugu yangu haya mambo ya matunzo ni mtambuka sana,Kuna wanawake wengine kweli wanatelekezwa since anapomwambia mwanaume nina mimba yako,na uhusiano unaishia hapo,na mwanaume hawajibiki tena kwa huyo mwanamke na mimba yake.
 
Ila msisahau pia akina single mother ndio kundi linaloongoza kuwalisha sumu watoto kuhusu ubaya wa baba zao.. unaweza Kuta single mother anakataa pesa ya matunzo kwasababu ni ndogo anasema Baki nayo ntalea mwenyewe mwanangu...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Le ndio tumegundua Ommy dimpoz ni mfipa na sio Muha Wala mmanyema
Kwani we ukiishi dar unageuka mzaramo....hujamsikia yule mzee vizuri kasema yeye ni mtu wa kigoma na babu yake alitoka congo...sema kuweka maisha amechagua sumbawanga coz ni watu wazuri...sikiliza mahojiano vizuri

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ila msisahau pia akina single mother ndio kundi linaloongoza kuwalisha sumu watoto kuhusu ubaya wa baba zao.. unaweza Kuta single mother anakataa pesa ya matunzo kwasababu ni ndogo anasema Baki nayo ntalea mwenyewe mwanangu...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Mwanamke kumwambia mtoto ukweli ni kumpa sumu?
 
Hizi mambo zimewahi kunikuta nikiwa mdogo,baada ya kuachana wazazi,mama yangu hakutaka msaada wowote ule wa baba,ilifikia hatua hata mshua akileta nguo alizichoma moto,baadae mshua akaamua kukaa pembeni na kutojihusisha na kutoa matunzo yoyote yale kwangu,ulipofika umri wa shule alinipa majina ya baba wa kambo aliyemuoa wakati huo,nilisoma mpaka chuo kikuu nikitumia hayo majina,nimebahtika kupata ajira,sasa nikipata kidgo namtumia biological father,hiyo hali ya kumtumia pesa baba yangu mzazi,mama yangu imekuwa inamkera mno ni vile tu nimekuwa mtu mzima anashindwa kunikemea au kunipangia ila anaumia sana! So wakati mwengine mama zetu huchangia hiyo hali,ndo maana mimi siwezi kutupa lawama kwa baba yake dimpoz,hatujui huko walikuwaje na mzazi mwenzake.
Bora wewe uliona na ukajua kua mama ndiye alikua hataki ukaribu wa wewe na baba yako,wengine unakuta anamlaumu baba,hajui huyo baba alikua na dhamira gani kwake,ila tatizo MAMA na kisirani chake.
 
Bora wewe uliona na ukajua kua mama ndiye alikua hataki ukaribu wa wewe na baba yako,wengine unakuta anamlaumu baba,hajui huyo baba alikua na dhamira gani kwake,ila tatizo MAMA na kisirani chake.

Hakuna mtoto wa hivyo dunia hii. Mtoto akishakua anajua na kuelewa mambo yote yaliyomfikisha hapo.
Labda hiyo mtoto awe zoba.

Hivi mtoto afikishe miaka 30 asijue nini kilitokea alipokuwa mdogo? Nawe unaamini
 
Ndo maana nikakwambia kwenye hizi issue za watoto kutelekezwa na baba zao,sio wote wametelekezwa sometimes wazazi wa kike huchangia hizo mambo,japo kuna wengine wanatelekezwa kweli,kuna mama mwengine kwa sababu mapenzi yameisha na mzazi mwenzie basi vita anaileta kwa mtoto, anashindwa kujua tofauti zenu Kama wazazi mtoto hazimuhusu,Kuna siku moja nikiwa kazini yalikuja malalamiko kuwa mama analalamika ametelekezwa na mwanaume,hatoi huduma kwa mtoto wala kwake,ikabidi tumtumie summons yule mwanaume,kweli alifika kwenye shauli,katika maelezo yake alidai kuwa mzazi mwenzie walishatengana miaka miwili iliyopita,na kila mwezi amekuwa akitoa kiasi cha fedha 100,000 kwa ajili ya mtoto,na mtoto alimkatia bima ya afya akiwa na miezi miwili,ila alisema amesitisha kutoa hizo pesa miezi kadhaa nyuma kama mitatu kwa sababu, mzazi mwenzie alidai ametelekezwa na mwanaume! Kumbe si kweli, hivyo alipata hasira akaamua kutotoa hizo pesa kwa miezi hiyo mitatu.kwa hiyo ndugu yangu haya mambo ya matunzo ni mtambuka sana,Kuna wanawake wengine kweli wanatelekezwa since anapomwambia mwanaume nina mimba yako,na uhusiano unaishia hapo,na mwanaume hawajibiki tena kwa huyo mwanamke na mimba yake.
Hii ishu imetokea kwangu one month ago, Yani namlipia mpaka Kodi na ela ya Mtaji nilimpa ...

Na mtoto akiumwa matibabu nampa,na kila mwezi nilikuwa natoa si chini ya 100,000 ila bado nilitangazwa nimewatelekeza yeye na mtoto

Niliposikia nikasema inatosha sasa, Nikastopisha kilakitu na kuanza kutoa laki Moja Kwa mwezi tuu...na sitoi kitukingine chochote

Alihaha mpaka akafukuzwa na Baba Mwenye nyuma......wanawake bwana
 
Hii ishu imetokea kwangu one month ago, Yani namlipia mpaka Kodi na ela ya Mtaji nilimpa ...

Na mtoto akiumwa matibabu nampa,na kila mwezi nilikuwa natoa si chini ya 100,000 ila bado nilitangazwa nimewatelekeza yeye na mtoto

Niliposikia nikasema inatosha sasa, Nikastopisha kilakitu na kuanza kutoa laki Moja Kwa mwezi tuu...na sitoi kitukingine chochote

Alihaha mpaka akafukuzwa na Baba Mwenye nyuma......wanawake bwana

Subiri mtoto afikishe walau miaka 10 then endelea kumhudumia. Hakikisha pesa inapitia Kwa mtoto
 
Wengine wanafanikiwa kutokana na kutelekezwa; wasingetelekezwa wasingekuwa hapo walipo. Si ajabu wangekuwa wameajiriwa na kupokea mshahara wa laki 2
Kwani kupokea laki mbili ni jinai.. acha dharau mkuu tuheshimu vipato vya watu
 
Hii ishu imetokea kwangu one month ago, Yani namlipia mpaka Kodi na ela ya Mtaji nilimpa ...

Na mtoto akiumwa matibabu nampa,na kila mwezi nilikuwa natoa si chini ya 100,000 ila bado nilitangazwa nimewatelekeza yeye na mtoto

Niliposikia nikasema inatosha sasa, Nikastopisha kilakitu na kuanza kutoa laki Moja Kwa mwezi tuu...na sitoi kitukingine chochote

Alihaha mpaka akafukuzwa na Baba Mwenye nyuma......wanawake bwana
Hayo mambo yapo sana kwenye jamii zetu! Mimi nafanyia kazi kwenye hayo mambo ya ustawi wa jamii,huwa tunashuhudia mambo mengi sana! Wapo wamama wanakuja wametelekezwa kweli mpaka unaweza kutoa chozi ukiwa unamsikiliza,wapo wamama wanakuja kimichongo kwa sababu mapenzi yameisha baina yake na mzazi mwenzie,hivyo anaamini kuja kwake penzi linaweza kurudi,wapo wamama wanakuja kwa minajili ya kumkomoa mwanaume.
 
Hayo mambo yapo sana kwenye jamii zetu! Mimi nafanyia kazi kwenye hayo mambo ya ustawi wa jamii,huwa tunashuhudia mambo mengi sana! Wapo wamama wanakuja wametelekezwa kweli mpaka unaweza kutoa chozi ukiwa unamsikiliza,wapo wamama wanakuja kimichongo kwa sababu mapenzi yameisha baina yake na mzazi mwenzie,hivyo anaamini kuja kwake penzi linaweza kurudi,wapo wamama wanakuja kwa minajili ya kumkomoa mwanaume.
Mambo ni mengi, Kama upo huko Mungu akuongoze kwenye Kuzingatia haki
 
Hizi mambo zimewahi kunikuta nikiwa mdogo,baada ya kuachana wazazi,mama yangu hakutaka msaada wowote ule wa baba,ilifikia hatua hata mshua akileta nguo alizichoma moto,baadae mshua akaamua kukaa pembeni na kutojihusisha na kutoa matunzo yoyote yale kwangu,ulipofika umri wa shule alinipa majina ya baba wa kambo aliyemuoa wakati huo,nilisoma mpaka chuo kikuu nikitumia hayo majina,nimebahtika kupata ajira,sasa nikipata kidgo namtumia biological father,hiyo hali ya kumtumia pesa baba yangu mzazi,mama yangu imekuwa inamkera mno ni vile tu nimekuwa mtu mzima anashindwa kunikemea au kunipangia ila anaumia sana! So wakati mwengine mama zetu huchangia hiyo hali,ndo maana mimi siwezi kutupa lawama kwa baba yake dimpoz,hatujui huko walikuwaje na mzazi mwenzake.
Sawa ila ommy kashasema mama yake alikufa angali mdogo huyo baba alishindwa kuchukua Jukumu la kumlea mwanae wakati mama tayari kafariki?
 
Ndo maana nikakwambia kwenye hizi issue za watoto kutelekezwa na baba zao,sio wote wametelekezwa sometimes wazazi wa kike huchangia hizo mambo,japo kuna wengine wanatelekezwa kweli,kuna mama mwengine kwa sababu mapenzi yameisha na mzazi mwenzie basi vita anaileta kwa mtoto, anashindwa kujua tofauti zenu Kama wazazi mtoto hazimuhusu,Kuna siku moja nikiwa kazini yalikuja malalamiko kuwa mama analalamika ametelekezwa na mwanaume,hatoi huduma kwa mtoto wala kwake,ikabidi tumtumie summons yule mwanaume,kweli alifika kwenye shauli,katika maelezo yake alidai kuwa mzazi mwenzie walishatengana miaka miwili iliyopita,na kila mwezi amekuwa akitoa kiasi cha fedha 100,000 kwa ajili ya mtoto,na mtoto alimkatia bima ya afya akiwa na miezi miwili,ila alisema amesitisha kutoa hizo pesa miezi kadhaa nyuma kama mitatu kwa sababu, mzazi mwenzie alidai ametelekezwa na mwanaume! Kumbe si kweli, hivyo alipata hasira akaamua kutotoa hizo pesa kwa miezi hiyo mitatu.kwa hiyo ndugu yangu haya mambo ya matunzo ni mtambuka sana,Kuna wanawake wengine kweli wanatelekezwa since anapomwambia mwanaume nina mimba yako,na uhusiano unaishia hapo,na mwanaume hawajibiki tena kwa huyo mwanamke na mimba yake.


Ndio nakuuliza Kwa umri wa OmmyDimpo hawezi kujua mbivu na mbichi?

Wanaume wengi tunatabia ya kutumia Mila na desturi pamoja na sheria za Dini vibaya kuwakandamiza watoto na wanawake.

Ni kweli wapo wanawake wenye tabia hizo lakini ukiona mpaka mwanamke anafanya hivyo ujue kuna sehemu mwanaume umemchezea Faulu.
 
Sawa ila ommy kashasema mama yake alikufa angali mdogo huyo baba alishindwa kuchukua Jukumu la kumlea mwanae wakati mama tayari kafariki?

Hata kama angemuacha Kwa Bibi yake, ni Sawa. Lakini Ile kwenda kumsalimia, kumjulia Hali nisehemu ya malezi na kuonyesha upendo.

Wanakalia ati kapewa sumu,
Hivi Kwa umri wa Ommy ashindwe kujua makosa ya Mama na Baba yake?

Mbona humu kuna kijana kasema wazi kuwa Mama yake aliboronga Kwa kumsingizia Baba yake uongo kwani alikuwa akiona. Sasa mtu anamiaka zaidi ya miaka 30 ashindwe kujua kitu kidogo Kama hicho
 
Back
Top Bottom