Wababa mliotelekeza watoto subirini mpaka mtafutwe na watoto wenu, acheni usumbufu!

Watoto wana macho wanajua jema na baya waache wakaze mafuvu
 
Mkuu hapa hatumchambui ommy tu,tunaichambua jamii kwa ujumla,na kuhusu faulo unayozungumzia ni mapenzi tu,wanawake wengi huamini kuwa wakipewa mimba na mwanaume basi lazima aolewe na huyo Mwanaume,sasa ikitokea tofauti ndo hizo chuki huanzia hapo,sasa wengi wakienda huko ustawi wa jamii au mahakamani,huishiwa kuambiwa kuwa hawawezi kumlazimisha mwanaume amuoe kwa sababu amezaa naye,ila wanachoweza kumsaidia ni kupata matunzo ya mtoto, issue ya ndoa ni ya hiali baina yao wawili! Kama mmoja hamtaki mwenzie huwezi lazimisha wawe pamoja,isipokuwa ni kuangalia maslahi ya mtoto tu kwenye matunzo.
 
Hahahahahaha! Ukweli ni kwamba single mother hata umpe milioni kwa mwezi kulea mtoto Bado haitoshi,kulea mtoto ni kazi sana hususani ukiwa peke yako,wengi huwa na stress mno,ni heri asipate hayo matunzo lakini wawe pamoja na huyo mzazi mwenzie,kidgo huleta faraja na hujisikia ahueni!
 
Bora wewe uliona na ukajua kua mama ndiye alikua hataki ukaribu wa wewe na baba yako,wengine unakuta anamlaumu baba,hajui huyo baba alikua na dhamira gani kwake,ila tatizo MAMA na kisirani chake.
Huwa tunatoa sana elimu kwa single mother,wajaribu kuziweka tofauti zao pembeni na mtoto wasimuhusishe kabisa, maana wengine huenda mbali na kufikia hatua ya kumbadili mtoto majina ili kumkomoa mwanaume,kitu ambacho si sahihi,pale ni kumkomoa mtoto kwa kamnyima haki yake ya kutambua chimbuko lake!
 

Mwanamke ukimtongoza moja Kwa moja anajua unampenda.
Hivyo kutaka kuolewa na aliyemtongoza ni HAKI yake achilia mbali aliyempa mimba.

Lazima akuchukie Kama ulimdanganya Kwa lengo la kupata sex ulitegemea atakuchekea.

Ni Bora ukanunue kahaba hutapata lawama lakini kumtongoza mtoto wa kike moja Kwa moja unajiingiza kwenye hatia
 
Sio Jambo jema.
Ila mtoto huoni amejua ukweli licha ya hayo kutokea
Mkuu! sasa hiyo ya mtoto kuujua ukweli sio watoto wote hufanikiwa kuujua ukweli, wengine hawafanikiwi kabisa! Ndo maana wanashauliwa kwenda kwenye vyombo vinavyohusika ili mambo hayo yashughulikiwe kwa namna inayofaa zaidi.
 
Mkuu! sasa hiyo ya mtoto kuujua ukweli sio watoto wote hufanikiwa kuujua ukweli, wengine hawafanikiwi kabisa! Ndo maana wanashauliwa kwenda kwenye vyombo vinavyohusika ili mambo hayo yashughulikiwe kwa namna inayofaa zaidi.

Mtu akishafikisha miaka 30 ashindwe kujua ukweli. Unazungumzia Mbuzi au mtu?
 
Mkuu hujawahi kumtongoza mwanamke kwa malengo ya kumuoa? Lkn baada ya kuwa naye kwa muda mfupi tu unagundua kuwa sio mtu sahihi kwako,na wakati unafikiria kuvunja huo uhusiano unakuta tayari vitu vimejipa yani mjamzito, utafanyaje?
 
Mkuu hujawahi kumtongoza mwanamke kwa malengo ya kumuoa? Lkn baada ya kuwa naye kwa muda mfupi tu unagundua kuwa sio mtu sahihi kwako,na wakati unafikiria kuvunja huo uhusiano unakuta tayari vitu vimejipa yani mjamzito, utafanyaje?

Ndio ukalale Naye?

Kwa nini usimchunguze kabla hujalala naye? Kisha Kama anatabia mbaya umuache kabla hujalala naye?

Au alikutongoza mwenyewe?

Au kisa wao ni dhaifu kushawishiwa au kudanganywa ndio tutumie udhaifu wao kuwalaumu?
 
Ukimtongoza mwanamke na suala la kumuoa,ni mambo mawili tofauti na wanajua hilo,ndiyomaana unakuta mwanamke anatongozwa na wanaume si chini ya hamsini,nikimaanisha analala nao,lakini hawamuoi na hakuna uhasama wowote.Ikija kutokea akampata wa kumuoa,wale maex asilimia kubwa huwa ndiyo kimbilio lake na wao kihisia,hata kama na wao wameoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…