Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Nawaambia kila siku integration.
Huwezi kwenda Ulaya we kila siku ni kukutana na wenzio toka Africa acha TZ.
Intergration unajichanganya nao na hawanaga tatizo.
Wabongo sasa.
Mkikutana mara moja tosha.
Unavunja mwezi muonane tena.
Hudaiwi.
 
"Those who would give up essential Liberty, to purchase a little temporary Safety, deserve neither Liberty nor Safety."

- Benjamin Franklin.

Tatizo liko hapa bhangosha, hicho kiinglish unitafisire sasa mi nshapata makengeza....😅😅😅😆.

By the way, Happy June, Happy Summer, Happy half year 2023 😉.
 
Mko Nchi gani?
 
Wabongo sisi ni wanafiki sana
 
Nahisi baridi sana...hapo nje hahahaaa! Manne ain’t try make jokes around y’all I didn’t worry about anything dryied me out... there’s no excuse and we just like light ahead so we make poppin and glory along as all time, but when comes shit 🤣🤣 it’s just click clack paaah...for real! Death is my wife! Hahahaa! Don’t believe so try me then🤣🤣
 
Ujuaji ni kitu kibaya sana na kinatugharimu sana watanzania
 
Hapa tatizo lako umegeneralise kwamba vitu vyako unavyotaka huko ulaya na wenzako ndio hivyo hivyo. Hakuna mtu alieharibikiwa kwenda ulaya kama alitimiza malengo yake. Wengine tuliondoka bongo hatuna shida yoyote, kama shule tulienda, pesa nono tulikua nazo ila malengo ni kwenda ulaya kuishi na wala sio kua kuna siku tutarudi bongo. Tuliondoka mazima, hata huo uraia pacha hatuuhitaji , we're living our dreams. Kuna wanaoenda kutafuta maisha ili warudi bongo wakiwa na pesa, na kuna tunaoenda kuishi, maana maisha hata hapo bongo tuliishi kama tupo ulaya tu kila siku ni Xmas. Acha kabisa kuweka watu wote kwenye kapu moja.
 
Sema nini una hoja yenye mashiko[emoji848]
 
Aliyekwambia nina negativity nani?

Mimi nataka nifike Marekani na nataka wewe Kiranga unisaidie.


Ishu ni kufika huko tu mambo mengine utaniachia mimi.

Haya twende kazi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji13][emoji13]
 
South Africa ndio ughaibuni?
Naona wengi humu ni Mabaharia' waliopo Dizonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…