babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Nawaambia kila siku integration.Mimi naona hakuna haja ukifika nje kuanza tena kufuatana fuatana wabongo badala ya kutengeneza urafiki na wenyeji ambao ndo wanajua kila kitu kuhusu nchi yao. Kama unaenda nje na unaanza kutafuta wabongo wenzako bora ukabaki tu usiende. Mambo ya kufuatana fuatana kama nzi tuwaachie Machalii wa R maana wao hata wakiwa Dar lazima wajitenge.
"Those who would give up essential Liberty, to purchase a little temporary Safety, deserve neither Liberty nor Safety."
- Benjamin Franklin.
Mko Nchi gani?Kuna dogo flani nimeshawahi kuletaga uzi humu kitambo kidogo nadhani 2015 au 2016.
Dogo aliletwa mtoni akiwa mdogo kutoka bongo. Anapendaga kushindana na mimi hadi leo. Nampango wa kumuanzishia uzi humu jinsi nilivyomuwin kisaikolojia.
2009 nilipokuwa bado mgeni hapa dogo aliniudhi kichiz. Aliniambia sasa wote mkija huku nani atabaki bongo? Nilimaindi kichiz
Hadi akinunua kitanda ananiringia nabaki kushangaa kitanda tu mtoni jamani.
Kaeni mkao wa kula ntaleta uzi mwengine kumhusu karibuninilivyomuwin kisaikolojia nakumnyamazisha
Wabongo sisi ni wanafiki sanaYaani wabongo ni watu wa ajabu sana, yaani wao wamekalia majungu, chuki, unafiki na ukora tu. Yaani wao wakiona mwenzao amewazidi kwa chochote kile wanaanza kukupiga majungu, nasema hii tabia inakera.
Ndio maana mie huwa napenda kujitenga na wabongo, aisee yaani ni watu ambao wamekalia majungu, unafiki, uzandiki pamoja na ukora tu.
Juzi kuna watu wabongo wajinga wamemchoma mwenzao mpaka ameenda kwa sello kisa jamaa mambo yake yanaenda na anapiga hela nyingi, kwahiyo wajamaa wameamua kumchoma, upuuzi! Nyie wabongo tabia yenu ya kipuuzi huko kwenu muiachane huko huko.
My fridge in my ‘struggle’ garage 😀🙈Marekani ni kawaida tu kuwa na extra fridge/freezer kwenye garage/ basement kwa sababu ya jikoni mara nyingi inakuwa inajaa.
hata west africa kwenye miigod kupiga dump truck inaelekea kule hakuna wajuzi wa haya madude sana na huku yalitangulia enzi za mkapaMichongo ya Uarabuni hiyo kuendesha tracks.
Nyani leo kaibuka!!
Hapa tatizo lako umegeneralise kwamba vitu vyako unavyotaka huko ulaya na wenzako ndio hivyo hivyo. Hakuna mtu alieharibikiwa kwenda ulaya kama alitimiza malengo yake. Wengine tuliondoka bongo hatuna shida yoyote, kama shule tulienda, pesa nono tulikua nazo ila malengo ni kwenda ulaya kuishi na wala sio kua kuna siku tutarudi bongo. Tuliondoka mazima, hata huo uraia pacha hatuuhitaji , we're living our dreams. Kuna wanaoenda kutafuta maisha ili warudi bongo wakiwa na pesa, na kuna tunaoenda kuishi, maana maisha hata hapo bongo tuliishi kama tupo ulaya tu kila siku ni Xmas. Acha kabisa kuweka watu wote kwenye kapu moja.Nimewahi kuishi kidogo ulaya mkuu.
Ila bahati mbaya sikupapenda.
Binafsi kuna baadhi ya watu niliona kama kwenda ulaya kumewaharibia maisha yao na sikutaka kuwa mmoja wao na bila kupoteza muda nikaanza kujiandaa kurudi zangu bongo.
Sijutii kurudi bongo na ulaya ninarudigi kutembea.Huwa namiss scandnavian summer.
Sema nini una hoja yenye mashiko[emoji848]Sasa unauliza swali halafu hutaki jibu.
Wewe ushajiwekea negative thinking kwa hiyo husaidiki.
Badala ya kutaka kujua hao wawili ilikuwaje, nimewezaje kuwasaidia, unaniita muongo.
Hata kama nilikuwa na nia ya kukusaidia, unaondoa nia hiyo.
Wewe mwenyewe una negative mentality, ndiyo maana nikasema hubebeki.
Yani wewe mwenyewe huna mentality ya kuweza, hivyo ni vigumu mtu mwingine kukusaidia.
SureNikiwa nje ya sio kila mtu wa nyumbani nakuwa na mazoea nae
Wana tabia za kishamba sana
Vicky uko UK?Mimi ndo maana sitaki kujuana na wabongo,mimi salaam tu basi.
Mimi nipo bongo,huko huwa ninakwenda mara moja moja.Vicky uko UK?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji13] msaidie bana alipanic mda uleMimi ni muongo.Umesema mwenyewe. Hivyo siwezi kukusaidia.
Basi nimeghairi hata safari enyewe.😄😄Mkuu ingia kichwa kichwa ule za uso