Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Wale wa mtoni kuna jambo lenu huku jamani🤔🤔🤔
 
[emoji16][emoji16][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23]
 
Reactions: EEX
Ulikuwa nchi gani mkuu?
 
This fallacy is called ad hominem.

Plus a lot of making shit up.

Hawa ndio watu wanaotaka kusaidiwa?

Halafu wasiposaidiwa utashangaa nini?
 
We kiranga watu wanakula za uso pale embassy acha acha....

Consular anakuuliza maswali chapchap hata hasikilizi, utasikia next, hapo umetupwa hakuna cha visa[emoji848]
Mkuu,

Katika mahusiano ya kimataifa nchi ina uhuru wa kukataa kutoa visa kwa mtu yeyote kwa sababu yoyote au hata bila sababu.
 
This fallacy is called ad hominem.

Plus a lot of making shit up.

Hawa ndio watu wanaotaka kusaidiwa?

Halafu wasiposaidiwa utashangaa nini?
Nani anataka msaada tako wewe ,? , Unafikiri kila mtu humu ana njaa za kwenda kudeki vyoo huko na kubeba maboksi kama wewe ?

Idiot
 
Nani anataka msaada tako wewe ,? , Unafikiri kila mtu humu ana njaa za kwenda kudeki vyoo huko na kubeba maboksi kama wewe ?

Idiot
Sasa povu la nini?

Unaweza kujadili hoja bila kumtukana mtu?
 
Kwanini wa Tz tuna makasiriko hivi? Mbona hii mada ilikuwa kueleweshana tu halafu inakuwa fresh fresh[emoji1690].
 
Sasa povu la nini?

Unaweza kujadili hoja bila kumtukana mtu?
Acha tabia za kichoko wewe , umenikera sana mwana kakuuliza ishu fresh we unamtolea majibu ya kike kike na maneno ya kejeli hapa , halafu unakandia watu as if wewe ni nani sijui , hivi ninyi Kenge huwa mnajikuta nani ? ,Au ndio madhara ya kuathirika kiakili kutokana na ufukara ? , Huko kubeba mabox na kudeki vyoo ndio mnaona dunia yenu na kila mtu takataka au kinyago au sio ? ,halafu mnaanza kutoa maneno ya kike humu , eti mnaonewa wivu , fools .
wewe na wapuuz wenzako acheni ufala .
Gadem mazafaka#@£-##££#%$¢^π

No wonder mnafanya upuuz Tu huko wa kubrag vyakula hadi nguo za ndani ,pumbav zenu ,bora Trump arudi madarakani afukuze takataka zote ninyi mnaoongeza mzigo tu humo na hamcreate value yoyote , just parasites ,akili za inzi.
 
Huna hoja, unaleta viroja.

Straight to ignore list.
 
Duh!

Mbona jamaa ana hasira sana na wewe?

Ulimfanya nini?
Labda matatizo ya maisha yanamfanya ashindwe kuelewa hasira zake azipeleke sehemu gani iliyo sahihi.

First of all, watu wengi inaonekama hawaelewi kwamba nobody here is obligated to help anybody.

So why the false sense of entitlement?
 

Wewe ulimpeleka huyo diaspora?

Kama alijipeleka na wewe jipeleke. Failures zako sio shida zangu.
 
Wewe ulimpeleka huyo diaspora?

Kama alijipeleka na wewe jipeleke. Failures zako sio shida zangu.
Hakuna cha kufeli nazungumzia kusaidiana tena kwa watu wenye nasaba moja na kwa bahati nzuri we sio ndugu yangu wala sijawahi kukuomba msaada wowote .Kaa kwa kutulia.
 
Hakuna cha kufeli nazungumzia kusaidiana tena kwa watu wenye nasaba moja na kwa bahati nzuri we sio ndugu yangu wala sijawahi kukuomba msaada wowote .Kaa kwa kutulia.
Nasaba si msingi wa kusaidiana.

Kuna watu hawana nasaba ila wanaelewana vizuri na kusaidiana, na kuna watu wana nasaba na wanapigana risasi.
 
Hakuna cha kufeli nazungumzia kusaidiana tena kwa watu wenye nasaba moja na kwa bahati nzuri we sio ndugu yangu wala sijawahi kukuomba msaada wowote .Kaa kwa kutulia.

Wakati unasema diaspora ulisema ndugu zako?

Kama mindugu yako Ina roho mbaya mbona unajumuisha diaspora wote?

Maisha yako ni jukumu lako, ndugu zako wamefika huko kwa juhudi zao wewe endelea na makasiriko ya reja reja uone kama utafika popote. Utakula vumbi Hadi upauke
 
Nilishafafanua na nikaomba samahani kwa kufanya generalization.Unataka nini kingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…