Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Ban itoke wapi?
Na kwa nini unafikiri tunatakiwa kukubaliana muda wote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ban itoke wapi?
Sasa kama unaweza kuja Marekani kwa juhudi zako mwenyewe kwa nini unaomba msaada na kulialia JF?Watu kama wakina nani?
Hivi kwa akili yako unadhani nategemea msaada?Huo msaada wapelekee ndugu zako.
Mimi Marekani lazima nije kwa juhudi zangu na uwezo wangu binafsi,nyie endeleeni na roho mbaya zenu na uzwazwa wenu
Yani hizi fake ID tayari umeshamjuwa Kiranga nani na amefanya nini na nini hajafanya?Mkuu nadhani shika hamsini zako maana wewe ni TAPELI na huna chochote zaidi ya U - MUCH KNOW wa kijinga,hakuna cha maana ulichofanya tangu uishi nje zaidi ya ujuaji na ujinga tu
Umeona nimekulilia nataka msaada?,Hivi msaada unaujua wewe?Sasa kama unaweza kuja Marekani kwa juhudi zako mwenyewe kwa nini unaomba msaada na kulialia JF?
Na Mimi naomba kisaidiwa kufika nchi za ulaya, kwa mchongo wa kazi......😊Kasaidia wengi mfano mmoja ni ndugu Invigilator amesaidiwa na wana JF wa majuu akiwemo Kiranga hadi kutua USA.
Mkuu hebu nipumzishe na hiyo Dr yako feki.Yani hizi fake ID tayari umeshamjuwa Kiranga nani na amefanya nini na nini hajafanya?
Nimekushauri mkurya mwenzako wa Rorya Makongoro yupo Wall street New York anaitwa John Mashaka hebu mwambie akusaidie kama unadhani ni jambo rahisi.
Mkuu wewe jipambanie lakini usitegemee hawa matapeli akiwemo Kiranga na Dr feki Dr Matola PhDNa Mimi naomba kisaidiwa kufika nchi za ulaya, kwa mchongo wa kazi......[emoji4]
Na siku hizi wana mchezo wa kupitia social networks account zako zote, sasa wale lopolopo na kupost ujinga kazi wanayo.Hivi anajua kuna wakati ili upate permit wazungu wanaweza kukuuliza maswali ya kipuuzi kama vile'Mara ya mwisho kulala na mkeo ulifunga goli ngapi'.
Sasa kwa jazba hizi si ataishia kuwatukana tu🤣
You are not only ignorant, you are also boring.Umeona nimekulilia nataka msaada?,Hivi msaada unaujua wewe?
Wewe tulia bhana upewe msaada acha pigo za kirembo, kupinga pinga hoja za msingi. 😊Umeona nimekulilia nataka msaada?,Hivi msaada unaujua wewe?
Wewe ni zumbukuku na limbukeniYou are not only ignorant, you are also boring.
I can tolerate ignorant people.
I can tolerate boring people.
But I can't tolerate a person who is both ignorant and boring.
I am sending you to my ignore list.
From here, I will no longer see your posts.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe tulia bhana upewe msaada acha pigo za kirembo, kupinga pinga hoja za msingi. [emoji4]
Dr feki acha uongoNa siku hizi wana mchezo wa kupitia social networks account zako zote, sasa wale lopolopo na kupost ujinga kazi wanayo.
Mkuu hebu nipe mchongo wa kufika huko majuu kwa ajili kazi.....😊Nobody, apart from the parents who brought you into this world, is obligated to help you.
And even parents are obligated only to a certain age.
So, when seeking help, humble yourself.
This is a very basic principle in life.
Jina lenyewe lina jieleza ni kiranga 🤣🤣🤣🤣Wewe umsaidie nani wewe!
Wapo wabongo wakutoa msaada ila si wewe mwenye Kiranga na kutaka kutukuzwa!.Tutawasaka hata Wakenya watasaidia maana nyie mmejawa majungu,roho mbaya na wivu
[emoji23][emoji23]Jina lenyewe lina jieleza ni kiranga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndivyo anavyodai kuwa walimpandikizia.Kwa hivyo hayo madawa walimpandikizia?
Siku hizi kukutana nyumbani na watu usiowajua vizuri ni risk kubwa.
Sasa hapo huoni kila mtu analaumu watu wa jamii yake kwa sababu anawajua sana?
Wewe ajakusaidia?Kasaidia wengi mfano mmoja ni ndugu Invigilator amesaidiwa na wana JF wa majuu akiwemo Kiranga hadi kutua USA.
Weeeee usiniambie mkuu, kumbe hao ni majizi. 🥺😮😳🙌🙌Mkuu wewe jipambanie lakini usitegemee hawa matapeli akiwemo Kiranga na Dr feki Dr Matola PhD
Mkuu akikujibu utanitagWewe ajakusaidia?