MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mimi naona hakuna haja ukifika nje kuanza tena kufuatana fuatana wabongo badala ya kutengeneza urafiki na wenyeji ambao ndo wanajua kila kitu kuhusu nchi yao. Kama unaenda nje na unaanza kutafuta wabongo wenzako bora ukabaki tu usiende. Mambo ya kufuatana fuatana kama nzi tuwaachie Machalii wa R maana wao hata wakiwa Dar lazima wajitenge.