Wabongo Mnalima Mpira mtavuna mpira

🤣🤣wacha tulime mpira,manake kiongozi wa nchi mwenyewe hana dira,naye anadandia vibe la mpira,ili akubalike🤣🤣
 
Mpira ni ajira, ila kwa watu wachache kama wewe hamuwezi kujua hilo. Mnataka watu wote wakalie makaratasi hapana. Binafsi mimi Nina watoto likizo no tuition. Kila mmoja amechagua fani anakwenda huko. Michezo ina pesa Bwana.
 
Wabongo sahv ni mipira na miziki tu

Ova
 
Anzisha mapinduzi au vuguvugu la mapinduzi uone kama hujabinywa mipira hiyo..acha watu na burudani zao...wewe sadist jifungie ndani
 
Mimi kinachonishangaza zaidi ni kuwa ukiwa mfuatiliaji wa soka ukawaambia watu kuwa wewe si shabiki wa yanga wala simba hawakuamini kabisa! Yaani wanaamini kila shabiki lazima ahusike kwenye yanga na simba, hawataki kabisa kusikia unaishia kwenye habari za akina chelsea, arsenal, man u, man city etc. Yanga na simba zimekuwa kama dini nchi hii. Ovyo kabisa.
 
Wewe kama mimi aisee.

Sipendi kabisa kuwa na mwanamke anayependa na kufuatilia mpira, huwa nawaona wa 'hovyo' sana yaani! Unakuta ukumbi mzima mamen 200+ halafu lidemu moja au viwili! Pumbaf!
 
KWA AJILI YA KUILINDA AMANI YA HII NCHI...WACHA WAENDELEE WATANZANIA KUZUNGUMZIA MPIRA NA KUFUATILIA MPIRA... OTHERWISE WAKIZUNGUMZIA YALE MNAYOTAKA WAZUNGUMZIE...BASI HAKUTAKUWA NA AMANI TENA.
 
KWA AJILI YA KUILINDA AMANI YA HII NCHI...WACHA WAENDELEE WATANZANIA KUZUNGUMZIA MPIRA NA KUFUATILIA MPIRA... OTHERWISE WAKIZUNGUMZIA YALE MNAYOTAKA WAZUNGUMZIE...BASI HAKUTAKUWA NA AMANI TENA.
Umeongea point lkn unadhan watapona?? Aunndio watakuwa adui namba moja??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…