Wabongo tuache unafiki wa kumkandia DSTV na Kumpa sifa AZAM wakati huohuo hao AZAM huko majumbani kwetu tunabaki kuwalaumu na kulalamika kwa huduma mb


DSTV imekuwepo hata kabla ya hao AZAM na itaendelea kuwepo!
 
Ukianzisha Uzi bila Kumtaja mwenye Nyota yake Kali Kimvuto ya Kiuwasilishaji GENTAMYCINE ili nae aweke Baraka zake kamwe hauwezi Kuchangamkiwa Kuchangiwa na JamiiForums Members.

Asante sana na mno Mwenyezi Mungu kwa kunifanya niwe "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nilivyo.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] una comment ukiwa wapi mkuu
 
Malalmiko-fc.com
 
Siku azam akipata mshindani kwenye kuonesha mpira kwenye ligi ya Tanganyika basi kifo chake kitakua kimefika rasmi, huo mpira wenyewe hua wanajitahidi kidogo kuonesha vizuri kwenye uwanja wa taifa lakini huko kwingine ni upuuzi tuu, hata startimes ni king'amuzi bora kuliko azam, DStv hana mpinzani kabisa huku chini ya jangwa
 

Lazima nikutaje ili ndugu zako wa Butiama wajue upo!
 
Channel gani hy ya Azam wanakatisha matangazo na kuweka kipindi kingine.?

NB: Usije kuzungumzia kukatisha kipindi ili kipindi cha live kiende hewani.
Kuna siku naangalia mahojiano na captain wangu Bakari Nondo ghfla wakakata kikaingia kipindi cha jamaa mmoja anazunguka mitaa ya Zenji anawahoji hakikua live ni recorded na sio hicho tu kuna siku wanamuhoji Lyanga, Zimbwe na Sureboy na kipindi hakiishi wanaingiza jambo lingine. Au sometimes kwenye information wanaweza kwa sasa ni makala ya michezo unakaa unatulia uangalie lakini kinachokuja kuoneshwa ni tofauti kabisa
 
Nakupenda bure 😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…