Wabongo tuache unafiki wa kumkandia DSTV na Kumpa sifa AZAM wakati huohuo hao AZAM huko majumbani kwetu tunabaki kuwalaumu na kulalamika kwa huduma mb

Wabongo tuache unafiki wa kumkandia DSTV na Kumpa sifa AZAM wakati huohuo hao AZAM huko majumbani kwetu tunabaki kuwalaumu na kulalamika kwa huduma mb

Mie nina maDish yote nilianza na Star Times nikaja DSTV na sasa nimeongeza la Azam ni zaidi ya Miezi 8 tokea ninunue Azam...Kiufupi Azam ameua biashara ya ving'amuzi vingine TZ.... DsTV wananipigia simu mara kwa mara kuhusu ofa zao na eti nikilipia kabla ya tarehe fulan nitapewa ofa ya juu....Kiukweli DSTV kwasasa nae anaenda kufa kibudu km walivokufa wenziwe Continental,Zuku, Startimes nk....Azam kwasasa hakamatiki

Kuna wakati nilikua nalipia vingamuz vyote DSTV na Azam lakin niliacha baada ya kuona no one is interested na DSTV...
Azam ameangalia soko la ndani na ndo hilo ambalo ata ukirudi saa 6 home utamkuta Beki 3 katulia kwenye tamthlia anazopenda kwenye Azam...

Nimeona kuna members km wawili wanasema Azam ana Udini dah kuna watu wanachuki aisee... Fatilia Channel ngap za ukikristo na ngap za uislam...

NB: Hakuna aja ya kuharibiana biashara kwa chuki cha msingi tumia ukipendacho..

Mtu una uwezo wa Germany cars kwann uhangaike na Japan cars????
 
....Kiukweli DSTV kwasasa nae anaenda kufa kibudu km walivokufa wenziwe Continental,Zuku, Startimes
Hapa ndio umeonesha 'ujinga' wako ni wa kiwango gani. Unajua DSTV yuko nchi ngapi Africa? Hiyo takataka inaangaliwa huko Tandale na Mbagala imuue DSTV!!!!. Siku nyingine jaribu kuficha ujinga wako BINARY NO
 
....Kuna wakati nilikua nalipia vingamuz vyote DSTV na Azam lakin niliacha baada ya kuona no one is interested na DSTV...
Azam ameangalia soko la ndani na ndo hilo ambalo ata ukirudi saa 6 home utamkuta Beki 3 katulia kwenye tamthlia anazopenda kwenye Azam...
"No one is interested na DSTV" Kwanza tungeanzia hapa, hivi wewe bumunda unaishi wapi? Yaani kipimo chako cha ubora wa king'amuzi ni house girl kuangalia tamthilia!!! Elimu, Elimu, Elimu.
 
Kuna kipind nimelipia DSTV family wakajichanganya wakanipa premium ,aisee premium ina balaa kitu HD kira chanel iko vizur unabak umeduwaa na remote mkononi ukihamisha huku balaa kwingine balaa .
Nauliza kwenye dstv mbona quality ya free chanel ni ndogo ? Na sijalipiaa mda
 
Salamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!



Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!

Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!

Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.

Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.

King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.


DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.

Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
DSTV kwa ajili ya EPL,Azam Media kwa ajili ya NBC League,so unacho kipata DSTV Azam hukipati hivyo kwa Azam.
 
Back
Top Bottom