Wabongo tuache unafiki wa kumkandia DSTV na Kumpa sifa AZAM wakati huohuo hao AZAM huko majumbani kwetu tunabaki kuwalaumu na kulalamika kwa huduma mb

Wabongo tuache unafiki wa kumkandia DSTV na Kumpa sifa AZAM wakati huohuo hao AZAM huko majumbani kwetu tunabaki kuwalaumu na kulalamika kwa huduma mb

Mimi ni mteja wa AZAM, lkn niliwahi kuwa Mteja wa DSTV siku za nyuma.

Haina UBISHI kama Huna pesa AZAM ndo Kimbilio na mtego mkubwa kwa sasa ni NBC PREMIER LEAGUE.

DSTV hawa ni INTERNATIONAL ni dhambi kubwa mno kufananisha DSTV na AZAM Level ya AZAM ni kuishindanisha na STARTIMES ambayo hiko HOOOOOOOIIII
 
Salamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!



Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!

Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!

Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.

Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.

King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.


DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.

Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
DSTV is the best
 
Salamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!



Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!

Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!

Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.

Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.

King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.


DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.

Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
Huna lolote zaidi ya udini,kila bidhaa na mteja wake hakuna anayelazimishwa kipi anunue
 
Azam tv ukitoa ligi ya CCM/Simba na Yanga na MAIGIZO unabaki na nini!
 
Nyamuswa ipo Bunda sio Butiama ukiondoa mpira DStv hawana contents za Kuvutia tulishhakuwa huko kote DStv na Azam. Ukiondoa channels michezo ambazo ni ubora wa picha ni hd nyingi ni SD au mp4 ambazo zimeanzia kupitwa na wakati. Azam ni nzuri kuangalia na familia kwa sababu wanadhibiti maudhui yasiyofaa.

Njoo Bein Sports huku kuna hd,uhd/4k
 
Nyamuswa ipo Bunda sio Butiama ukiondoa mpira DStv hawana contents za Kuvutia tulishhakuwa huko kote DStv na Azam. Ukiondoa channels michezo ambazo ni ubora wa picha ni hd nyingi ni SD au mp4 ambazo zimeanzia kupitwa na wakati. Azam ni nzuri kuangalia na familia kwa sababu wanadhibiti maudhui yasiyofaa.

Njoo Bein Sports huku kuna hd,uhd/4k

Mkuu unaijua DSTV kweli au unasimuliwaga?,yaani DSTV siyo HD,4K?

Hata ukuondoa Mpira bado DSTV anabaki the best kwasababu kuna Channel za kutosha na nzuri,hao Azam ukiondoa NBC inabaki nini?

Hao bein wenyewe ni michezo tu hawana cha maana!

Mkuu unaijua DSTV PREMIUM? au unaisikiaga tu?
 
Mkuu unaijua DSTV kweli au unasimuliwaga?,yaani DSTV siyo HD,4K?

Hata ukuondoa Mpira bado DSTV anabaki the best kwasababu kuna Channel za kutosha na nzuri,hao Azam ukiondoa NBC inabaki nini?

Hao bein wenyewe ni michezo tu hawana cha maana!

Mkuu unaijua DSTV PREMIUM? au unaisikiaga tu?
DStv hawana channel ya uhd/4k wana HD peke yake na ni chache. Nyingi ni SD

Nafahamu packages na pay tv nyingi za nje na ndani. Nyingi nimeshazitumia, beIN sports uwe unaangalia moja kwa moja toka Satellites zao wanazorushia (7w/8w/25w) ndio utaona ubora wao sio hizo za kwenye cable TV.
 
Wewe ni Gentamycin, lugha yako inajidhihurisha.

Kwa mfano, unapenda kuchanganya herufi kubwa na ndogo kwa maneno ya kawaida. Nilishakuonya wewe kama wewe kwa sababu huwa unajinasibu ulisoma Mass Communication chuo bora SAUT!
 
Salamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!



Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!

Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!

Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.

Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.

King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.


DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.

Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
KUMBE KUNA 'WAJINGA' WANAWEZA KULINGANISHA DSTV NA UPUUZI HUU WA AZAM?
HII NCHI UHURU UMEZIDI SANA.
 
Back
Top Bottom