BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
DSTV is the bestSalamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!
Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!
Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!
Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.
Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.
King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.
DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.
Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
Azam ana channel kama zote za ukirsto, tena FTAMalalamiko ya Azam ni udini, wengi wanalaumu kugemea udini wakati hawajasajiliwa kama kituo cha dini.
Nimelipia Azam kifurushi cha 25,000 channel za watoto hazifungukiTatizo la dstv wanaondoa channel nzuri na muhimu sometimes wanakera
Huna lolote zaidi ya udini,kila bidhaa na mteja wake hakuna anayelazimishwa kipi anunueSalamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!
Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!
Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!
Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.
Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.
King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.
DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.
Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
Hurray DSTV
Ndio vijana wetu haoMnabishana kuangalia tv
Asante, Ubarikiwe na tuko pamoja.Nakupenda bure 😊
Nyamuswa ipo Bunda sio Butiama ukiondoa mpira DStv hawana contents za Kuvutia tulishhakuwa huko kote DStv na Azam. Ukiondoa channels michezo ambazo ni ubora wa picha ni hd nyingi ni SD au mp4 ambazo zimeanzia kupitwa na wakati. Azam ni nzuri kuangalia na familia kwa sababu wanadhibiti maudhui yasiyofaa.
Njoo Bein Sports huku kuna hd,uhd/4k
DStv hawana channel ya uhd/4k wana HD peke yake na ni chache. Nyingi ni SDMkuu unaijua DSTV kweli au unasimuliwaga?,yaani DSTV siyo HD,4K?
Hata ukuondoa Mpira bado DSTV anabaki the best kwasababu kuna Channel za kutosha na nzuri,hao Azam ukiondoa NBC inabaki nini?
Hao bein wenyewe ni michezo tu hawana cha maana!
Mkuu unaijua DSTV PREMIUM? au unaisikiaga tu?
KUMBE KUNA 'WAJINGA' WANAWEZA KULINGANISHA DSTV NA UPUUZI HUU WA AZAM?Salamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!
Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!
Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!
Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.
Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.
King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.
DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.
Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV