Wabongo tuko nyuma sana kwenye Customer Services, kibaya Hatuko serious na Kazi kabisa. Acha Wakenya wachukue nafasi zetu

Wabongo tuko nyuma sana kwenye Customer Services, kibaya Hatuko serious na Kazi kabisa. Acha Wakenya wachukue nafasi zetu

the power

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
407
Reaction score
799
Basi leo mchana saa nane nikasema niende nikapate msosi kwenye hoteli moja kubwa na mpya hapa jiji la masamaki. Naingia tu nakutana na wahudumu wanne wamekaa, mteja alikuwa mmoja. Mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo:

Mimi: "Chakula kiko tayari?"
Muhudumu: "Sijajua ngoja nikaulizie kama kiko tayari"
Mimi: "Je leo kuna chakula gani:
Mhudumu: Ngoja nikaulize leo kuna nini?"
Mimi: "Sasa mbona ni saa nane mchana, kweli mmekaa hapa hamjaulizia kama kiko tayari na wamepika nini? Si mumeingia asubuhi nyinyi? Saa moja mpaka saa nane mhudumu hujui kinapikwa nini na saa ngapi kitakuwa tayari?"
Mhudumu: ndio tulikuwa tunajiandaa kuulizia, ila tulikuwa tunajua vifungua kinywa vya asubuhui
Mimi: Mh?

Hiyo hoteli ni mpya, ina karibu miezi mitatu tu na ilipofunguliwa ilikuwa inajaza hupati nafasi. Sasa nikajaribu kwenda kunawa hakuna maji mabomba yote, chooni nilipojaribu kuflash, kavu, nikatumia ndoo, ilibidi nitoke ndani nikae viti vya nje feni zote zimezimwa. Mbaya zaidi nimekaa zaidi ya dakika 15 nikisubiria chenji yangu na mhudumu hakuomba hata samahani. Kibaya zaidi quality ya chakula ni shida tupu, unakula kama makapi, hakuna tena taste food ya zamani.

Nikafikiria inawezekana boss hajui kinachoendelea hapa, Wahudumu hawako serious kabisa, wapishi hao ndio usiseme, msimamizi yeye yuko kama boya.

Ndio maana narudia kusema biashara nyingi hapa Bongo zinakufa kwa sababu ya wahudumu, wauzaji, waandaaji na wasimamizi. Ndio maana mabosi wengi hasa wa baa lazima wawepo asuhuhi, mchana na usiku. Usishangae pia pale unapokuta baa /hoteli kubwa wanaajiri wakenya, waganda, hao jamaa wana uzoefu na uvivu na kutokuwa serious kwa watu wetu.

Hivi nini kifanyike kutibu maradhi chronic haya?
 
Basi leo mchana saa nane nikasema niende nikapate msosi kwenye hoteli moja kubwa na mpya hapa jiji la masamaki. Naingia tu nakutana na wahudumu wanne wamekaa, mteja alikuwa mmoja. Mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo:

Mimi: "chakula kiko tayari?"
Muhudumu: "Sijajua ngoja nikaulizie kama kiko tayari"
Mimi: "Je leo kuna chakula gani:
Mhudumu:Ngoja nikaulize leo kuna nini?"
Mimi: "Sasa mbona ni saa nane mchana ,kweli mmekaa hapa hamjaulizia kama kiko tayari na wamepika nini? si mumeingia asubuhi nyinyi? saa moja mpaka saa nane muhudumu hujui kinapikwa nini na saa ngapi kitakuwa tayari?"
Mhudumu: ndio tulikuwa tunajiandaa kuulizia, ila tulikuwa tunajua vifungua kinywa vya asubuhui
Mimi: Mh?

Hiyo hoteli ni mpya , ina karibu miezi mitatu tu na ilipofunguliwa ilikuwa inajaza hupati nafasi. Sasa nikajaribu kwenda kunawa hakuna maji mabomba yote, chooni nilipojaribu kufrush, kavu , nikatumia ndoo, ilibidi nitoke ndani nikae viti vya nje feni zote zimezimwa. Mbaya zaidi nimekaa zaidi ya dakika 15 nikisubilia chenji yangu na muhudumu hakuomba hata samahani. Kibaya zaidi quality ya chakula ni shida tupu, unakula kama makapi, hakuna tena taste food ya zamani.

Nikafikilia inawezekana boss hajui kinachoendelea. hapa, Wahudumu hawako serious kabisa, wapishi hao ndio husiseme, msimamizi yeye yuko kama boya.

Ndio maana narudia kusema biashara nyingi hapa Bongo zinakufa kwa sababu ya wahudumu, wauzaji, waandaaji na wasimamizi. Ndio maana mabosi wengi hasa wa baa lazima wawepo asuhuhi , mchana na usiku. Husishangae pia pale unapokuta baa /hoteli kubwa wanaajili wakenya, waganda, hao jamaa wanauzoefu na uvivu na kutokuwa serious kwa watu wetu.

Hivi nini kifanayike kutibu maradhi chronic haya?
Shida kuajiri wahudumu wa bei nafuu,mtu kazalishwa na kukimbiwa,anamsongo wa mawazo kibao!
 
Basi leo mchana saa nane nikasema niende nikapate msosi kwenye hoteli moja kubwa na mpya hapa jiji la masamaki. Naingia tu nakutana na wahudumu wanne wamekaa, mteja alikuwa mmoja. Mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo:

Mimi: "chakula kiko tayari?"
Muhudumu: "Sijajua ngoja nikaulizie kama kiko tayari"
Mimi: "Je leo kuna chakula gani:
Mhudumu:Ngoja nikaulize leo kuna nini?"
Mimi: "Sasa mbona ni saa nane mchana ,kweli mmekaa hapa hamjaulizia kama kiko tayari na wamepika nini? si mumeingia asubuhi nyinyi? saa moja mpaka saa nane muhudumu hujui kinapikwa nini na saa ngapi kitakuwa tayari?"
Mhudumu: ndio tulikuwa tunajiandaa kuulizia, ila tulikuwa tunajua vifungua kinywa vya asubuhui
Mimi: Mh?

Hiyo hoteli ni mpya , ina karibu miezi mitatu tu na ilipofunguliwa ilikuwa inajaza hupati nafasi. Sasa nikajaribu kwenda kunawa hakuna maji mabomba yote, chooni nilipojaribu kufrush, kavu , nikatumia ndoo, ilibidi nitoke ndani nikae viti vya nje feni zote zimezimwa. Mbaya zaidi nimekaa zaidi ya dakika 15 nikisubilia chenji yangu na muhudumu hakuomba hata samahani. Kibaya zaidi quality ya chakula ni shida tupu, unakula kama makapi, hakuna tena taste food ya zamani.

Nikafikilia inawezekana boss hajui kinachoendelea. hapa, Wahudumu hawako serious kabisa, wapishi hao ndio husiseme, msimamizi yeye yuko kama boya.

Ndio maana narudia kusema biashara nyingi hapa Bongo zinakufa kwa sababu ya wahudumu, wauzaji, waandaaji na wasimamizi. Ndio maana mabosi wengi hasa wa baa lazima wawepo asuhuhi , mchana na usiku. Husishangae pia pale unapokuta baa /hoteli kubwa wanaajili wakenya, waganda, hao jamaa wanauzoefu na uvivu na kutokuwa serious kwa watu wetu.

Hivi nini kifanayike kutibu maradhi chronic haya?
Sio tuko nyuma Bali hakuna tunachokijua.
 
Basi leo mchana saa nane nikasema niende nikapate msosi kwenye hoteli moja kubwa na mpya hapa jiji la masamaki. Naingia tu nakutana na wahudumu wanne wamekaa, mteja alikuwa mmoja. Mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo:

Mimi: "chakula kiko tayari?"
Muhudumu: "Sijajua ngoja nikaulizie kama kiko tayari"
Mimi: "Je leo kuna chakula gani:
Mhudumu:Ngoja nikaulize leo kuna nini?"
Mimi: "Sasa mbona ni saa nane mchana ,kweli mmekaa hapa hamjaulizia kama kiko tayari na wamepika nini? si mumeingia asubuhi nyinyi? saa moja mpaka saa nane muhudumu hujui kinapikwa nini na saa ngapi kitakuwa tayari?"
Mhudumu: ndio tulikuwa tunajiandaa kuulizia, ila tulikuwa tunajua vifungua kinywa vya asubuhui
Mimi: Mh?

Hiyo hoteli ni mpya , ina karibu miezi mitatu tu na ilipofunguliwa ilikuwa inajaza hupati nafasi. Sasa nikajaribu kwenda kunawa hakuna maji mabomba yote, chooni nilipojaribu kufrush, kavu , nikatumia ndoo, ilibidi nitoke ndani nikae viti vya nje feni zote zimezimwa. Mbaya zaidi nimekaa zaidi ya dakika 15 nikisubilia chenji yangu na muhudumu hakuomba hata samahani. Kibaya zaidi quality ya chakula ni shida tupu, unakula kama makapi, hakuna tena taste food ya zamani.

Nikafikilia inawezekana boss hajui kinachoendelea. hapa, Wahudumu hawako serious kabisa, wapishi hao ndio husiseme, msimamizi yeye yuko kama boya.

Ndio maana narudia kusema biashara nyingi hapa Bongo zinakufa kwa sababu ya wahudumu, wauzaji, waandaaji na wasimamizi. Ndio maana mabosi wengi hasa wa baa lazima wawepo asuhuhi , mchana na usiku. Husishangae pia pale unapokuta baa /hoteli kubwa wanaajili wakenya, waganda, hao jamaa wanauzoefu na uvivu na kutokuwa serious kwa watu wetu.

Hivi nini kifanayike kutibu maradhi chronic haya?
Huku mtaani hovyo kabisa lakini huko serikalini ndiyo kabisa kumeoza
 
Shida ni tatu tu

1. Cheap labour;
2. Poor remuneration;
3 Poor work ethics ( mmiliki anatembea na wahudumu au wahudumu wanatembea na wateja)
 
Shida ni tatu tu

1. Cheap labour;
2. Poor remuneration;
3 Poor work ethics ( mmiliki anatembea na wahudumu au wahudumu wanatembea na wateja)
Excuse excuse excuse… vyote hivyo unaweza rekebisha kwa training na good management , you set standards anayetoka nje ya mstari anaonywa mara tatu na more training, akishindwa aende tuu
 
Mwekezaji hayupo seriously na biashara yke, ubaya zaid ukute kaajiri ndugu kukutana na mambo kama hayo kawaida
 
Back
Top Bottom