and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Kwenye migahawa kuna wateja huwa ni waxenge sana, unakuta mtu kutoa pesa yake anaionea uchungu kweli kweli, atamsumbua muhudumu hadi sisi wateja wengine tunakereka, unakuta dosari ndogo tu, mtu anaanza kuunguruma, sio migahawa midogo wala mikubwa kuna wateja chenga sana.
Ndugu wale wahudumu mishahara yao ni ipo chini sana, hawana cha kufanya, kuweni wakarimu na muache na tip utaona watakavyokuchangamkia next time ukienda.
Ndugu wale wahudumu mishahara yao ni ipo chini sana, hawana cha kufanya, kuweni wakarimu na muache na tip utaona watakavyokuchangamkia next time ukienda.