Shem km shem ππππHuwa sinywi Spirit,hizo wanakunywa kina Kiranga na wenzie choka mbaya!
Nielewe kuhusu nini tena?Niishie kukueleza kwamba unachokijua ni kusoma tu ila kuelewa bado.
Natumia maji tu kama watu wengine!Shem km shem ππππ
Leo badamu batamwagika hapa, dah!!
Ko shem wewe unatumia nini tajiri?
Nenda Youtube, kuna page inaitwa "Jack wa USA" katazame mambo makubwa anayoyafanya kijana mdogo... Very creative! Kama una akili utajifunza mengi.Hivi ni kweli huko Kwa watasha mnakula vibibi TU au single mothers.
Lakini SI pisi zile Kali .
Thubutuuuuu!! Ulivyochachuka hivi?!!πππNatumia maji tu kama watu wengine!
Waafrika hasa watanzania wana laana.
Bibi leo umeongea pointi nime nukuu..[emoji3578]Hao unaosema wengi wao amekurupuka, mbona kuna wengi sana wanaishi maisha mazuri tu.
Ukitaka kuishi vizuri nchi hizo, wachana kabisa kuwa karibu na wabongo na magenge yasiyo na maana.
Nawashauri wanaokwenda huko, kama hawana mipango thabiti na ya uhakika basi wakaanzie maisha miji midogo midogo ambayo haina wabongo.
Dogo mshamba sana!Alitaka useme beamer wakati mother tunasema maza na maisha yanasonga fresh tuππ€£
Shida ni kwamba nchi Kama Marekani ukiwa na vibali halali, ukakubali kusoma upya ukapata vyeti vyao uhakika wa kutoboa ni mkubwaMaisha ni popote ila kwenye za dunia ya kwanza kuna opportunities nyingi kuliko third world na living standards ni juu kuliko third world, kuna elimu nzuri, huduma nzuri za afya, na za kijamii, malipo ni makubwa kwenye kazi , kama huyo ndugu yako kashindwa itakuwa ni matatizo yake binafsi wengine walevi nakadhalika ila huwezi ukasema bongo ni bora kuliko marekani ki maisha utakuwa unajidanganya
Kama ikiuma unaweza kuchomoa,usipochomoa shauri yako!Wabongo wengi wangapi?
Utafiti upi uliufanya kupata idadi ya wabongo waliofanikiwa na ambao hawaja fanikiwa kwenye hizo nchi?
Au ni perception zako tu?
Isitoshe hata passport huna.
Kaa bongo ukamuliwe tozo.
Exactly wewe ulipwe dola 20 kwa saa unashindwaje kutoboa kweliShida ni kwamba nchi Kama Marekani ukiwa na vibali halali, ukakubali kusoma upya ukapata vyeti vyao uhakika wa kutoboa ni mkubwa
Watanzania bado hamjaacha mtindo wa kuishi kwa kuchunguza maisha ya watu tu?