TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
-
- #381
Kijana tafuta hela familia yako iende chooni,Achana na mlala hoi mzee wa Vyuma chakavu(Mikweche)!.Achana huyo lofa hiyo ndio mitanzania Ina dharau Kwa kuwa inamiliki mikweche ya kijapan ni kiwanja cha miguu kumi Kwa kumi Kigamboni au Namtumbo
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
ππππ mikwecheeee!!!Kiranga ana hasira sana kwasababu anamiliki gereji ya Mikweche(Migari mibovu)!
ππππ TUKANA UONE shemeji unaitwa huku na raisi wa KoreaAchana huyo lofa hiyo ndio mitanzania Ina dharau Kwa kuwa inamiliki mikweche ya kijapan ni kiwanja cha miguu kumi Kwa kumi Kigamboni au Namtumbo
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Huyo keshakula Matembele na dagaa ameshiba kazi yake ni kukenua meno yake mabovu kama Bisi huku akipiga hesabu za kugombania usafiri kutoka Mbagala to K'koo kwenda kupambana na Uwinga!ππππ TUKANA UONE shemeji unaitwa huku na raisi wa Korea
Eti kiwanja chako miguu kumi kwa kumi afu kipo kibada πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Kafeel-we hukoHuyo keshakula Matembele na dagaa ameshiba kazi yake ni kukenua meno yake mabovu kama Bisi huku akipiga hesabu za kugombania usafiri kutoka Mbagala to K'koo kwenda kupambana na Uwinga!
Aaah!! Boss vipi tena? Me na wewe ndugu ujue! Si shemeji yangu wewe kwa coca au umesahau?? Na ticket tunasubiri za NYC tuje kushangaa uko!!!Unataka na wewe nikuunganishe huko ignore list?
Wewe huwa una feel wa huko?
ππππ shemeji inatoosha kalaleKijana tafuta hela familia yako iende chooni,Achana na mlala hoi mzee wa Vyuma chakavu(Mikweche)!.
Mwenzio maisha yakimshinda atabeba box,sasa wewe maisha ya hapo Mbagala yakikushinda utaenda wapi?
Mkuu karibu Home Ground nikupe ofa ya Hennesy ili mikunjo usoni ikutoke!Kwani aliekwambia kwenda Marekani ndio kufanikiwa ni nani?...
Wacha kukariri Maisha ....tafsiri ya Mafanikio ni tofauti kwa Kila Binaadam
Kwann mawinga lkn shem πππHuyo keshakula Matembele na dagaa ameshiba kazi yake ni kukenua meno yake mabovu kama Bisi huku akipiga hesabu za kugombania usafiri kutoka Mbagala to K'koo kwenda kupambana na Uwinga!
Mshkaji wako amesoma? Ana makaratasi?Mkuu kuna mmoja juzi katoka Marekani ni mshikaji wetu kitaani yaani jamaa kachoka utadhani alikuwa gerezani,Amefika kuona nina drive Bima(BMW) anabaki kunishangaa na kunipa masifa kibao!
hiki ndo kimefanya nimeandika uzi!
Ana Green Card mkuu ila ni choka mbayaMshkaji wako amesoma? Ana makaratasi?
Sawa
ππππ we lete tucheke kijiwe kichangamke!! Me kwenye hekaheka km hizi had skendo yangu mwenyewe nakazia!!!Na wewe nina koneksheni yako nimetumiwa pm jiandae π