Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Achana huyo lofa hiyo ndio mitanzania Ina dharau Kwa kuwa inamiliki mikweche ya kijapan ni kiwanja cha miguu kumi Kwa kumi Kigamboni au Namtumbo

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Kijana tafuta hela familia yako iende chooni,Achana na mlala hoi mzee wa Vyuma chakavu(Mikweche)!.

Mwenzio maisha yakimshinda atabeba box,sasa wewe maisha ya hapo Mbagala yakikushinda utaenda wapi?
 
Kiranga ana hasira sana kwasababu anamiliki gereji ya Mikweche(Migari mibovu)!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mikwecheeee!!!
Shem mbona kiranga kasema wewe unamiliki BMW namba A la 1998 afu ulichukua likiwa limetembea km 300,000
 
Achana huyo lofa hiyo ndio mitanzania Ina dharau Kwa kuwa inamiliki mikweche ya kijapan ni kiwanja cha miguu kumi Kwa kumi Kigamboni au Namtumbo

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ TUKANA UONE shemeji unaitwa huku na raisi wa Korea
Eti kiwanja chako miguu kumi kwa kumi afu kipo kibada πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Huyo keshakula Matembele na dagaa ameshiba kazi yake ni kukenua meno yake mabovu kama Bisi huku akipiga hesabu za kugombania usafiri kutoka Mbagala to K'koo kwenda kupambana na Uwinga!
 
Unataka na wewe nikuunganishe huko ignore list?
Aaah!! Boss vipi tena? Me na wewe ndugu ujue! Si shemeji yangu wewe kwa coca au umesahau?? Na ticket tunasubiri za NYC tuje kushangaa uko!!!
Sasa ignore list inakujaje tajiri??
Kwanza lile deal letu la yule taicon wa mafuta wa falme za uarabuni hatujamaliza, hiyo ignore list vipi??
Basi achana naye tukana kaendelee na mipango yetu boss 😘😘😘
 
Kwani aliekwambia kwenda Marekani ndio kufanikiwa ni nani?...

Wacha kukariri Maisha ....tafsiri ya Mafanikio ni tofauti kwa Kila Binaadam
 
Kijana tafuta hela familia yako iende chooni,Achana na mlala hoi mzee wa Vyuma chakavu(Mikweche)!.

Mwenzio maisha yakimshinda atabeba box,sasa wewe maisha ya hapo Mbagala yakikushinda utaenda wapi?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ shemeji inatoosha kalale
Sisy Joannah mchukue shem akapumzike tushakubali nyie matajiri jf nzima πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Kwani aliekwambia kwenda Marekani ndio kufanikiwa ni nani?...

Wacha kukariri Maisha ....tafsiri ya Mafanikio ni tofauti kwa Kila Binaadam
Mkuu karibu Home Ground nikupe ofa ya Hennesy ili mikunjo usoni ikutoke!
 
Huyo keshakula Matembele na dagaa ameshiba kazi yake ni kukenua meno yake mabovu kama Bisi huku akipiga hesabu za kugombania usafiri kutoka Mbagala to K'koo kwenda kupambana na Uwinga!
Kwann mawinga lkn shem πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…