Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wayu wanazunguka sana, kafungua uzi lengo lake awatangazie watu kuwa anamiliki BimmerπŸ˜ƒ
Nimeamua kuacha kumjibu sababu he is a desperate , incoherent racketeer playing into ephemeral populism.

Premise ya mada yake ilisema wabongo wa US , CA na UK ni choka mbaya .

Nimempa takwimu ya remittance kahama kasema ni takwimu uchwara akageukia kwenye certificates, sasa mtu kama huyu unaona yuko sawasawa upstairs kweli?

Anasema watu hawarudi kwao anataka kila diaspora humu aonyeshe entry & exit stamps ?

Hakuna popote alipoweka evidence ya rate ya watu na umasikini wao , wala idadi ya watu wanaorudi wala kutoka na ajabu tu ni mtu analinganisha status ya kimaisha ya mtu wa US na TZ kwa kuendesha BWM ! absolutely pathetic

He is just a muttonhead wannabe .
 
Ju
mandinga gani tena mtoa mada kashasema anasukuma bimmer la mtumba mpaka wa marekani wanaona wivu
Juz kuna jamaa yangu wa marekani kanitembelea kakuta nasukuma discover 6 ya 2015 aisee alipagawa sana

So wanaoishi mbele mjitahiti kuwa na vitu vya maana
 
mandinga gani tena mtoa mada kashasema anasukuma bimmer la mtumba mpaka wa marekani wanaona wivu
Huyo ni mtoa mada sio mimi.
Kuna mtu kasema sijawahi fika hata Kenya ndo naongea naeπŸ€£πŸ˜‚
 
Marekani ukiwa na Gereji ya Magari bila shaka wewe utakuwa Makenika,unaenda kuzoa majararani magari mabovu yaliyotupwa unakuja kuyaripea unauza ili upate chochote!.


Aisee kama hiyo ndiyo kazi inayokuweka huko basi bado unasafari ndefu ya mafanikio
Wewe hata hujui maana ya gereji kwa muktadha wa Marekani.

Nikiongea nawe huwezi kunielewa, ni kama naongea nawe Kigiriki cha kale.
 
Shem mimi si Tajiri,mimi ni mtu mwenye maisha ya kawaida kama watu wengine!

Utofauti wangu na Kiranga ni kwamba,mimi namiliki nyumba ila yeye amepanga!
Shemeji kibongo land we tajiri imagine unaishi jumba la 280millions??!! Wenzio tumepanga tandale kwa tumbo na bado tunatoka saa 9 usiku ili kumkwepa faza house kodi yake ya nyumba!!! Fanya mchezo nini?!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

We tajiri bhana sema Kiranga aje atujibu NYC anakaa nyumba ya dollar ngapi tu compare hapa tuone km anafikia utajiri wako πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Shemeji kibongo land we tajiri imagine unaishi jumba la 280millions??!! Wenzio tumepanga tandale kwa tumbo na bado tunatoka saa 9 usiku ili kumkwepa faza house kodi yake ya nyumba!!! Fanya mchezo nini?!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

We tajiri bhana sema Kiranga aje atujibu NYC anakaa nyumba ya dollar ngapi tu compare hapa tuone km anafikia utajiri wako πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Ndio hapo me ninaposhangaa!!
Me najua shemeji yangu mtu mzito uko NYC
Sasa shemeji yangu mwingine TUKANA UONE naye anasema we choka mbaya!!!
Hebu muelezee vizuri ule utajiri wako uliokuwa nao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Afu kasema mpk leo unazurula hata green card huna unaishi kimagumashi 😜
Hawa watu wana matatizo sana.

Just for the sake of argument, hata nikiwa choka mbaya kweli, naishi maisha yangu, sijamuomba mtu kitu, yeye kinamuuma nini kama si umbea tu?

Hawa watu wana nyege tu wamepigika na umeme wa mgao wanatumalizia hasira zao sisi huku.
 
Ewaaaaaah!umegundua Hilo?tatizo lao wanamakasiriko sana🀣🀣
Dada una jeuri ss hivi hata Samvula chole hutaki kuja eti wewe ushavuka level za kucheza vanga kweli??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkoleni umesusa kuja kufunda wali kisa umempata tajiri TUKANA UONE na nasikia shem anataka kuinunua Simba ashindane na GSM πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Shemeji kibongo land we tajiri imagine unaishi jumba la 280millions??!! Wenzio tumepanga tandale kwa tumbo na bado tunatoka saa 9 usiku ili kumkwepa faza house kodi yake ya nyumba!!! Fanya mchezo nini?!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

We tajiri bhana sema Kiranga aje atujibu NYC anakaa nyumba ya dollar ngapi tu compare hapa tuone km anafikia utajiri wako πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Kumiliki nyumba ni mipango tu,mimi sikutaka kufanyia starehe pesa niliyopata nikaamua nijenge nyumba ili niishi kwa raha na mustarehe!
 
Ila kuna KENGE za jamii forum zinavunga zina life ila ulikutana nazo unaweza cheka mpaka ukazimia [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ,
Hizi ID fake zinaficha mengi sana
Hongera mkuu kwa kukutana na Kenge,mie na umri wangu huu sijawahi ona Kenge huwezi amini!
 
Hawa watu wana matatizo sana.

Just for the sake of argument, hata nikiwa choka mbaya kweli, naishi maisha yangu, sijamuomba mtu kitu, yeye kinamuuma nini kama si umbeya tu?

Hawa watu wana nyege tu wamepigika na umeme wa mgao wanatumalizia hasira zao sisi huku.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ TUKANA UONE shemeji eti una nyege ya mgao wa Tanesco sababu unauza barafu biashara imesimama πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Uko sawa kabisa. Mimi nimeishi Washington DC kwa muda wa miezi sita kama mwanafunzi kwa kweli maisha ya Marekani ni magumu sana. Ni vigumu kuweka akiba. Tunasema ni Hand to mouth. Hakuna cha bure. Mshahara wako unaoupokea unakwisha wote mwisho wa mwezi. Wenzetu wa Ubalozini kwetu ni watu ambao hawawezi kukukaribisha kwake kutokana na ugumu wa maisha. Kuna bar moja ya mtu wa Kenya inayoitwa Kilimanjaro ndo mara chache sana mnakutana na waafrika wenzako. Ndugu yangu ogopa kwenda Marekani kama Ukoma kule siyo mahala pa kwenda hata kama unapata $8,000 kwa mwezi. Hakuna rafiki. Rafiki yako ni pesa yako na passport yako.

ACHA UONGO
 
Back
Top Bottom