Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Mkuu kuna mmoja juzi katoka Marekani ni mshikaji wetu kitaani yaani jamaa kachoka utadhani alikuwa gerezani,Amefika kuona nina drive Bima(BMW) anabaki kunishangaa na kunipa masifa kibao!

hiki ndo kimefanya nimeandika uzi!
Juzi hivi niliiiona post yako ukitafuta IST iliyotumika ya kukodi ili iwe inakurahisishia usafiri wa home kwenda job. Mara hii una BMW Mkuu? Au ndio tuseme cocoa imezidi kwenye chai?😂
 

Tumia muda kujielimisha wewe ngumbaru unayefikiri humu ndani kila mtu ni mjinga kama wewe.

Nimekuwekea hapo article usome na sina hakika kama hata utaelewa, maana kama bimmer yenyewe unaita bima

Just a quack in the making.
Watu wanazunguka sana, kafungua uzi lengo lake awatangazie watu kuwa anamiliki Bimmer😃
 
Acha dharau utafanya nifanye mambo ya ajabu hapa mkuu🤣😂😂.

We si unq dharau?!!Onyesha gari unaendea kubeba box then nikuoneshe machine zilizopaki kwa parking lot yangu iliyoko Buza😂🤣🤣.
Iam sure unaendesha kigari cha kike,mwenzio niko kwa mama Samia nasukuma tough machinez za kiume🤣😂.
Onyesha kigari chako uone magari dherue zikuishe😂🤣🤣
Hakujui km wewe raisi wa Buza, kwa lulenge mpk kwa mparange kote umejaza yard ndinga zimepaki za kushato 😂😂😂
 
Tena alikuwa analaani na kujilaumu kwa kuendelea kupoteza muda Marekani wakati huo wana tunaendelea ku-roll na Mandinga Makali!
sio kweli au huyo jamaa atakuwa alikuwa akiishi na student visa 30 kama lemutuz so sio rahisi kutoboa, lakini ukiwa na green card basi uvivu wako tuu ndo utakufelisha
 
Acha dharau utafanya nifanye mambo ya ajabu hapa mkuu[emoji1787][emoji23][emoji23].

We si unq dharau?!!Onyesha gari unaendea kubeba box then nikuoneshe machine zilizopaki kwa parking lot yangu iliyoko Buza[emoji23][emoji1787][emoji1787].
Iam sure unaendesha kigari cha kike,mwenzio niko kwa mama Samia nasukuma tough machinez za kiume[emoji1787][emoji23].
Onyesha kigari chako uone magari dherue zikuishe[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Heheheeee kivumbi leo!
 
Sidhani kaka una akili timamu!

Hivi unadhani Marekani sijawahi kuishi?,Utamdanganya nani hizo anazomiliki ni Garage?,Yaani aokote magari chakavu yaliyotupwa dampo halafu Uite gereji?

Mwambie apige picha awake hapa kama kweli ni gereji?
Garage Marekani ni sehemu mtu anahifadhi ndinga zake na vifaa nyumbani kwake .
Garage si lazima iwe gereji hizi za kwenda kufanya repair za kitaa huku Bongo .
Ninaweza kujenga mjengo wangu halafu nikaweka section ya jengo humo ndinga zangu zinapark na kuhifadhi vifaa vingine ,hiyo ndio garage aliyomaanisha Kiranga nadhani .
Na ndio muktadha ambao wamarekani wengi wanatumia mara kwa mara .
 
Juzi hivi niliiiona post yako ukitafuta IST iliyotumika ya kukodi ili iwe inakurahisishia usafiri wa home kwenda job. Mara hii una BMW Mkuu? Au ndio tuseme cocoa imezidi kwenye chai?😂
Mkuu IST nipeleke wapi?,Hizo ni gari zenu nyie mnaotoka vyuoni lakini kina sie tunaopenda kufanya utalii wa ndani,hizo hazinifai!.

Labda siku Joannah Akinikubali nitamnunulia awe anafanyia yake mizunguko mjini
 
Hizo hela ukiombwa unazo?

Bora hata ungekuwa nazo,kula yenyewe nikwa bajeti,kuvaa yenyewe unavaa kizamani kama kina Kanda Bongoman halafu unaleta Blah blah!
Shem hebu nitumie laki hawakujui km wewe pedezee Jack Pemba 😂😂😂😂
 
Dada watumie na ticket hawakujui hawa km wewe ni level nyingine, hawatakiwi kukugusa 😂😂😂
🤣😂😂
Ngoja aonyeshe kwanza motokaa anayotumia kwendea kubeba box halafu watoto wa Samia tumuonyeshe magari😂🤣🤣.

Ila unapenda ugomvi shoste🤣😂😂
 
Acha dharau utafanya nifanye mambo ya ajabu hapa mkuu🤣😂😂.

We si unq dharau?!!Onyesha gari unaendea kubeba box then nikuoneshe machine zilizopaki kwa parking lot yangu iliyoko Buza😂🤣🤣.
Iam sure unaendesha kigari cha kike,mwenzio niko kwa mama Samia nasukuma tough machinez za kiume🤣😂.
Onyesha kigari chako uone magari dherue zikuishe😂🤣🤣
Mkuu akikuonyesha utanitumia namba yako nikutumie laki 2 ya Vocha!
 
Garage Marekani ni sehemu mtu anahifadhi ndinga zake na vifaa nyumbani kwake .
Garage si lazima iwe gereji hizi za kwenda kufanya repair za kitaa huku Bongo .
Ninaweza kujenga mjengo wangu halafu nikaweka section ya jengo humo ndinga zangu zinapark na kuhifadhi vifaa vingine ,hiyo ndio garage aliyomaanisha Kiranga nadhani .
Na ndio muktadha ambao wamarekani wengi wanatumia mara kwa mara .
Mwambie Kiranga anunue gari mpya mkuu aache kuokota okota magari ya majararani,siyo mazuri kwa afya!
 
hivi huyu si ndo alituambiaga humu alimdangia professor akaambukizwa ukimwi na yeye akaja waambukiza watu humu jf, iyo siku kivumbi kiliwaka humu 🤣🤣🤣
😂😂😂😂 we kweli??
Kumbe na ngoma zimo humu?? Nikajua UTI sugu tyuuu!!!
Haya dj mlete sisy Pridah atuambie dawa anaendelea kutumia au kaacha?!!!! 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Back
Top Bottom