DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mimi namiliki vimbaoMkuu mimi namiliki nyumba 1 ya gharama,Nina kiwanja sijakijenga,nina gari 2,nina maisha mazuri!
Haya niambie wewe unamiliki nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi namiliki vimbaoMkuu mimi namiliki nyumba 1 ya gharama,Nina kiwanja sijakijenga,nina gari 2,nina maisha mazuri!
Haya niambie wewe unamiliki nini?
Huyo ni mpuuzi ,Ni vizuri ukaendelea kufatilia Maisha yako maana aliyekuzidi kakuzidi tu Mtu Kama wewe hata Kenya haujafika Sasa unajua Nini wewe mtoto mdogo
Zaidi ya Udokta feki hakuna cha ziada unachomiliki!Mimi namiliki vimbao
Mkuu unadhani namzingatia basi? namshauri apumzike tu, sababu hata ukiangalia chronological order ya nchi anazotaja haimake sense kwa traveller, amefika Gambia lakini zaidi sana ana mpango wa kwenda Ivory Coast mwaka huu [emoji16], kipato chake ni chini ya dollars 400 kwa mwezi (kwa mujibu wa maelezo yake) ila akiugua anaweza kutibiwa Sweden, ana umeme wake wa uhakika, akitaka kusomesha atawasomesha wanae kwa mtaala wa Cambridge, it's ridiculous.Mkuu usiwazingatie mademu wa JF tushawazoea wengi wapo depressed na singo maza wapo buza
Mkuu ambafika UK na ana ndugu zake Germany soma vizuri.Nyie wanawake wa mitandaoni mnapenda attention Sana kwa huu mwandiko wako we sijui Kama umewahi hata kufika kenya
Hizo hela ukiombwa unazo?Wabongo wanapenda kuomba omba hela Sasa ukimnyima Hasira, chuki, wivu anakimbilia mitandaoni kutafuta Huruma Kama mtoa Mada.
Watafutaji lazima wakutane na maisha magumu. Hiyo ni popote, iwe Scandinavia, iwe UK, German or Euarope. Watu wameenda kwa vigezo na status tofauti. Unapaswa kuwaheshimu.Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.
Hiyo ni tabia ya mtu, regardless yupo wapi. Hata hapo Scandinavia kuna watu tangu wameenda ni kama wamepotea lakini they are doing fine na msisha yao.Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.
"Wengi"...ulitaka wote waishi life style ya aina moja?Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.
Lazima utakuwa na uduni kwenye kufikiri. Kwamba watanzania waliopo nchi hizo hakuna walichofanya kwao? You can't be serious, lazima kuna watu utakua na chuki nao waliopo hizo nchi, ila hii style wala haitasaidia kukuondolea maumivu na chuki zako dhidi yao.Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.
Kumbe ugomvi eote chanzo ni kutotolewa out?Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.
Kumbe kuna mtu specific umemlenga ndiyo umekuja kumfungulia Uzi kwa kujumuisha wote?Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.
Kumbe nabishana na mjinga?Ok !,Kwenye hizo Takwimu wewe ulichangia kiasi gani?
Yaani unaleta takwimu za kisiasa kwa watu wenye utimamu wa akili kama mimi unadhani nitakuelewa?
Tuachane na hizo takwimu Uchwara Sorongai wewe!,Wewe kama wewe una nini cha kujivunia Tanzania?
😁😁😁Zaidi ya Udokta feki hakuna cha ziada unachomiliki!
Huko hakuna cha maana unachofanya zaidi ya kila muda kushinda mitandaoni ili angalau upoteze mawazo maana umechakaa kiasi kwamba hata vibibi havikutaki!
Umekula lakini?Watafutaji lazima wakutane na maisha magumu. Hiyo ni popote, iwe Scandinavia, iwe UK, German or Euarope. Watu wameenda kwa vigezo na status tofauti. Unapaswa kuwaheshimu.
Hiyo ni tabia ya mtu, regardless yupo wapi. Hata hapo Scandinavia kuna watu tangu wameenda ni kama wamepotea lakini they are doing fine na msisha yao.
"Wengi"...ulitaka wote waishi life style ya aina moja?
Swali la msingi ni kujiuliza anafanya nini? Kama anafanya hystles zake kihalali unapaswa umheshimu tu. Nchi zenyewe hazifanani kuanzia utoaji visa.
Kuna wanaofanikiwa bongo, kuliko nje
Lazima utakuwa na uduni kwenye kufikiri. Kwamba watanzania waliopo nchi hizo hakuna walichofanya kwao? You can't be serious, lazima kuna watu utakua na chuki nao waliopo hizo nchi, ila hii style wala haitasaidia kukuondolea maumivu na chuki zako dhidi yao.
Kwa akili ya kawaida tu, angalia vijana wengi waliokuja bongo kutoka nje na kuleta exposure kwenye mambo mbalimbali nchini walitokea nchi gani?
Kumbe ugomvi eote chanzo ni kutotolewa out?
Kumbe kuna mtu specific umemlenga ndiyo umekuja kumfungulia Uzi kwa kujumuisha wote?
Ngoja niishie hapa. Maana uzi hauna maana mpaka hapo hakuna maana ya kuendelea kusoma chuki za mtu dhidi ya wenzako.
Hili ndilo tatizo lako na wenzio kama wewe msiokuwa na akili timamu!Kumbe nabishana na mjinga?
Nilileta takwimu ukabisha , nimeweka article hujasoma sababu imekushinda kuelewa unabwatuka tu hapa.
Ngoja niishie hapa.
Wewe si una akili?Kumbe nabishana na mjinga?
Nilileta takwimu ukabisha , nimeweka article hujasoma sababu imekushinda kuelewa unabwatuka tu hapa.
Ngoja niishie hapa.
Bro you have a point but I am willing to risk it. Uwanja wa nyumbani una raha yake. Japokuwa huku ukiwa na profession wako very welcoming. Unaweza ukajiona upo nyumbani. Japo kuna vielement itakumbana mara moja moja kukumbusha where you are from.Ukirudi Bongo na uzoefu wa 5 years unapata kazi kubwa kutokana na exposure yako practically unakuwa upo mazingira tofauti kabisa you will meet people who can not deliver with a lot of excuses.
yani mtu katoka marekani anakuona unaendesha BMW la mtumba akakushangaaa hii ni chai ☕️Mkuu kuna mmoja juzi katoka Marekani ni mshikaji wetu kitaani yaani jamaa kachoka utadhani alikuwa gerezani,Amefika kuona nina drive Bima(BMW) anabaki kunishangaa na kunipa masifa kibao!
hiki ndo kimefanya nimeandika uzi!
Tena alikuwa analaani na kujilaumu kwa kuendelea kupoteza muda Marekani wakati huo wana tunaendelea ku-roll na Mandinga Makali!yani mtu katoka marekani anakuona unaenda BMW la mtumba akakushangaaa hii ni chai ☕️
Unajua kujifurahisha sana Bi dada, sikujui, ila ni beyond reasonable doubt, kwa kutumia maandishi yako tu, hujawahi kwenda huko unakokutaja, wala huna kupato cha kukufanya utibiwe Sweden, take a break.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Dada Kantri kaninywesha chingili 😂😂😂😁😁😁😁😁Umekunywa Nini Leo?
🤣🤣🤣🤣 sisy leo nipo nabalance km mkemia mkuu hapa 🤸♀️🤸♀️🤸♀️😥😥😥😥Hivi we katoto mara ya mwisho si nilikukataza tabia ya kuchanganya dompo na grants,ona sasa